Al-Barzakh: Haya ndio Maisha ya Kaburini baada ya kufa

Al-Barzakh: Haya ndio Maisha ya Kaburini baada ya kufa

Vingi sina hakika, ila kitu ambacho nina hakika hao mababu zako walioleta hii dini walikamata baadhi ya mababu zangu wakawapoka uhuru wao, wakawafunga minyororo, wakawahasi na kuwauza kama watumwa. hivyo kungekuwa na ukweli wasingethubutu kufanya huo upuuzi basi hiyo bazarkh yako iwakumbushe msingi ambao leo unawapa kiburi wengine kujiona sahihi zaidi ya wengine ulijengwa juu ya mafuvu ya watu ambao walikufa kwa mateso makubwa sana.
Dini ni nini?
 
Je na wewe usipoyakuta, utaujutia kiasi gani muda wako uliopoteza?
Sitaweza kujuta ni sawa na watu wawili walioambiwa waaandae chakula huko mbele safarini kutakuwa na njaa...mmoja akajiandaa kikamilifu na mwingine akapuuzia.

Kweli kufika safarini wakakutana na njaa kali, huyu mmoja atasalimika kwa kuwa alijiandaa na yule mwengine ataangamia kwa kuwa alipuuzia .

Na ikitokea hakuna njas basi huyu aliyejiandaa bado atakuwa hajapoteza kitu...win - win situation
 
Yaani duniani uamrishwe uabudu na peponi pia ukaabudu. Hivi unaijua nafsi ya binaadamu kweli? Ikiwa tu ilishindwa kuvumilia kula mana na salwa kule jangwani, chakula bora kabisa kutoka kwa Mungu ndio ikavumilie kufanya ibada mfulululizo huko mbinguni?!!!

Siku ya hukumu ni siku ya malipo, wema watalipwa kwa wema wao walioutenda na waovu watalipwa kwa uovu wao.
Wewe endelea kuwaza mambo ya mwilini wakati utaoza na Mungu ni Roho na wamwabudua wapaswa kumwabudu katika roho na kweli! Endelea kusubiria mabikra 72 wenye macho ya mviringo!
 
Hiyo ni majestic language ( lugha ya utukufu na ukubwa) hutumiwa na waarabu, na Quran iliteremshwa kwa lugha ya kiarabu. Mtu mwenye nguvu na utukufu hutumia nafsi ya kwanza wingi...SISI ( WE) au MIMI (I)
Naam, hutumiwa hata na Kiingereza. Hata Kiswahili kwa ambao lugha mama kwetu ni Kiswahili, tunatumia sana u sisi, sisi.sisi hatutumii Kibri cha u mimi, mimi, mimi.

Ni poyoyo asiyeyaelewa hayo. Hivi hawaelewi Uislam kuwa ni imani ya kuamini Mungu mmoja tu? Ni juha tu asiyeelewaa hilo. Tena kwa Mtanzania ndio namshangaa sana, kwani kila utapokuwepo Tanzania hutakosa kuisikia adhaan, kutwa mara tano ikitamkwa, na yote imelenga kati kukumbusha Mungu mmoja tu. La ilaha ila Allah.
 
Hiyo ni majestic language ( lugha ya utukufu na ukubwa) hutumiwa na waarabu, na Quran iliteremshwa kwa lugha ya kiarabu. Mtu mwenye nguvu na utukufu hutumia nafsi ya kwanza wingi...SISI ( WE) au MIMI (I)
Naam, hutumiwa hata na Kiingereza. Hata Kiswahili kwa ambao lugha mama kwetu ni Kiswahili, tunatumia sana u sisi, sisi.sisi hatutumii Kibri cha u mimi, mimi, mimi.

Ni poyoyo asiyeyaelewa hayo. Hivi hawaelewi Uislam kuwa ni imani ya kuamini Mungu mmoja tu? Ni juha tu asiyeelewaa hilo. Tena kwa Mtanzania ndio namshangaa sana, kwani kila utapokuwepo Tanzania hutakosa kuisikia adhaan, kutwa mara tano ikitamkwa, na yote imelenga kati kukumbusha Mungu mmoja tu. La ilaha ila Allah.
 
