Al-Barzakh: Haya ndio Maisha ya Kaburini baada ya kufa

Al-Barzakh: Haya ndio Maisha ya Kaburini baada ya kufa

Yaani binadamu ni dhaifu tu.

Hebu tazama namna nguvu za Muumba zinavyoregulate mambo. Chukua fumbo LA rizki na mgawanyo wa chakula kwa viumbe. Ona mimea, ona wadudu, ndege, binadamu na viumbe wasioonekana. Hill in somo tosha kwa wenye akili kwamba kuna source beyond horizon zinafanya haya mambo yaende kwa mpangilio maalumu.

Sasa jiulize kama hujui mini kitatokea dakika moja mbele, utabishaje miongozo inayoelezea mambo kabla hao wanasayansi mahiri hawajazakiwa
Mimi dakika moja mbele nitawqsha simu yangu .kesho jioni nitakula wali na nyama,au unaingelea dakika ipi
 
Kifo sio fulustop bali ni alama ya comma,rejea kufa na kufufuka kwa Bwana Yesu na akatuambia anakwenda kwa Baba kututengenezea makao,

Rejea maneno ya Bwana Yesu,Nitalivunha hekalu na kulijenga kwa siku tatu yaani atakufa na kufufuka siku ya tatu.

Rejea kupaa kwa Eliya alipochukuliwa na Kigali cha moto na kuondoka nae,

Rejea kupalizwa mbinguni kwa Bikira Maria,

NB:Yote yanathibitisha kuwepo kuwa kifo sio mwisho Ila kuna maisha mengine baada ya kifo.

Nina shuhuda mbili:

1.Niliona wingu likishuka mahali fulani na lilipoondoka mahali hapo mtu alikufa,wingu lilikuja kumchukua,huo ni ukaribisho mwema kwenda kwenye maisha mengine.

2.Naliona Malaika wakitua mfano wa radi,radi ilipiga na ilipotua chini mfano wa Malaika alitokea,na mahali hapo alikuwa anatarajiwa kupita mtu fulani na alipopita baadae alikufa,Malaika wale walikuja kumchukua.

Sasa maisha baada ya kifo,kwa watu wema unaenda Paradiso,sehemu kama iliyokuwa bustani ya Eden utaendelea na maisha hadi Bwana Yesu atakapowachukua kuwarudisha tena duniani kutawala nae kwa miaka 1000 na baada ya miaka 1000 kuisha utashuka mji mpya wa Jerusalem na hukumu itapita na wale wema wataingia Jerusalem kuishi milele.

Kwa watu waovu wakifa watasubiri kwenye udongo hadi siku ya hukumu na kuhukumiwa kuingia Jehanamu.
Hizo shuhuda mbona kama chai
 
Hata akija ambae alishakufa bado utamkanusha na kusema kuwa si lolote bali ni uchawi tu.

Maneno unayoyaongea si mageni kabisa bali babu zako waliokwisha kufa hali ya kuwa ni makafiri waliyaongea sana kuwadhihaki waonyaji, sasa hv huko walipo wanatamani hata wapate sekunde moja warudi ktk maisha haya warekebishe makosa yao lakini wanashindwa.
Umejuaje hayo
 
Soma kijana. Kuna uwingi (plural wa heshima (majestic). Lugha ya "sisi" ni kujishusha. Wenye kibri cha majivuno ndio huongea "mimi, mimi,mimi"

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kwahiyi Allah anajishusha ili awe chini ya nani
 
I w

I wish msingekuwa biased ili muweze kusoma islamic literatures concerning the purpose of this life n the life after death (hereafter). Kuna mambo mengi sana ya kusisimua na kustaajabisha kuhusu ukubwa na utukufu wa ALLAH katika ulimwengu huo ujao.

Hata wanafunzi wa Mtume Muhammad pbuh walistaajabu baada ya kuambiwa kuwa the dwellers of the paradise watapewa wanawake 72 ambao jicho halijapata kuwaona wala nafsi haijapata kuwaza kuhusu uzuri wao, na pia walifikiria mbali zaidi ni vipi wataweza kuwaridhisha, ? Wakajibiwa kuwa mwanaume mmoja ndani ya pepo (paradise) atapewa nguvu za kiume sawa na za wanaume mia moja wa ulimwengu huu wa duniani.

Kuna malipo mengi mazuri huko peponi na kubwa zaidi ya hizo starehe zote za peponi ni kupata radhi za Mwenyezi Mungu, means you will be free to do watever you wish na pia wakazi wa peponi watapata nafasi ya kumuona MWENYEZI MUNGU ana kwa ana.

What a reward.!!!

Ukigeuka maisha ya motoni nayo kuna mambo ya kustaajabisha kabisa kuhusu adhabu kali n.k
And where could I find an Islamic literature? Sababu siwezi jifunza kiarabu...Mimi Sina tatizo na kusoma na huwa napenda sana knowledge bcs at the end huwa napata a clear perspective of things, uwepo wa nguvu tusiyoweza itambua eventually I can to my own conclusion esp after reviewing a lot of literature on cosmology and human anatomy, obviously ukiwa una akili timamu hauwezi kusema tume evolve,

For instance, in human anatomy, haiwezi exist bila oxygen, the most surprising thing in cosmology, oxygen which is a prerequisite for our existence is not readily available in the universe, it is so rare and unique to our world (Earth), so far cosmology imeshindwa kupata hii kitu kwenye sayari nyingine as of now, so it begs a question, is it a coincidence oxygen, water and other essentials that support our existence kuwa hapa?
 
