Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Wengi tunajipa hopes kuwa hapa nyumbani lazima wakae.
Wengi tunajipa hopes kuwa kule kwao tulicheza kimkakati ndio maana tumeambulia sare
Wengi wetu tuna ushabiki sana kuliko uhalisia
Guys, wale waarabu sio kama Al Ahly ya Misri, ni wa kawaida sana, hilo sibishi.
Jana mechi ile haikuwa tough kama wengine tulivyodhania, kocha wetu pengine cjui kwann aliingiwa na ubaridi
Jana hakukuwa na shot on target kabisa ingawa Ateba alipambana sana jana, hata kumtoa naona kama aliwapa nafuu wale punjili
Hata hivyo kama upangaji wa kikosi hautakuwa mzuri ngoma inaweza kuwa ngumu trh 22.
Edwin Balua bado hajakomaa kabisa na kama Kibu angelianza jana nna uhakika leo tungeongea mengine
Kuna mipira hiyo kama angekuwa mkomavu Balua angetupa matokeo jana, yeye kuchezea Stars isiwe kigezo cha kuanza ndani ya kikosi chetu.
Mechi yetu hapa dar winga yeye winga Mutale, mwanzo mwisho.
Mwingine ni Ahoua, huyu bwana tunalazimisha t lkn bado pia hajachangamka
Uchezaji wake uko slow sana, kwanza hajui kupiga faulo, pili bado ana kitete, kwa timu inayotafuta matokeo Ahoua anasubiri
Mara 10 Awesu awe anacheza namba 10 na Ahoua awe anaingia sub ndio matokeo tutayaona
Ahoua anashindwa kumchezesha Arteba na akili yake yy ni kutaka kufunga aonekane kweli mtu wa maana wakati yeye hasa anatakiwa amlishe striker.
Guys, Mabululu ni mtu sio masihara, ni striker aliyekamilika hasa
Mwisho Simba ikiwapata Fei Toto na Elie Mpanzu itakuwa bampa to bampa, kila la heri chama langu.
Wengi tunajipa hopes kuwa kule kwao tulicheza kimkakati ndio maana tumeambulia sare
Wengi wetu tuna ushabiki sana kuliko uhalisia
Guys, wale waarabu sio kama Al Ahly ya Misri, ni wa kawaida sana, hilo sibishi.
Jana mechi ile haikuwa tough kama wengine tulivyodhania, kocha wetu pengine cjui kwann aliingiwa na ubaridi
Jana hakukuwa na shot on target kabisa ingawa Ateba alipambana sana jana, hata kumtoa naona kama aliwapa nafuu wale punjili
Hata hivyo kama upangaji wa kikosi hautakuwa mzuri ngoma inaweza kuwa ngumu trh 22.
Edwin Balua bado hajakomaa kabisa na kama Kibu angelianza jana nna uhakika leo tungeongea mengine
Kuna mipira hiyo kama angekuwa mkomavu Balua angetupa matokeo jana, yeye kuchezea Stars isiwe kigezo cha kuanza ndani ya kikosi chetu.
Mechi yetu hapa dar winga yeye winga Mutale, mwanzo mwisho.
Mwingine ni Ahoua, huyu bwana tunalazimisha t lkn bado pia hajachangamka
Uchezaji wake uko slow sana, kwanza hajui kupiga faulo, pili bado ana kitete, kwa timu inayotafuta matokeo Ahoua anasubiri
Mara 10 Awesu awe anacheza namba 10 na Ahoua awe anaingia sub ndio matokeo tutayaona
Ahoua anashindwa kumchezesha Arteba na akili yake yy ni kutaka kufunga aonekane kweli mtu wa maana wakati yeye hasa anatakiwa amlishe striker.
Guys, Mabululu ni mtu sio masihara, ni striker aliyekamilika hasa
Mwisho Simba ikiwapata Fei Toto na Elie Mpanzu itakuwa bampa to bampa, kila la heri chama langu.