Hapo ndo utagundua kabisa kweli kitabu chao wavaa madera ni ujinga mtupu! Bikra 72 wenye macho ya mviringo wanabadilika rangi mara elfu kwa siku! Peponi kuna kufanya ngono! Mtafuteni Mungu wa kweli Jamani! Yaani Mungu aje akupe tena mwili wa kufanya ngono? Lengo la ngono ni kuzaliana sio kingine! Sasa tuwaulize pepo yenu ya kwenda kufanya ngono ipi hiyo?
Binafsi naamini uwepo wa nguvu ya ajabu inayoendesha vitu, naamini kuhusu uumbaji wa binadamu na vitu tuvionavyo na tusivyo viona, naamini kuwepo na purpose after death, I don't believe maisha ya mwanadamu yanakoma anapokufa, naamini kuhusu hukumu of whatever nature ila itakuwepo, naamini kuhusu vitu vingi sana navyo viona, na nisivyo viona pia!!

Dini can be a little confusing sometimes, sababu it narrows our focus of understanding greater things in life. Tunabaki kubishana, kwa mimi navyoona irrelevant things, kwa mtu mwenye akili ya kawaida tu after life haiwezi kuwa imejikitika kwenye ngono na wanawake mabikra, there must be a greater purpose than that. Ngono in after life ni indoctrination tu, just like suicide in the name of religion!! A motivation for people either to do good things or bad things!!
 
Wewe ni Nafs yenye kiwiliwili, Nafs huitwa roho (spirit) pia.

Nafs inabeba himaya yako ya mwili na ya kiroho. Unachoona, unachosikia, unachofanya, unachonusa, unachoonja. Vyote hivyo vinabaki kwenye himaya (arsh) ya Nafs yako. Na nafs zinazokuwa kwenye kiwiliwili chako ni tatu tofauti (soma kuhusu Qareen), moja ni yako mahsusi na moja ni ile ya kishetani na moja ni ile ya mema. Hizi mbili daima zinaishawishi nafs yako, moja kutenda mema, moja kutenda ya kishetani. Wale wenye self control ndio huishinda nafs ya kishetani, inaposalim amri na kuwa njema basi hapo umevuka darja la majaribio ya Shetani na unakuwa mtu mwema sana.

Ukiisoma Qur'an kwa kina inaelezea hayo, pia kuna Hadith ya Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam imeeelea Qareen, alielezea kuhusu Qareen wake kuwa amesilim.

Kuna bwege mmoja aliulizia hapo juu, aliisoma aya, akona kuna "wawili wametajwa" akauliza "hao wawili ni nani", haielewi Qur'am na haelewi kuhusu Qareen, nikaona ni poyoyo hata nikimuelezea hatoelewa kwa kuwa Hamuamini Allah, Haiamini Qur'an na hamuamini wala kumjuwa Mtume Muhammad salaa Allahu alayhi Wasalaam ni nani. Anafikiri alikuja kwa ajili ya Waislaam tu, haelewi kuwa Mtume Muhammad ni Rahma kwa walimwengu wote. Na yeye akiwemo, angemsoma tu amuelewe, angempenda akitaka asitake.

2) Mimi sio hao. Mimi Naamini Qur'an, naamini na Hadith zile ambazo hazipingani na Qur'an. Siiamini kila inayoitwa "hadith" kuwa ni ya kweli, kwa kuwa zingine ni uzushi tu.
Mtu anaona kutokana na retina kubadilisha light kwenda kwenye biochemical ambazo husisimua ubongo na kupata picha kamili . Hamna hapo nafsi wala roho, ni biological process
 
Kiini cha hizo biochemicals ni nini? Unadhani zimejitengeneza tu randomly?
Mtu anaona kutokana na retina kubadilisha light kwenda kwenye biochemical ambazo husisimua ubongo na kupata picha kamili . Hamna hapo nafsi wala roho, ni biological process
 
I w
Binafsi naamini uwepo wa nguvu ya ajabu inayoendesha vitu, naamini kuhusu uumbaji wa binadamu na vitu tuvionavyo na tusivyo viona, naamini kuwepo na purpose after death, I don't believe maisha ya mwanadamu yanakoma anapokufa, naamini kuhusu hukumu of whatever nature ila itakuwepo, naamini kuhusu vitu vingi sana navyo viona, na nisivyo viona pia!!