Mtu anaona kutokana na retina kubadilisha light kwenda kwenye biochemical ambazo husisimua ubongo na kupata picha kamili . Hamna hapo nafsi wala roho, ni biological process
Halafu hiyo picha inahifadhiwa wapi?
 
Yaani binadamu ni dhaifu tu.

Hebu tazama namna nguvu za Muumba zinavyoregulate mambo. Chukua fumbo LA rizki na mgawanyo wa chakula kwa viumbe. Ona mimea, ona wadudu, ndege, binadamu na viumbe wasioonekana. Hill in somo tosha kwa wenye akili kwamba kuna source beyond horizon zinafanya haya mambo yaende kwa mpangilio maalumu.

Sasa jiulize kama hujui mini kitatokea dakika moja mbele, utabishaje miongozo inayoelezea mambo kabla hao wanasayansi mahiri hawajazakiwa
Mi najua kinachotokea baada ya kufa sio hayo aliyotaja mleta uzi kakosea ni tofauti kabisa. Usibishe maan mi ninaejua ntatoa muongozo
 
Nani kwakwambia kuwa lengo la kufanya mapenzi ni kuzaliana tu? Hivi kuna starehe gani katika kiwiliwili cha mwanadamu kushinda kufanya mapenzi?

Ni hivi Paradise (peponi) ni ulimwengu wa raha na starehe.Na starehe kubwa kwa maisha ya mwanadamu ni kula(unachokitaka) ,kunywa (unachokitaka) na kufanya mapenzi!! Hivyo vingine ni vya ziada tu.

Ulimwengu huu tunaoishi ndio ulimwengu wa shida ila baada ya kufa kuna sehemu mbili Shida za milele na raha za milele. Na hayo yote ni matokeo ya machaguzi utakayoyachagua hapa duniani.
Kifanya mapenzi Mungu aliweka kuwe na starehe ili ufanye na uzaliane, lengo ni kuzaliana na wala sio starehe , ingekuwa hakuna Raha binadamu tulivyo tusingeongezeka kabisa,

Kula , kufanya strehe na pombe ni needs ambazo ndio mateso ya binadamu , starehe kubwa ni kutokuwa na needs

Imagine Allah kasema uume unasimama milele na ataufanya uwe mrefu balaa , mateso gani haya , Yani mbinguni unapisha ma mama Yako wewe dushe limesimama milele ? Kulala inabidi ulale upande chali tu milele maana kulala kwa tumbo ndio kwisha hutaweza dushe lipo wima
 
Jua ,nyota ,mwezi na haya magimba yote unayoyaona angani yako katika mbingu ya kwanza.

Safari kuyoka mbingu moja kwenda mbingu nyingine ni umbali wa safari ya miaka 500 huku ukiwa unatumia kipando chenye kasi.
Muhammad aliwezaje kufika mbingu ya Saba , kwa masaa machache kama umbali ndio huu? Na Muhammad alitumia mnyama na alikuwa na Malaika wanaenda nae
 
Issue ya adhabu ya kaburi nimesoma Hadith, Muhammad Ali copy kutoka fairy tale story za wayahudi , na alipata kutoka kwa mwanamke wa kiyahudi alimpigia stroy Aisha , Aisha akamuuliza Muhammad , Muhammad akaogopa Sana toka siku hiyo kila akisali akaanza kumuomba Allah amuepushe na adhabu ya kaburi
 
Kwakweli tujiandae maisha ya kaburini ni hatari, yanatisha sana
 
Jua ,nyota ,mwezi na haya magimba yote unayoyaona angani yako katika mbingu ya kwanza.

Safari kuyoka mbingu moja kwenda mbingu nyingine ni umbali wa safari ya miaka 500 huku ukiwa unatumia kipando chenye kasi.
Mkuu ulitumia kipimo Gani ,kupima hiyo speed?
 
Issue ya adhabu ya kaburi nimesoma Hadith, Muhammad Ali copy kutoka fairy tale story za wayahudi , na alipata kutoka kwa mwanamke wa kiyahudi alimpigia stroy Aisha , Aisha akamuuliza Muhammad , Muhammad akaogopa Sana toka siku hiyo kila akisali akaanza kumuomba Allah amuepushe na adhabu ya kaburi
Acha porojo wewe, Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam, hajawahi kuandika hadith yoyote ile. Hiyo mashine ya ku"copy" uliiunda wewe miaka zaidi ya 1400 nyuma?
 
Acha porojo wewe, Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam, hajawahi kuandika hadith yoyote ile. Hiyo mashine ya ku"copy" uliiunda wewe miaka zaidi ya 1400 nyuma?
Huwezi kupinga Hadith , ndio maana Kuna mswali ya Aya nilikupa ukawa unatoa macho huna majibu

Na unataka kutuaminisha hapa Muhammad alikuwa haongei wala hafanye jambo lolote zaidi ya kutamka Koran
Yani Muhammad alikuwa kila anachotamka na kila anachofanya ni Koran tupu na ndio sura kama 144 tu ndio maisha yake yote na matendo yake yote
 
Back
Top Bottom