JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Hii video Kuna wazenj /Islam watapita kama hawaioni!hawapendi kukili Mkristo John Okelo,ndio aliongoza mapinduzi,
Msikilize hapo akiongea akiwa na Karume.
Kijana mdogo sana miaka 29 akapindua nchi. Bila Okello Zanzibar ingekua bado chini ya Sultani.
Okello tutakukumbuka Daima, haijalishi umekufa ila kumbukumbu yako haitafutika.
Tuache upotoshaji...unasema Karume akaitwa ili alejee kukalia kiti chake. Unataka kusema Karume alikua amefukuzwa na kunyanganywa madaraka yake na waarabu?City...
City...
Okello anabebeshwa mzigo si wake.
ASP haikuwa na uwezo wa kupindua serikali.
Mipango yote ilifanyika Dar es Salaam ikisimamiwa na Oscar Kambona na Abdullah Kassim Hanga.
Waliweka kambi Kipumbwi ambako waliwaweka Wamakonde kutoka shamba la Mkonge la Sakura kwa ajili ya kuwavusha kuingia Zanzibar kuIpigIa kura ASP na kushiriki katika mapinduzi.
Kambi hii ilikuwa chini ya Ali Mwinyi Tambwe akiwa District Commissioner wa Tanga na Regional Commissioner Jumanne Abdallah.
Waliopewa kazi ya kuchagua vijana wa kuletwa kambini Kipumbwi walikuwa Victor Mkello kiongozi wa chama cha wakata mkonge na Mohamed Omar Mkwawa kijana wa Kidigo kutoka Tanga aliyepatakuwa mwanachama hodari wa ASP.
Ali Mwinyi Tambwe wakati wa ukoloni aliwatumikia Waingereza kama "mole" wao ndani ya TAA kisha TANU.
Mkwawa yeye ndiye aliyekuwa akiwavusha hawa Wamakonde kuwaingiza Zanzibar usiku kwa majahazi wote wamevaa kama wavuvi wa Kidigo.
Kipumbwi yote ilikuwa imezuiwa kwa watu kuingia ovyo.
Hawa Wamakonde ndiyo walioua Waarabu wengi wakulima wa kawaida tu waliokuwa mashambani Zanzibar.
Mpango huu ulifanyika kwa siri kubwa sana.
Mzanzibari aliyepata kufika Kipumbwi inasemekana ni Jimmy Ringo ambae aliuliwa baada ya mapinduzi kama walivyouliwa wana ASP wengine.
John Okello hakuwa katika mipango hii.
Kilichompa umaarufu ni kule yeye kupewa radio kutangaza kuwa serikali imepinduliwa na Karume arejee Zanzibar kukalia kiti chake.
Sultan alipinduliwa na Wazalendo wakiongozwa na John Okello. Kisha akamaliza kazi yake kwa kumuita Karume atoke mafichon aje ongoza nchi.
Sanaaaaaaaaa.....kwahiyo huyo Okello nae alikua mzalendo ? 🤣 🤣 🤣
Awali kabisa alifika Zanzibar kutafuta maisha.Huyu John alikuwa ni wa nchi gani?alifikaje Zenj? malizia story
Huyu Ali Mwinyi Tambwe si ndiye yule aliyekuwa katibu wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika?Ali Mwinyi Tambwe wakati wa ukoloni aliwatumikia Waingereza kama "mole" wao ndani ya TAA kisha TANU.
Her?Museme kwa nyerere pia mpikaji na mpotoshaji wa histori! Nyerere alikuwa wa mchongo na aliipika historia ya Tanzania shem on her
Bish...Tuache upotoshaji...unasema Karume akaitwa ili alejee kukalia kiti chake. Unataka kusema Karume alikua amefukuzwa na kunyanganywa madaraka yake na waarabu?
Pili tunaweza kukubaliana kua Karume alikua mafichoni wakati wa mapinduzi na kwa maana hiyo Karume akushiriki mapinduzi moja kwa moja.Mwisho tuelewe kua mtangaza mapainduzi na mafanikio ya kupindua ndiye kiongozi wa mapinduzi. HONGERA SANA JOHN OKELLO kwa kuongoza harakati za Uhuru dhidi ya Sultan Jamshid
James...Huyu Ali Mwinyi Tambwe si ndiye yule aliyekuwa katibu wa Al Jamiatul Islamiyya fi Tanganyika?
Nikadhani upo kwenye hoja ya nani aliongoza mapinduzi kumbe upo kwenye ukristoVijana WA Leo msomeni sana Harith Ghassany, ''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru,''
Pia msomeni sana Joseph Mihangwa RAIA MWEMA.
Jamaa wameandika vizuri sana historia ya Mapinduzi.
JOHN OKELO YOHANA MBATIZAJI NDIE BABA WA TAIFA WA ZANZIBAR.
inashangaza sana Wazanzibar kukataa Ujenzi wa makanisa wakati OKELO BABA WA TAIFA LAO NI MKRISTO.
Umekover mjadala woteMzee wa kushangaza Sana huyu yaani John O anaonekana katika picha akiwa na silaha na mwenye kujiamini sana mbele ya wafuasi wake we watueleza eti aliitwa tu kutangaza Jambo Hilo kwa lafudhi yake ya kutishia watu!
Mzee unatuonaje.
Eti utafiti!
Leo unaificha historia ya umuhimu wa Okelo waziwazi lakini unalilia kutambulika kwa Wanaharakati wa Kiislam wa uhuru Tanganyika.
Nb.
