Akili yangu inawaza kufa kufa tu, nafikiri nina siku chache kwenye hii dunia

Akili yangu inawaza kufa kufa tu, nafikiri nina siku chache kwenye hii dunia

Changamana na mtoa mada anauhitaji zaidi kuliko Mimi mkuu
Usijali, actually wala sikuwa nahitaji really hiyo kuchangamana na ww, don't take jf too seriously utakuwa unajiongezea tu hiyo depression
 
Hivi inakuaje mtu anakuwa na pesa harafu Bado anakosa namna ya kujichanganya ?

Mbona hainiingii akilin ....

Mim nikiwa na pesa Moja Kwa Moja nakuwaga na furaha,maana nakuwa na vibe hatari ,maneno kibao ,mikwala mingi ,maeneo yote niliyokuwa nahofia kwenda naenda na confidence hali ya juu,kila kitu naona nakimudu ,hata hamisa mobeto nikimuona namtongoza yaani hio ni vibe la kuwa na pesaaa tu hata laki Moja .......

Sasa nyie wengine Hadi mnapesa za magari et mna stress [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hayo mengine naona mnajitakia wenyewe ...
 
Tatizo lako umeshalijua ila kwann sijui hutaki kulitatua.
 
Hivi inakuaje mtu anakuwa na pesa harafu Bado anakosa namna ya kujichanganya ?

Mbona hainiingii akilin ....

Mim nikiwa na pesa Moja Kwa Moja nakuwaga na furaha,maana nakuwa na vibe hatari ,maneno kibao ,mikwala mingi ,maeneo yote niliyokuwa nahofia kwenda naenda na confidence hali ya juu,kila kitu naona nakimudu ,hata hamisa mobeto nikimuona namtongoza yaani hio ni vibe la kuwa na pesaaa tu hata laki Moja .......

Sasa nyie wengine Hadi mnapesa za magari et mna stress [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hayo mengine naona mnajitakia wenyewe ...
Hata mimi nimeshangaa
 
Kumbe hii hali Huwa tunapitia wengi.

Nahisi na wewe unatabia ya kukaa peke Yako peke Yako ukiwa huna shughuli ya kufanya.

Mimi nadhani Kwa kuwa tuna muda mwingi wa Kuwa peke yetu ndio tunapata muda wa kuwaza mambo ambayo hatuwezi kuyabadilisha.

Kuna muda natamani ningeweza kuchangamana na watu ila nilishashindwa

Pole mkuu
Binafsi Sina mchanganyiko sana na watu,Ila JF unanifanya maisha yangu Yana furaha sana,siboreki....jitahidi sana usikose bundle basiiii
 
Duh hiyo
Pole boss naijua hiyo hali jana tu nimepitia mpaka nikahisi ndo basi nikasali mpaka sala ya kuungama zambi ila nimeamka asubui nashanga bado mzima nikashukuru
Nikavuta k vant kubwa na energy ya azam nikapoza moyooo..........
Duh hiyo coctail yako itageuka bomu.
 
Hali kama hii imenitesa na bado inanitesa pia hata mimi, i've lots of resources ila amani ya Moyo haipo, nimepoteza ndugu muhimu, mdogo wangu anayenifuata alikuwa anasoma Nje na ndio tunakaa sana kushauriana kafariki kwa Ajali, akafata mjomba, yaani huyu ni zaidi ya Mshkaji nae amefariki karibu na ndugu kadhaa pia muhimu.

To me, marafiki out of my family cycle siwaoni kama wa maana and most of them ni wanafiki na wapo kimaslahi zaidi.

Binafsi najihisi upweke sana, siku moja niliwaza kabisa kujipiga risasi huwenda nitakutana na hao niliowapenda kama ndugu zangu.

Kwa sasa hatua nimechukua kwa kurudisha umiliki wa silaha.

Siwezi laumu mtu kujiua, nina experience na stress kama hizo na bado zinanitesa, hapa ndipo nimepata fursa ya kusemea as nimeona yupo mtu anayepitia hali kama hiyo.
 
