JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Msikilize hapo akiongea akiwa na Karume.
Kijana mdogo sana miaka 29 akapindua nchi. Bila Okello Zanzibar ingekua bado chini ya Sultani.
Okello tutakukumbuka Daima, haijalishi umekufa ila kumbukumbu yako haitafutika.
Hii video Kuna wazenj /Islam watapita kama hawaioni!hawapendi kukili Mkristo John Okelo,ndio aliongoza mapinduzi,