Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,764
- 896
Wakuu, michango yenu hapa imenivunja mbavu mno!! Sasa mi naomba msaada wenu; Mbona mnavyomjibu mtoa mada na jj ni kama wao tu ndo watafaidi wakati wa ku do?! Baada ya hapa mtawadai hawa jamaa wakiwa na hao mabinti wawaridhishe wao kwanza kwenye 6 kwa 6 wakati kumbe wameshalipia?! Na je wadada wa hivo si ndo wakipiga mizinga wanakula kona?? Tumewahi kuona malalamiko hapa kuwa kuna wadada mkipeana namba za simu tu hata kabla hujaomba mechi mizinga na vibomu vinaanza, na hao mnasemaje???
Mkuu Chatu dume pole sana....
Zamani nilimtoa dada mmoja Dinner, pale maeneo ya
upanga kwenye Sekela, na Chips, wakati tunakula yule dada akawa ana piga simu kwao Ilala, anawambia msipike nakuja na chakula.
Si akawaambia tunataka take away, Chips Sekela x 3 mimi hapo kimoyo moyo nasema mwanzo na mwisho huyu dada hawezi kuniona tena, nakwenda kulipa anajifanya kucheka cheka, kujisemesha eti Thanx dear kwa outing!
Mi sipendi kabisa..Unakutana na mdada, mnafahamiana kidogo, mnapeana namba za simu, mnapanga one day mkutane mpate lunch, mnakutana na mnapata lunch, then mnapanga one day mkutane kufumua amri ya sita......Mara demu anakueleza,....oh...sitaki nije na hizi nywele kesho, hivyo naomba unipe hela ya saluni...Yaani hata hatuja-do, unataka nikupe hela ya saluni...umeona mi n ATM machine?! acheni hizo bana mnatuboa!
Ukionekana demu wa mizinga mwanzoni kabisa mwa mahusiano unaboa sana na unajidhalilisha. Kwa nini usijizuie mpaka mida fulani ndio uanze hiyo mizinga?! Mi ukianza na mizinga nakupiga chini! Acheni hizo madada, mnatuboa mno!!
We vipi, apo u should be thankful mtu amekuonesha makucha yake bado kweupeee.!! Unajua kabisa, she's not HER from th start. . . . . odhawise, pole kaka!!!
Mizinga ni namna mojawapo ya kukimbiwa nyie. Hamjui?
uzuri wetu wengine usanii huu wa mizinga tunajua kweli kuupotezea......
mizinga piga tu, lakini mwisho wa siku biolojia utanipa,(hii ipo kikazi zaidi)
na hiyo mizinga yako utaambulia hewa tu.................chezea mitu mingine!!!!!!!!!!
utamu wa miwa ni mate yako bana, alah.......................
Wewe kinachokusumbua ni ubahiri au kutokuwa nazo. Lazima kwanza ujiulize huyo binti wakati umemkaribisha lunch alipokuja amependeza na ukamtamani, hujui wenzako hapo wamegharimia? Kwa nini wewe ushindwe na wewe kumpendezesha na wenzako wamtamani?umeona-eeh, mi ikishakuwa ivo nakubali kula hasara ya lunch tu basi! hela ya saluni hupati ng'o!
Naomba shule na mimi niwe kama wewe, niwe nawamega bila mkwanja.
hahahahahahahaha! Hiyo kali. Kumbe yanawakuta kweli. Lol.
Husn'
Unanicheka haya bana!!
umenichekesha bwana. Ila mbona na sisi tunawapa ofa hatulalamiki.
Ofa gani mnatoa? Mimi takupa pesa ya matumizi ya mwezi halafu unanipeleka dinner mara moja kwa wiki.
Sasa hiyo ofa gani? Toa kwenye mshahara wako uninulie Laptop!
nyie ofa za siku moja tu mnalalamika jf. Matumizi ya mwezi si ndio utapeleka habari tbc.
Tatizo nyie mnaboa bana acheni hizo!
Nakutoa out siku ya kwanza siku ya pili, anaaza dear nimeona BlackBerry torch 9800 pale Mlimani City. nzuri ma dear nimeipenda kweli.
Ndio maana mnatapeliwa...lol!
nyie wenyewe mnaboa. Siku ya kwanza tu mnataka mambo ya kikubwa.