Al Ahly vs Simba SC, Jumamosi: Nini maoni yako kuhusiana na mtanange huu?

Al Ahly vs Simba SC, Jumamosi: Nini maoni yako kuhusiana na mtanange huu?

Kumbe timu kupanda tu ndege na njaa kwisha😂😂😂😂...wachezaji kibao tu wamekimbia njaa pale jangwani..mtindo wenu ckuhz kuzunguka na mabakuli kuombaomba😂😂
wachezaji hao kibao ambao wamekimbia niorodheshee
 
Tujadili kuhusu hili... Je, kocha Patric Aussems atapata nafasi ya kurekebisha makosa yaliyojitokeza kwenye mechi dhidi ya As Vita kuelekea mechi ya jumamosi na Al Ahly?
Tujadili kuhusu hili... Je, kocha Patric Aussems atapata nafasi ya kurekebisha makosa yaliyojitokeza kwenye mechi dhidi ya As Vita kuelekea mechi ya jumamosi na Al Ahly?
Tujadili kuhusu hili... Je, kocha Patric Aussems atapata nafasi ya kurekebisha makosa yaliyojitokeza kwenye mechi dhidi ya As Vita kuelekea mechi ya jumamosi na Al Ahly?
kwenda sambamba bega kwa bega
 
Matumaini ya Simba kufanya vyema ni madogo ukiangalia hata mpira wanaocheza kwa sasa inaonyesha hata wao wamekata tamaa.
 
Kikosi kilekile kilichocheza Kongo dhidi ya AS Vita, kicheze isipokuwa Kichuya na Bocco waanze. Wabadilishe approach tu, wawe aggressive kwenye ukabaji na mashambulizi ya kushitukiza tu. Bocco, Kichuya na hata Kagere hufanya vizuri sana kwa kukabia juu. Ila wakitegemea mkabaji mmoja tu Kotei, Simba itavuna mabua tena.

1.Manula
2.Gyan
3.Tshabalala
4.Jjuuko
5. Wawa
6. Kotei
7. Kichuya
8. Mkude
9. Bocco
10. Kagere
11. Okwi
Mzamiru humtaji kabisa? Kaharibu nini?
 
KILA LA HERI AL AHLY...NISAIDIE KUWATOA HAO UNDERDOG KWENYE MASHINDANO, wanakuja kukamilisha ratiba tu
 
Asante mzalendo,
Nilijua mpiga debe
Naomba usinielewe vibaya, mimi sipo upande wenu wala upande wao.Angalia post zangu utaona ninajaribu kutoa mtizamo mpana wa hii match bila kuingiza mahaba yeyote.Nawatakia mabishano mema bila kupigana.Ahsante
 
Kikosi kilekile kilichocheza Kongo dhidi ya AS Vita, kicheze isipokuwa Kichuya na Bocco waanze. Wabadilishe approach tu, wawe aggressive kwenye ukabaji na mashambulizi ya kushitukiza tu. Bocco, Kichuya na hata Kagere hufanya vizuri sana kwa kukabia juu. Ila wakitegemea mkabaji mmoja tu Kotei, Simba itavuna mabua tena.

1.Manula
2.Gyan
3.Tshabalala
4.Jjuuko
5. Wawa
6. Kotei
7. Kichuya
8. Mkude
9. Bocco
10. Kagere
11. Okwi
Toa kichuya sio wetu tena, weka chama.
toa zimbwe weka kwasi, Rashid juma atafutiwe nafasi ana speed atafaa
 
Chezesheni kile kikosi kipana kilicho cheza Congo dhidi ya wababe As Vita ili mtupatie burùdani nyingine

Hivi Zana mbona hachezi mechi hizi sindo usajili mpya mbadala wa kapombe
Kuna game 3 mbele atacheza tu
 
Simba inaenda kufungwa...ukweli mchungu, binafsi naona wachezaji wa Simba ndio hawaelewi wanataka nini, hawana hasira na ubingwa, wanachowaza wao ni mishahara minono tu..timu inabebwa na wachezaji wa nje, hawa wa ndani, moshi mwingi
Ubingwa wa kikombe gani? Au unamaanisha Caf champions league? Usinijibu kabla sijaanza kucheka😁😁😁😁
 
Aishi Manula,
Nicholas Gyan
Asante Kwasi.
Pascal Wawa,
James Kotei,
Rashid Juma,
Hassani Dilunga,
Meddie Kagere,
Clatous Chama na
Emmanuel Okwi.
Bora iwe hivyo zimbwe na mkude recently hawako sawa, nahisi mbele kasi itaongezeka rashidi juma akishambulia,sijui kuhusu chama kurudi nyuma kukaba lakini rashidi juma kukaka anaweza kabisa. kila la heri wandugu. msinywe pombe kabla ya mechi.
Hata uchebe aanze nyie ni sikio la kufa tu
 
Chezesheni kile kikosi kipana kilicho cheza Congo dhidi ya wababe As Vita ili mtupatie burùdani nyingine

Hivi Zana mbona hachezi mechi hizi sindo usajili mpya mbadala wa kapombe
Na alikuja kuziba pengo la kapombe,yule ni dancer simba wananunua Hata wakatabasamu,wakata viuno tu
 
Back
Top Bottom