Naunga mkono hoja ya kutambulika kwa Wanaharakati wa uhuru wa nchi hii Bill kujali itikadi zao za kidini, tamaduni Wala kingine chochote.
Sela...Mzee wa kushangaza Sana huyu yaani John O anaonekana katika picha akiwa na silaha na mwenye kujiamini sana mbele ya wafuasi wake we watueleza eti aliitwa tu kutangaza Jambo Hilo kwa lafudhi yake ya kutishia watu!
Mzee unatuonaje.
Eti utafiti!
Leo unaificha historia ya umuhimu wa Okelo waziwazi lakini unalilia kutambulika kwa Wanaharakati wa Kiislam wa uhuru Tanganyika.
Nb.
Naunga mkono hoja ya kutambulika kwa Wanaharakati wa uhuru wa nchi hii Bill kujali itikadi zao za kidini, tamaduni Wala kingine chochote.
Sasa anawekewa ya nini na tayari ameshika silaha? But why wafanye hivyo kwa mtu ambaye hahusiki na mapinduzi? Sometimes sijui mnatufikiriaje. Mara sauti yake ilihitajika kuwatisha wazanzibar maana wao ni waoga. Baadaye tena picha zake zinatakiwa kuwatisha akina nani? Wazanzibar hao hao? Please....mumkumbuke John Okello ana mchango Mkubwa sana katika kuikomboa Zanzibar. Dini yake ya kiasili au yoyote isiwe sababu ya kuficha tendo lake la kishujaaa....Sela...
Nakuwekea picha hiyo hapo chini itazame na linganisha:
View attachment 2479862
Hii picha hawa Makomredi wamesimama wapigwe picha na picha hii imepigwa mapinduzi yameshatokea siku chache zilizopita.
Picha hii imepigwa Okello anawekewa silaha na yeye mwenyewe ameshika silaha apigwe picha.
Katika hiyo picha ya Makomredi wawili nimepata kuzungumza nao Amour Dughesh na Hashil Seif.
Dughesh alinionyesha picha nyingine ya yeye na comrade mwingine ambae ni rafiki yangu wakiwa kwenye combat wameshika bunduki wako lindoni.
Picha hii ni tofauti na picha hiyo ya kwanza hapo juu.
Nakuwekea na picha nyingine hapo chini lakini huyu kwa mjuonekano wake ni ''askari'' tofauti sana na waliomzunguka Okello.
View attachment 2479876
Huyo mzee sideboy wa ajabu Sana eti okelo aliitwa kuwatisha watu kwa sauti yake!
Huyu mzee side ndie huyu hulialia kuhusu kufichwa kw historia ya Wanaharakati was Uhuru wa Tanganyika but Ni yeye anayepinga na kuficha ukweli juu ya kijana huyu wa zamani.
Chizi...Sasa anawekewa ya nini na tayari ameshika silaha? But why wafanye hivyo kwa mtu ambaye hahusiki na mapinduzi? Sometimes sijui mnatufikiriaje. Mara sauti yake ilihitajika kuwatisha wazanzibar maana wao ni waoga. Baadaye tena picha zake zinatakiwa kuwatisha akina nani? Wazanzibar hao hao? Please....mumkumbuke John Okello ana mchango Mkubwa sana katika kuikomboa Zanzibar. Dini yake ya kiasili au yoyote isiwe sababu ya kuficha tendo lake la kishujaaa....
Kwanini ukielezwa kitu huwa unaanza kuwa haujaja kushindana? Nimekuuliza swali unasema wamakonde ndio waliokifanya kazi kwenye mkonge ila nikakueleza kuwa mbona wapo wamwera kibao walikuwa wanafanya hiyo kaziMna...
Mimi siko hapa kushinda mjadala.
Niko hapo kufundisha kile ambacho wengi hawakijui.
Ingekuwa kambi ya Kipumbwi ilitawaliwa na Wamwera ningeeleza.
Ukisoma kitabu cha Dr. Ghassany utawasoma Wamakonde wenyewe wakieleza mchango wao katika mapinduzi.
Mnachi...Kwanini ukielezwa kitu huwa unaanza kuwa haujaja kushindana? Nimekuuliza swali unasema wamakonde ndio waliokifanya kazi kwenye mkonge ila nikakueleza kuwa mbona wapo wamwera kibao walikuwa wanafanya hiyo kazi
Mnachi...
Sababu ni kuwa mimi nimetafiti na nimefika hadi Kipumbwi na nimezungumza na Victor Mkello na msaidizi wake Maulid Sheni.
Nimefika hadi Sakura walipokuwa wanaishi Wamakonde kwa ufupi nayafahamu haya mambo kupita wewe.
Ndiyo unapokataa kusikiliza utafiti naamua iwe basi amini upendancho hapana haja ya ubishi.
Mimi niko hapa kuisomesha historia ambayo kabla haikuwa inajulikana.
Sela...Mzee wa kushangaza Sana huyu yaani John O anaonekana katika picha akiwa na silaha na mwenye kujiamini sana mbele ya wafuasi wake we watueleza eti aliitwa tu kutangaza Jambo Hilo kwa lafudhi yake ya kutishia watu!
Mzee unatuonaje.
Eti utafiti!
Leo unaificha historia ya umuhimu wa Okelo waziwazi lakini unalilia kutambulika kwa Wanaharakati wa Kiislam wa uhuru Tanganyika.
Nb.
Naunga mkono hoja ya kutambulika kwa Wanaharakati wa uhuru wa nchi hii Bill kujali itikadi zao za kidini, tamaduni Wala kingine chochote.