Al-Barzakh: Haya ndio Maisha ya Kaburini baada ya kufa

Mimi dakika moja mbele nitawqsha simu yangu .kesho jioni nitakula wali na nyama,au unaingelea dakika ipi
 
Hizo shuhuda mbona kama chai
 
Umejuaje hayo
 
Soma kijana. Kuna uwingi (plural wa heshima (majestic). Lugha ya "sisi" ni kujishusha. Wenye kibri cha majivuno ndio huongea "mimi, mimi,mimi"

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kwahiyi Allah anajishusha ili awe chini ya nani
 
And where could I find an Islamic literature? Sababu siwezi jifunza kiarabu...Mimi Sina tatizo na kusoma na huwa napenda sana knowledge bcs at the end huwa napata a clear perspective of things, uwepo wa nguvu tusiyoweza itambua eventually I can to my own conclusion esp after reviewing a lot of literature on cosmology and human anatomy, obviously ukiwa una akili timamu hauwezi kusema tume evolve,

For instance, in human anatomy, haiwezi exist bila oxygen, the most surprising thing in cosmology, oxygen which is a prerequisite for our existence is not readily available in the universe, it is so rare and unique to our world (Earth), so far cosmology imeshindwa kupata hii kitu kwenye sayari nyingine as of now, so it begs a question, is it a coincidence oxygen, water and other essentials that support our existence kuwa hapa?
 
Mtu anaona kutokana na retina kubadilisha light kwenda kwenye biochemical ambazo husisimua ubongo na kupata picha kamili . Hamna hapo nafsi wala roho, ni biological process
Halafu hiyo picha inahifadhiwa wapi?
 
Mi najua kinachotokea baada ya kufa sio hayo aliyotaja mleta uzi kakosea ni tofauti kabisa. Usibishe maan mi ninaejua ntatoa muongozo
 
Kifanya mapenzi Mungu aliweka kuwe na starehe ili ufanye na uzaliane, lengo ni kuzaliana na wala sio starehe , ingekuwa hakuna Raha binadamu tulivyo tusingeongezeka kabisa,

Kula , kufanya strehe na pombe ni needs ambazo ndio mateso ya binadamu , starehe kubwa ni kutokuwa na needs

Imagine Allah kasema uume unasimama milele na ataufanya uwe mrefu balaa , mateso gani haya , Yani mbinguni unapisha ma mama Yako wewe dushe limesimama milele ? Kulala inabidi ulale upande chali tu milele maana kulala kwa tumbo ndio kwisha hutaweza dushe lipo wima
 
Jua ,nyota ,mwezi na haya magimba yote unayoyaona angani yako katika mbingu ya kwanza.

Safari kuyoka mbingu moja kwenda mbingu nyingine ni umbali wa safari ya miaka 500 huku ukiwa unatumia kipando chenye kasi.
Muhammad aliwezaje kufika mbingu ya Saba , kwa masaa machache kama umbali ndio huu? Na Muhammad alitumia mnyama na alikuwa na Malaika wanaenda nae
 
Issue ya adhabu ya kaburi nimesoma Hadith, Muhammad Ali copy kutoka fairy tale story za wayahudi , na alipata kutoka kwa mwanamke wa kiyahudi alimpigia stroy Aisha , Aisha akamuuliza Muhammad , Muhammad akaogopa Sana toka siku hiyo kila akisali akaanza kumuomba Allah amuepushe na adhabu ya kaburi
 
Kwakweli tujiandae maisha ya kaburini ni hatari, yanatisha sana
 
Jua ,nyota ,mwezi na haya magimba yote unayoyaona angani yako katika mbingu ya kwanza.

Safari kuyoka mbingu moja kwenda mbingu nyingine ni umbali wa safari ya miaka 500 huku ukiwa unatumia kipando chenye kasi.
Mkuu ulitumia kipimo Gani ,kupima hiyo speed?
 
Acha porojo wewe, Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam, hajawahi kuandika hadith yoyote ile. Hiyo mashine ya ku"copy" uliiunda wewe miaka zaidi ya 1400 nyuma?
 
Acha porojo wewe, Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam, hajawahi kuandika hadith yoyote ile. Hiyo mashine ya ku"copy" uliiunda wewe miaka zaidi ya 1400 nyuma?
Huwezi kupinga Hadith , ndio maana Kuna mswali ya Aya nilikupa ukawa unatoa macho huna majibu

Na unataka kutuaminisha hapa Muhammad alikuwa haongei wala hafanye jambo lolote zaidi ya kutamka Koran
Yani Muhammad alikuwa kila anachotamka na kila anachofanya ni Koran tupu na ndio sura kama 144 tu ndio maisha yake yote na matendo yake yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…