Dini can be a little confusing sometimes, sababu it narrows our focus of understanding greater things in life. Tunabaki kubishana, kwa mimi navyoona irrelevant things, kwa mtu mwenye akili ya kawaida tu after life haiwezi kuwa imejikitika kwenye ngono na wanawake mabikra, there must be a greater purpose than that. Ngono in after life ni indoctrination tu, just like suicide in the name of religion!! A motivation for people either to do good things or bad things!!
I wish msingekuwa biased ili muweze kusoma islamic literatures concerning the purpose of this life n the life after death (hereafter). Kuna mambo mengi sana ya kusisimua na kustaajabisha kuhusu ukubwa na utukufu wa ALLAH katika ulimwengu huo ujao.

Hata wanafunzi wa Mtume Muhammad pbuh walistaajabu baada ya kuambiwa kuwa the dwellers of the paradise watapewa wanawake 72 ambao jicho halijapata kuwaona wala nafsi haijapata kuwaza kuhusu uzuri wao, na pia walifikiria mbali zaidi ni vipi wataweza kuwaridhisha, ? Wakajibiwa kuwa mwanaume mmoja ndani ya pepo (paradise) atapewa nguvu za kiume sawa na za wanaume mia moja wa ulimwengu huu wa duniani.

Kuna malipo mengi mazuri huko peponi na kubwa zaidi ya hizo starehe zote za peponi ni kupata radhi za Mwenyezi Mungu, means you will be free to do watever you wish na pia wakazi wa peponi watapata nafasi ya kumuona MWENYEZI MUNGU ana kwa ana.

What a reward.!!!

Ukigeuka maisha ya motoni nayo kuna mambo ya kustaajabisha kabisa kuhusu adhabu kali n.k
 
I w

I wish msingekuwa biased ili muweze kusoma islamic literatures concerning the purpose of this life n the life after death (hereafter). Kuna mambo mengi sana ya kusisimua na kustaajabisha kuhusu ukubwa na utukufu wa ALLAH katika ulimwengu huo ujao.

Hata wanafunzi wa Mtume Muhammad pbuh walistaajabu baada ya kuambiwa kuwa the dwellers of the paradise watapewa wanawake 72 ambao jicho halijapata kuwaona wala nafsi haijapata kuwaza kuhusu uzuri wao, na pia walifikiria mbali zaidi ni vipi wataweza kuwaridhisha, ? Wakajibiwa kuwa mwanaume mmoja ndani ya pepo (paradise) atapewa nguvu za kiume sawa na za wanaume mia moja wa ulimwengu huu wa duniani.

Kuna malipo mengi mazuri huko peponi na kubwa zaidi ya hizo starehe zote za peponi ni kupata radhi za Mwenyezi Mungu, means you will be free to do watever you wish na pia wakazi wa peponi watapata nafasi ya kumuona MWENYEZI MUNGU ana kwa ana.

What a reward.!!!

Ukigeuka maisha ya motoni nayo kuna mambo ya kustaajabisha kabisa kuhusu adhabu kali n.k
Hamna life after death mzee baba all resource ulizotumia humu dunia the moment unakufa will be consumed by other organism ili zi support maisha humu duniani.
 
Hamna life after death mzee baba all resource ulizotumia humu dunia the moment unakufa will be consumed by other organism ili zi support maisha humu duniani.
Hakuna kufosiana katika masuala ya imani kila mtu aamini anavyotaka kisha tusubiri tuone mwisho wake nani imani yake itamponya. Uzuri ni kuwa maisha haya ya duniani ni mafupi sana soon wote tutakufa then tutapata majibu huko tuendapo
 
Faidika na Darsa la FaizaFoxy...

Unachanganya mambo sana usiyoyaelewa.

1) Kufa sio kuwa "Barzakh" kama unavyotaka kutuaminisha. Neno Kifo kwa lugha ya Kiarabu ni full stop. Kama unajua kidogo kusoma Kiarabu, hata vibao au saini zao za barabarani kwa Kiarabu zinaandikwa "Kif", kwa maana "stop". Kiswahili ndio tunakazia na kusema "Kifo".

