Al-Barzakh: Haya ndio Maisha ya Kaburini baada ya kufa

Al-Barzakh: Haya ndio Maisha ya Kaburini baada ya kufa

And where could I find an Islamic literature? Sababu siwezi jifunza kiarabu...Mimi Sina tatizo na kusoma na huwa napenda sana knowledge bcs at the end huwa napata a clear perspective of things, uwepo wa nguvu tusiyoweza itambua eventually I can to my own conclusion esp after reviewing a lot of literature on cosmology and human anatomy, obviously ukiwa una akili timamu hauwezi kusema tume evolve,

For instance, in human anatomy, haiwezi exist bila oxygen, the most surprising thing in cosmology, oxygen which is a prerequisite for our existence is not readily available in the universe, it is so rare and unique to our world (Earth), so far cosmology imeshindwa kupata hii kitu kwenye sayari nyingine as of now, so it begs a question, is it a coincidence oxygen, water and other essentials that support our existence kuwa hapa?
Search tu google utaipata Quran iliyokuwa translated into english au swahili.Hakika utajifunza mengi
 
Qur
And where could I find an Islamic literature? Sababu siwezi jifunza kiarabu...Mimi Sina tatizo na kusoma na huwa napenda sana knowledge bcs at the end huwa napata a clear perspective of things, uwepo wa nguvu tusiyoweza itambua eventually I can to my own conclusion esp after reviewing a lot of literature on cosmology and human anatomy, obviously ukiwa una akili timamu hauwezi kusema tume evolve,

For instance, in human anatomy, haiwezi exist bila oxygen, the most surprising thing in cosmology, oxygen which is a prerequisite for our existence is not readily available in the universe, it is so rare and unique to our world (Earth), so far cosmology imeshindwa kupata hii kitu kwenye sayari nyingine as of now, so it begs a question, is it a coincidence oxygen, water and other essentials that support our existence kuwa hapa?
Quran 23:115

Then did you think that We created you uselessly and that to Us you would not be returned?"

Quran 44:38-39

And We did not create the heavens and earth and that between them in play.

We created them not except with truth (i.e. to examine and test those who are obedient and those who are disobedient and then reward the obedient ones and punish the disobedient ones), but most of them know not.
 
And where could I find an Islamic literature? Sababu siwezi jifunza kiarabu...Mimi Sina tatizo na kusoma na huwa napenda sana knowledge bcs at the end huwa napata a clear perspective of things, uwepo wa nguvu tusiyoweza itambua eventually I can to my own conclusion esp after reviewing a lot of literature on cosmology and human anatomy, obviously ukiwa una akili timamu hauwezi kusema tume evolve,

For instance, in human anatomy, haiwezi exist bila oxygen, the most surprising thing in cosmology, oxygen which is a prerequisite for our existence is not readily available in the universe, it is so rare and unique to our world (Earth), so far cosmology imeshindwa kupata hii kitu kwenye sayari nyingine as of now, so it begs a question, is it a coincidence oxygen, water and other essentials that support our existence kuwa hapa?
Unaweza ku download copy ya Quran iliyofasiriwa kwa lugha ya kingereza kupitia hapa (only 2MB)

NobleQuran.com – Simple English Translation of the Quran › Nob...PDF
Interpretation of the meaning of the Qur'an in the English Language
 
Hapana, Dini sio “Njia".
Kumbuka, anae kuelekeza hivyo anafahamu mpaka asili ya hilo neno.

We baki na maana yako nami nabaki na kuendelea kutowa ilm bila khiyana, ambaye ataipokea ni kheri na asiyeipokea ni kheri. Hakuna matata.
 
kuna watu ambao hawatazikwa, either watazama baharini au watachomwa moto je hao hawatapitia hiyo barzakh? maana naona wamepewa kipaumbele wale watakaozikwa tu
Soma kwa makini....Ni roho za wafu ndizo zitakuwa barzakh baada ya kuachana na miili wakati wa vifo!
 
Qur

Quran 23:115

Then did you think that We created you uselessly and that to Us you would not be returned?"

Quran 44:38-39

And We did not create the heavens and earth and that between them in play.

We created them not except with truth (i.e. to examine and test those who are obedient and those who are disobedient and then reward the obedient ones and punish the disobedient ones), but most of them know not.
Hivi Allah anaposema we creat anamaanisha nini kusema tumeumba mbingu na Dunia, wakati alikuwa yeye mwenyewe?
 
Yesu mwenyewe alivorudi alikausha hakusimulia,, sijui hawa hizi stori wanazijulia wapi....

Hata lazaro mwenyewe alikausha hakusimulia yoyote....
 
Soma kwa makini....Ni roho za wafu ndizo zitakuwa barzakh baada ya kuachana na miili wakati wa vifo!
soma kwa makini tena maelezo ya mtoa mada, nimeuliza kutokana na maelezo yake, labda kama unanipa ufafanuzi wa unachokielewa kwa upande wako.
 
sasa nini maana ya kushuka si ili aliye juu either kuwa sawa au kuwa chini ya mwingine mbona kiswahili kimenyooka kabisa unataka kuficha nini mama
Kujishusha hakumaanishi awe chini ya fulani. Kiswahili kinakupa shida au ndio shule za kusomea ujinga?
 
Mama Faiza bila Yesu mbinguni hutoboi hata kama utatoa shahada,uswali swala tano au ufunge swaumu
Mbingu ndio nini wewe? Kiswahili kinakupiga chenga.

Kama kuna anaefuata Yesu kwa vitendo na mafundisho yake basi hakuna zaidi ya Muislam?

