Akili za umasikini: Bajeti ya Elimu $5B, lakini bajeti ya Kilimo in $500M

Kabisa, unatakiwa ujue lugha ya home kwanza..halafu hzo zingine badae
 
Mbna hata kwenu data haziendani km huku huku tu[emoji23][emoji23]
Tena ikizidi katika kilimo tumewazidi na bado unalia bajeti yetu ya kilimo ni ndogo
 
Hahaha, huwezi kuwa na Elimu bora bila lishe bora. Huwezi kwenda kusoma ukiwa na njaa, viwanda havizalishi kwa kukosa Mali ghafi, familia hazina ajira, na uchumi WA nchi umelala.
Je umejiuliza nchi yako mwaka jana ilitenga kiasi gani kwenye kilimo? Je unajua kuna mwaka nchi yako ilitenga 5 Bil. tu kwenye kilimo?

Bora hawa wakenya wanawekeza kwenye elimu kuliko wewe na serikali yako ambao hamueleweki
 
Akileta bajeti yao ya kilimo unitag please..
Manake nimecheka sana na akili za huyo jamaa
Nowadays even his countrymen are ashamed of him. You can see that in the comments of most of his threads.
 
Je umejiuliza nchi yako mwaka jana ilitenga kiasi gani kwenye kilimo? Je unajua kuna mwaka nchi yako ilitenga 5 Bil. tu kwenye kilimo?

Bora hawa wakenya wanawekeza kwenye elimu kuliko wewe na serikali yako ambao hamueleweki
Wewe una akili au unatumia kende katika kufikiria?
 
Nowadays even his countrymen are ashamed of him. You can see that in the comments of most of his threads.
Galama Kulalu imewashinda baada ya kula pesa yote na hamuwi ashamed.
 
Galana is going on very well. I know ujinga wako huwezi kuruhusu ujue hilo.
Going well kivipi zaidi ya maneno matupu kila siku, hakuna pesa ya kuwekeza katika huo mradi, mlianza mkitegemea kupata pesa toka kwa investors kama mlivyofanya katika Lamu port project, there is no single investor interested with neither project
 
Going well kivipi zaidi ya maneno matupu kila siku, hakuna pesa ya kuwekeza katika huo mradi, mlianza mkitegemea kupata pesa toka kwa investors kama mlivyofanya katika Lamu port project, there is no single investor interested with neither project
Wapi budget yenu ya ukulima you fool. We are still waiting for it.
 
Going well kivipi zaidi ya maneno matupu kila siku, hakuna pesa ya kuwekeza katika huo mradi, mlianza mkitegemea kupata pesa toka kwa investors kama mlivyofanya katika Lamu port project, there is no single investor interested with neither project
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
Fungua uzi mwngine wa irrigation scheme tuje tuupige na chini pia[emoji23][emoji23][emoji23] bajeti[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…