Akutwa na minyoo kwenye ubongo uliosababishwa na kula nguruwe

Akutwa na minyoo kwenye ubongo uliosababishwa na kula nguruwe

Uzuri wa Wabongo hua tuna shobo na vitu vipya tukishazoea tunaona kawaida tuu, si unaona umeona video ngap chafu za watu zimevuja lkn sasa hv raia wameshasahau na kuona n kitu cha kawaida.
Sio video tu hata mambo muhimu
 
Yaani shida ya wasiomla huyu mdudu ni kutunga uzushi kila siku.. Huyo aliyekutwa na minyoo anaitwa nani..?? Anatokea state gani huko America.. Alikuwa hospitali gani..?? Usitutishe na hekaya zako za mashariki ya kati..Yaani hata kama ni kweli amekutwa na hayo mayai ya minyoo ndio niache kula mdudu Kwa kisa Cha kutunga Cha Mmarekani mmoja..?? Hebu tuache na My kitimoto wetu na wewe endelea kula matembele yako.. Unadhani ukitutajia BBC ndio tutaacha..??
 
Najua kuna wakereketwa na wafurukutwa,nisiongee sana ila baada ya kusoma habari hii kwenye shirika la habari la BBC,nimejiwa na mawazo mengi sana!!
---

Mwanaume mmoja nchini Marekani amekutwa na mayai ya minyoo kwenye ubongo wake ambayo huenda imesababishwa na kula nyama ya nguruwe ambayo haikupikwa vizuri ikaiva.

Mwanaume huyo wa miaka 52 alimtembelea daktari wake baada ya kulalamika maumivu makali ya kichwa ya mara kwa mara.

Na baada ya vipimo ilionekana kuwa kuna mayai ya minyoo kwenye ubongo wake.

Madaktari wanaamini kuwa mwanamume huyo,alipata minyoo kwa kula nyama ya nguruwe ambayo haijaiva vizuri.

BBC Swahili
Umekula nyama mbichi unategemea nini?
 
 
BBC nacho ni chombo cha habari siku hizi? media bias
 
Najua kuna wakereketwa na wafurukutwa,nisiongee sana ila baada ya kusoma habari hii kwenye shirika la habari la BBC,nimejiwa na mawazo mengi sana!!
---

Mwanaume mmoja nchini Marekani amekutwa na mayai ya minyoo kwenye ubongo wake ambayo huenda imesababishwa na kula nyama ya nguruwe ambayo haikupikwa vizuri ikaiva.

Mwanaume huyo wa miaka 52 alimtembelea daktari wake baada ya kulalamika maumivu makali ya kichwa ya mara kwa mara.

Na baada ya vipimo ilionekana kuwa kuna mayai ya minyoo kwenye ubongo wake.

Madaktari wanaamini kuwa mwanamume huyo,alipata minyoo kwa kula nyama ya nguruwe ambayo haijaiva vizuri.

BBC Swahili
Huenda imesababishwa
 
Tena kipindi hiki cha Ramadhani na leo Ijumaa kabla ya kufuturu tunashauriwa kula kitimoto rost kilo mbili na ndizi sasa utaamua mwnyw kuchagua aina ya kinywaji.

Source: Prof. Janabi
Ingawa nimecheka Kuna unalotafuta yaani hapa nakaa na mashekhe na wale jamaa wa surualy njiwa Ndevu fagio upara mkubwa kama wakipita hapa utasikia Takbiiiiiiiir Allah akbaaaar mtu anaweza vunja simu yake Ili akale ma'bikra 72 huko angani
 
Niliwahi kuoneshwa mvaa kobazi mmoja suruali njiwa upara unang'aa utadhani unatochi na Ndevu zinafagia barabara bila kusahau kitambaa Cha kufunga kichwani ana misimamo ya kufa mtu nadhani akipita na kukuta kanisa anatamani kuliyeyusha yaani from solid to gas (sublimation) sasa nikaambiwa jamaa Kwa mbuzi katoliki ni sheeder sikuamini Hadi nikakaa sehem mwamba kaingia na pama kuubwa na panjabi Moja la ajabu alipofika kajitenga mbaaali kabisa na wengine akaagiza mzigo wa maana akabamiza Kisha akapotea zake nikasema hii Dunia ukijidai unakomaa nayo unakufa nayo peke yako
 
Najua kuna wakereketwa na wafurukutwa,nisiongee sana ila baada ya kusoma habari hii kwenye shirika la habari la BBC,nimejiwa na mawazo mengi sana!!
---

Mwanaume mmoja nchini Marekani amekutwa na mayai ya minyoo kwenye ubongo wake ambayo huenda imesababishwa na kula nyama ya nguruwe ambayo haikupikwa vizuri ikaiva.

Mwanaume huyo wa miaka 52 alimtembelea daktari wake baada ya kulalamika maumivu makali ya kichwa ya mara kwa mara.

Na baada ya vipimo ilionekana kuwa kuna mayai ya minyoo kwenye ubongo wake.

Madaktari wanaamini kuwa mwanamume huyo,alipata minyoo kwa kula nyama ya nguruwe ambayo haijaiva vizuri.

BBC Swahili
BBC nao Sasa hivi wambeya tu Jina la huyo mti halitajwi wala Daktari hatajwi Wala hospitali halitajwi na tarehe alizogindulika hazitajwi ili watu wathibitishe

BBC wamekuwa waongo kama wale waongo mitaani wa kutupea wenye midomo iliyochongoka kama wanapuliza moto
 
Ingawa nimecheka Kuna unalotafuta yaani hapa nakaa na mashekhe na wale jamaa wa surualy njiwa Ndevu fagio upara mkubwa kama wakipita hapa utasikia Takbiiiiiiiir Allah akbaaaar mtu anaweza vunja simu yake Ili akale ma'bikra 72 huko angani
Wakipita wape kitimoto, watafurahi sana then uje unipe mrejesho
 
Back
Top Bottom