Wewe unakifata kipi cha mafundisho ya Yesu? Wewe ndio wale mtaoambiwa nendeni, siwajui.
 
sasa nini maana ya kushuka si ili aliye juu either kuwa sawa au kuwa chini ya mwingine mbona kiswahili kimenyooka kabisa unataka kuficha nini mama
Sio "kushuka", kujishusha, simply ni kinyume cha kujikweza.

Wewe hakika kabisa Kiswahili sio lugha mama kwako au unabishana ili ubishane tu, huna yakini.

Unachotaka kubisha nini? Unamuamini Allah? Unaiamini Qur'an?
 
Mbingu ndio nini wewe? Kiswahili kinakupiga chenga.

Kama kuna anaefuata Yesu kwa vitendo na mafundisho yake basi hakuna zaidi ya Muislam?

Wewe unakifata kipi cha mafundisho ya Yesu? Wewe ndio wale mtaoambiwa nendeni, siwajui.

Mama Faiza
Principle ni hii...
Marko : 16 : 16 - Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.

mama faiza uko kwenye uislamu kuna ubatizo?
 
Kufa ni nini? Kufa ni hali ya roho kuepukana na kiwiliwili, au kufa ni kukatika matumizi ya roho kwa kiwiliwili na kukosa kiwiliwili ambayo ndio ala yake na kumuepusha mtu na mali yake na watoto wake na mke wake.

Kufa kunakata utamu wa maisha ya kiulimwengu na kwenda ulimwengu mwingine. Mtu ambaye alikuwa akifurahia maisha ya ulimwengu kwa kufanya ufedhuli amepata khasara baada ya kufa.

Na yule ambaye alikuwa akifurahi kwa kumkumbuka Mwenyezi Mungu basi atapata neema kubwa na inakamilika kufaulu kwake.

Watu wengi hudhania ya kwamba mtu anapokufa na akazikwa amemaliza kila kitu na amepumzika na ulimwengu, wala halimjii yeye jambo lolote.

Kudhani hivyo ni kosa kubwa bali hakika mwanadamu baada ya kufa kwake anaingia katika maisha mapya, maisha ya barzakh na kutoka maisha ya barzakh huenda kwenye maisha ya akhera ambayo ndiyo maisha ya mwisho na ya milele.

View attachment 2140429

Bar-zakh ni maisha ya baadaye; maisha baada ya haya tuliyonayo hivi sasa hapa duniani.

Maisha hayo kuanzia mtu anapokufa huitwa ni ‘Maisha Ya Barzakh’.
Barzakh ni kipindi baina ya wakati wa mauti na Qiyaamah. Na kila maiti atapitia katika maisha hayo, awe Muislam au Mkristo au asiye na dini, awe mwema au mwovu, na katika kipindi hicho kunakuwa na fitna na mitihani ya kaburi ambako mtu anajiwa na Malaika wawili na kuhojiwa na kisha hufuatia neema au adhabu za kaburini.

Inajulikana kuwa kuna makazi matatu; makazi ya Dunia (Daarud-duniya), makazi ya Barzakh (Daarul-Barzakh) na makazi ya kudumu (Daarul-Qaraar).

Maisha ya kaburini ni kile kipindi anachokaa mtu baada ya kufa kwake mpaka kufufuliwa kwake. Kipindi kati ya parapanda la kwanza ambalo ni amri ya kufa viumbe vyote na parapanda la pili ambalo ni amri ya kufufuliwa viumbe vyote vitakavyotakiwa vifufuke, Huitwa Barzakh.

Katika kipindi hichi cha maisha ya dunia ni mambo gani yanayoendelea katika nafsi ya mwenye kufa? Wengi kwa kujiliwaza katika wakati huo hufikiria kuwa watu wakifa wanakuwa mapumzikoni.

Na watu ambao hawaamini siku ya mwisho huamini kuwa kifo ndio mwisho wa maisha ya watu na iliyobaki ni kuoza na kuwa chumvi chumvi zitakazotumika ardhini.

Katika kipindi cha Barzakh roho za watu wema zitakaa pahali pazuri kungojea malipo yao ya Peponi, Ama zile za watu waovu zitakuwa mahabusu zikingojea siku ya hukumu yao. Ama kuhusu mtu muovu yeye atakaa katika kaburi lake kwa khofu na fadhaa.


Maisha ya Barzakh ni maisha yanayotofautiana kabisa na maisha ya dunia, na hakuna ajuaye hakika kamili ya maisha haya na namna yalivyo isipokuwa Mwenyezi MUNGU pekee.

Jiandae na maisha ya barzakh ambayo hayana salama ila kwa wacha-Mungu

View attachment 2140430
Kufa ni kukoma kwa shughuli zote kwenye ubongo.
 
Acha porojo wewe, Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam, hajawahi kuandika hadith yoyote ile. Hiyo mashine ya ku"copy" uliiunda wewe miaka zaidi ya 1400 nyuma?
Alikuwa ana copy na alikuwa anaambiwa anachosema ni tales of ancients, na wakamuakikishia wanajua anapo copy maana walimwambia wanaweza kutamka anayotamka

Koran 8:31 When Our Signs are rehearsed to them, they say: "We have heard this (before): if we wished, we could say (words) like these: these are nothing but tales of the ancients."
 
Alikuwa ana copy na alikuwa anaambiwa anachosema ni tales of ancients, na wakamuakikishia wanajua anapo copy maana walimwambia wanaweza kutamka anayotamka

Koran 8:31 When Our Signs are rehearsed to them, they say: "We have heard this (before): if we wished, we could say (words) like these: these are nothing but tales of the ancients."
HIyo "Koran" yako mimi siitambui, mnafundishana hiyo Sunday School au mnafundishana yale mambo ya Father Kit Cunningham? Ujuha wako peleka kwengine, yo are too shallow.

Unamuamini Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam? Au unapayuka tu?
 
Back
Top Bottom