So where is your budget?Hata Galana Kulalu ni investment lakini inewashinda. Serikali ya Tanzania ineshajenga irrigation system nchi nzima zenye ukubwa WA hectares laki 7 hadi sasa na zinazalisha Chakula hicho tunachowaletea
Onyesha irrigations system yenye investment hata japo nusu ya hii
This is a dream project my friend. You don`t have such thing in Tangajinga.Onyesha irrigations system yenye investment hata japo nusu ya hii
Tanzania to invest $426mln in new irrigation systems
Hahaha, hahaha, wapuuzi sana ninyi, mtaendelea kutegemea food donations milele. Failed. State.
Kabisa, unatakiwa ujue lugha ya home kwanza..halafu hzo zingine badaeI am more fluent in my mother tongue than swahili. Swahili ranks fifth in order of preferred languages and is only useful to me hapa jamii forums 😉!!! Otherwise haina kazi ingine.
1. Dads mother tongue
2. Mum's mother tongue
3. English
4. Sheng
5. Swahili
Mbna hata kwenu data haziendani km huku huku tu[emoji23][emoji23]Siwajibu swali lenu kwasababu ninyi ni wajinga sana hamna akili, ndio sababu Magufuli anawaendesha marais wote hapa East Africa, kwasababu yeye anatumia akili sana kabla ya kufikia maamuzi yake.
Mimi nimelinganisha na kuuliza kati ya Elimu na Kilimo inakuaje Elimu ipewe bajeti kubwa zaidi ya Mara tano ya ile ya Kilimo katika nchi ambayo uchumi wake unategemea KILIMO.
Mimi sijasema bajeti ya Kilimo ni ndogo, Kama bajeti ya Kilimo ingekua $300M na education ikawa $250M kamwe nisingesema wala kuuliza.
Jambo linalonikwaza ni kuona kwamba Kilimo ambacho hutoa ajira kwa wananchi 75%, nchi ambayo watu wake wanakufa njaa, nchi ambayo kila mwaka lazima ipewe msaada wa Chakula, nchi ambayo 47% ya watu wake hutegemea "food donations", lakini katika kupanga bajeti, inatoa kipaumbele katika Elimu Mara tano zaidi ya KILIMO.
Mimi ninauliza kuhusu " priorities " ya nchi ya Kenya kati ya Elimu na Kilimo. Hivi ninyi mnaakili kweli?. Wapuuzi wakubwa ninyi. Siwezi kujibishana na watu wajinga kama ninyi. Hovyo kabisa ninyi, badala ya kujibu hoja, mnaleta ujinga wenu hapa.
Bajeti iko wapi[emoji23][emoji23][emoji23]Onyesha irrigations system yenye investment hata japo nusu ya hii
Tanzania to invest $426mln in new irrigation systems
Hahaha, hahaha, wapuuzi sana ninyi, mtaendelea kutegemea food donations milele. Failed. State.
Akileta bajeti yao ya kilimo unitag please..This is a dream project my friend. You don`t have such thing in Tangajinga.
Je umejiuliza nchi yako mwaka jana ilitenga kiasi gani kwenye kilimo? Je unajua kuna mwaka nchi yako ilitenga 5 Bil. tu kwenye kilimo?Hahaha, huwezi kuwa na Elimu bora bila lishe bora. Huwezi kwenda kusoma ukiwa na njaa, viwanda havizalishi kwa kukosa Mali ghafi, familia hazina ajira, na uchumi WA nchi umelala.
Haijajengwa. Mipango sio matumizi.Onyesha irrigations system yenye investment hata japo nusu ya hii
Tanzania to invest $426mln in new irrigation systems
Hahaha, hahaha, wapuuzi sana ninyi, mtaendelea kutegemea food donations milele. Failed. State.
Nowadays even his countrymen are ashamed of him. You can see that in the comments of most of his threads.Akileta bajeti yao ya kilimo unitag please..
Manake nimecheka sana na akili za huyo jamaa
Wewe una akili au unatumia kende katika kufikiria?Je umejiuliza nchi yako mwaka jana ilitenga kiasi gani kwenye kilimo? Je unajua kuna mwaka nchi yako ilitenga 5 Bil. tu kwenye kilimo?
Bora hawa wakenya wanawekeza kwenye elimu kuliko wewe na serikali yako ambao hamueleweki
Galama Kulalu imewashinda baada ya kula pesa yote na hamuwi ashamed.Nowadays even his countrymen are ashamed of him. You can see that in the comments of most of his threads.
Galana is going on very well. I know ujinga wako huwezi kuruhusu ujue hilo.Galama Kulalu imewashinda baada ya kula pesa yote na hamuwi ashamed.
Going well kivipi zaidi ya maneno matupu kila siku, hakuna pesa ya kuwekeza katika huo mradi, mlianza mkitegemea kupata pesa toka kwa investors kama mlivyofanya katika Lamu port project, there is no single investor interested with neither projectGalana is going on very well. I know ujinga wako huwezi kuruhusu ujue hilo.
Wapi budget yenu ya ukulima you fool. We are still waiting for it.Going well kivipi zaidi ya maneno matupu kila siku, hakuna pesa ya kuwekeza katika huo mradi, mlianza mkitegemea kupata pesa toka kwa investors kama mlivyofanya katika Lamu port project, there is no single investor interested with neither project
Onyesha irrigation system yoyote iliyowekezwa na Serikali yenu.Wapi budget yenu ya ukulima you fool. We are still waiting for it.
Kumbe naargue na baboon na sijui? Good day jellyfish.Onyesha irrigation system yoyote iliyowekezwa na Serikali yenu.
Sindano hyo ndio manake uanjitoa ufahamu..Wewe una akili au unatumia kende katika kufikiria?
Fungua uzi mwngine wa irrigation scheme tuje tuupige na chini pia[emoji23][emoji23][emoji23]Onyesha irrigation system yoyote iliyowekezwa na Serikali yenu.
Amekimbia mada yake ya bajeti[emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe naargue na baboon na sijui? Good day jellyfish.
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]Going well kivipi zaidi ya maneno matupu kila siku, hakuna pesa ya kuwekeza katika huo mradi, mlianza mkitegemea kupata pesa toka kwa investors kama mlivyofanya katika Lamu port project, there is no single investor interested with neither project
Fungua uzi mwngine wa irrigation scheme tuje tuupige na chini pia[emoji23][emoji23][emoji23] bajeti[emoji23][emoji23][emoji23]