Hali kama hii imenitesa na bado inanitesa pia hata mimi, i've lots of resources ila amani ya Moyo haipo, nimepoteza ndugu muhimu, mdogo wangu anayenifuata alikuwa anasoma Nje na ndio tunakaa sana kushauriana kafariki kwa Ajali, akafata mjomba, yaani huyu ni zaidi ya Mshkaji nae amefariki karibu na ndugu kadhaa pia muhimu.

To me, marafiki out of my family cycle siwaoni kama wa maana and most of them ni wanafiki na wapo kimaslahi zaidi.

Binafsi najihisi upweke sana, siku moja niliwaza kabisa kujipiga risasi huwenda nitakutana na hao niliowapenda kama ndugu zangu.

Kwa sasa hatua nimechukua kwa kurudisha umiliki wa silaha.

Siwezi laumu mtu kujiua, nina experience na stress kama hizo na bado zinanitesa, hapa ndipo nimepata fursa ya kusemea as nimeona yupo mtu anayepitia hali kama hiyo.
Upweke unatesa sana shida watanzania wengi hawana experience na hii hali lkn inatesa sana
 
Nimekuja kuamini pesa sio kila kitu kabisa kwenye haya maisha jamani nahisi kukata tamaa ya kuishi althrough i have money japo si nyingi ila inaniwezesha kupata chochote kile gari, nyumba nzuri na vitu vyote ambavyo mwanadamu ana wish kuvipata lakini roho ya kukata tamaa ya kuishi inaninyemelea

After death of lovely mother 2017 nikiwa kijana sana mdogo sijakaa sawa, post traumatic stress kwangu ni shida nakosa mtu wa kumuambia what my heart feel about only mother alikuwa mtu pekee aambaye nilikuwa naweza kumuambia kitu chochote kile

Jamii forums member mkiona kimya wala mshishangae napitia changamoto kubwa mno( post traumatic stress)/inaniadhiri mno japo nina pesa ya kufanyia au kupata chochote ila nakosa peace of mind najikiluta

" bye bye"
pole sana mkuu.

unachotakiwa kujua ni kwamba no matter what happen don't give up. uhai ni zawad ya pekee ambayo MUNGU amempa mwanadamu lakini pia uwepo wa pesa siyo ukamilifu wa furaha ya mwanadamu hilo umelitambua sasa unatakiwa kufanya jambo moja...

itafute furaha.

mim nakushaur kuwa na malengo ya kuchanga pesa zako kadiri uwezavyo then nenda somewhere kanunue vya kununua vilivyo bora uwende kwenye vituo vya watoto yatima ukafurah nao hata kama wew siyo wa aina hiyo jaribu kujilazimisha...utakuja kunishukuru.

kwa kufanya hvyo naamini MUNGU atakufanyia wepes wa matitzo yako.
 
Nikupatie namba ya mtaalamu wa therapy umuelezee akusaiidie?
Kwenye suala la kuokoa maisha, Mgonjwa habembelezewi dawa!

Wewe sukuma hiyo namba pm umpe na maelekezo.
Mambo yakibana, mwenyewe atamtafuta.
 
Nimekuja kuamini pesa sio kila kitu kabisa kwenye haya maisha jamani nahisi kukata tamaa ya kuishi althrough i have money japo si nyingi ila inaniwezesha kupata chochote kile gari, nyumba nzuri na vitu vyote ambavyo mwanadamu ana wish kuvipata lakini roho ya kukata tamaa ya kuishi inaninyemelea

After death of lovely mother 2017 nikiwa kijana sana mdogo sijakaa sawa, post traumatic stress kwangu ni shida nakosa mtu wa kumuambia what my heart feel about only mother alikuwa mtu pekee aambaye nilikuwa naweza kumuambia kitu chochote kile

Jamii forums member mkiona kimya wala mshishangae napitia changamoto kubwa mno( post traumatic stress)/inaniadhiri mno japo nina pesa ya kufanyia au kupata chochote ila nakosa peace of mind najikiluta

" bye bye"
Ni pm nikushauri I have lost my father Sasa sikuwa fresh until 2014 haikuwa rahisi
 
Back
Top Bottom