Marcovicsavic
Senior Member
- Nov 14, 2020
- 130
- 303
Kukosa nafasi wanakosa hadi wakina Ronaldo mzee , ingekua kila nafasi watu wamafunga sinkungekua na magoli kma basket ball !Inawezekana ndio, ila ukiangalia nafasi za wazi walizokosa, unapata wazo lingine.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app