Ahly hajashuka kama mnavyo lazimisha , ila ubora wa vilabu vyetu umepanda sana, hata Yanga akija kumfunga al ahly , sio kwaababu Ahly wabovu , sababu Yanga pia ni bora na ina quality ,
Tanzania kama tutashikiria hapa tulipo shika basi kuna pacha wa kariakoo ataleta kombe nyumbani.