2) Barzakh ni kizuizi "barrier", kwa maana wa uhai hayupo kwenye umauti na wa umauti hayupo kwenye uhai. Kati yetu ni hicho kizuizi (barzakh".

3) Umauti ni hali "state" nyingine ya kutokua hapa kwenye uhai, kuwepo kwenye umauti. Mfano tu, ni kama hali ya kuwa macho (conscious inatawala) na kuwa usingizini (subconscious inatawala). Tofauti ni kuwa upo hai hata ukilala.


Binafsi siamini katika adhabu za kaburi. Kwanza kwa kuwa hazijatajwa kwenye Qur'an, sijaziona. Pili Hadith iliyozitaja siikubali.

Ikiwa kuna adhabu ya kaburini basi Allah itakuwa "katudanganya" (AstaghafiruAllah) anaposema kwenye Qur'an kuwa kuna siku ya kiama (Kusimamishwa) kuhukumiwa? Sasa iweje tena tuhukumiwe kabla ya Kiama?

Naamini kuwa tunapotoka kwenye uhai kuingia kwenye umauti na hadi siku ya Kiama hakutakuwa na feeling za muda kama vile tupo hai. Itakua ni mano wa watu wa Pangoni, kisa cha kwenye Qur'an) au alielala miaka 100 kisa cha Qur'an).

Kifo, kinachokufa ni hiki kiwiliwili (body) chetu, nafsi haifi bali inaingia kweye umauti. Qur'an inahakikisha hili kwa kutukumbusha kuwa "kila nafsi itauonja umauti".

Hata sehemu tu ya kiwiliwili inaweza kufa na nafsi bado haijaingia kwenye umauti. Mfano ukikatika mkono au mguu, unakuwa umekufa huo mkono au mguu lakini nafsi bado haijaonja umauti.
Vyuma vimeumana,ustaadh na ustaadhat
 
Hakuna kufosiana katika masuala ya imani kila mtu aamini anavyotaka kisha tusubiri tuone mwisho wake nani imani yake itamponya. Uzuri ni kuwa maisha haya ya duniani ni mafupi sana soon wote tutakufa then tutapata majibu huko tuendapo
Mimi sijakuforce nimekuwekea fact, kuforce ni kusema kuna multiverse lakini bado hatujaigundua au kuforce ni kuniambia kuna mbingu saba wakati tumeshaenda mpaka mbele ya soler system na hatujaona hizo mbingu
 
Mimi sijakuforce nimekuwekea fact, kuforce ni kusema kuna multiverse lakini bado hatujaigundua au kuforce ni kuniambia kuna mbingu saba wakati tumeshaenda mpaka mbele ya soler system na hatujaona hizo mbingu
Mbele ya solar system gani uliyokwishafika wewe.?
 
Jua ,nyota ,mwezi na haya magimba yote unayoyaona angani yako katika mbingu ya kwanza.

Safari kuyoka mbingu moja kwenda mbingu nyingine ni umbali wa safari ya miaka 500 huku ukiwa unatumia kipando chenye kasi.
 
Ikiwa mwili utaoza ni kipi Kinachomfanya Firauni aliyejiita MUNGU asioze hadi leo karne na karne?
Firauni au farao alikua hawazikwi bali wanakushwa.ukienda misri sio farao mmoja aliyekaushwa yapo ma pyramid mengi tu ambayo yamehifadhi miili ya mafirauni waliokaushwa
 
Endeleeni kujifariji na hadaa za ulimwengu mkifikiri hakuna source ya maisha.

Nani alikuwa na uhakika wa kuzaliwa? Kwani binadamu wa kwanza alitoka wapi?
Utabishaje na utaachaje kuamini vitabu vitakatifu kuhusu miongozo mbali mbali wakati hip sayansi imevikuta. Vitabu?

Ni pumzi tu ndio inatuzubaisha. Hakuna ajuaye dakika moja mbele nini kitamtokea.

Maisha ya mwanadamu yote in siri. Mitume ilipewa miongozo ili kujua Muumba anataka nini. Kila kitu kimeelezwa.
Endeleeni kubisha
Sayansi ipi imevikuta vitabu hivi ambavyo havina hata miaka 5000
 
Back
Top Bottom