Nimemuamini mtu alikuwa ana chukua tales of the ancients anatengeneza kitabu chake?HIyo "Koran" yako mimi siitambui, mnafundishana hiyo Sunday School au mnafundishana yale mambo ya Father Kit Cunningham? Ujuha wako peleka kwengine, yo are too shallow.
Unamuamini Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam? Au unapayuka tu?
Wapo na wamekuja na maonyo kwa wanadamu waache uovuMi nilifkr kuna mtu ametoka kuzimu ili kutupa mchongo of what is going on huko down , kumbe story tuuu....!!
Muwe mnaenda straight to the poit
Ndivyo mnavyodanganywa hivyo Sunday School, baada ya zile misa za kina father Kit Cunningham?Nimemuamini mtu alikuwa ana chukua tales of the ancients anatengeneza kitabu chake?
Koran 8:31 When Our Signs are rehearsed to them, they say: "We have heard this (before): if we wished, we could say (words) like these: these are nothing but tales of the ancients."
Nimemaliza kazi yangu, ku copy kubaya ona walivyomuumbuaNdivyo mnavyodanganywa hivyo Sunday School, baada ya zile misa za kina father Kit Cunningham?
Huna ulijualo. Wala huna kazi. You are too shallow.Nimemaliza kazi yangu, ku copy kubaya ona walivyomuumbua
Ndio maana mwanzoni nimekwambia story ya adhabu ya kaburi ali copy kutoka fairy tale stories za wayahudi
Usitoke nje ya mada issue ya copy story za wayahudi tena fairy tales stories of ancientsHuna ulijualo. Wala huna kazi. You are too shallow.
Bishana na Wakristo wenzako walioenda shule. Msome huyu anasema nini...
Michael Hart in "The 100, A Ranking of the Most Influential Persons in the History," New York, 1978., p. 33
"My choice of Muhammad (pbuh) to lead the list of world's most influential persons may surprise some readers and may be questioned by others, but he was the only man in the history who was supremely successful on both the secular and religious level. It is probable that the relative influence of Islam has been larger than the combined influence of Jesus Christ and St. Paul on Christianity. It is this unparalleled combination of the secular and religious influence which I feel entitles Muhammad (pbuh) to be considered to be the most influential single figure in human history."
Source: You Must Know This Man - Muhammad(The Ideal Prophet)
You are too shallow, unaandika vitu havielewi kijana. Hata kilichoandikwa hapo hujaelewa maana yake.Usitoke nje ya mada issue ya copy story za wayahudi tena fairy tales stories of ancients
Koran 8:31 When Our Signs are rehearsed to them, they say: "We have heard this (before): if we wished, we could say (words) like these: these are nothing but tales of the ancients."
Kubali hili nimemaliza alafu ndio ulete mada yako mpya
Nikishaona unaamisha mada najua nimeshamaliza kazi, Pole sanaYou are too shallow, unaandika vitu havielewi kijana. Hata kilichoandikwa hapo hujaelewa maana yake.
Ngojs nikusaidie tafsiri ya nilichokuleta juu hapo, uwasome Wakristo wenzio walioenda shule kusoma,siyo wewe uliyeenda kusomea ujinga. Soma hii...
Michael Hart katika "The 100, Cheo cha Watu Wenye Ushawishi Zaidi katika Historia," New York, 1978., p. 33
"Chaguo langu la Muhammad (SAW) kuongoza orodha ya watu wenye ushawishi mkubwa zaidi duniani linaweza kuwashangaza baadhi ya wasomaji na linaweza kuulizwa na wengine, lakini alikuwa ni mtu pekee katika historia ambaye alikuwa na mafanikio makubwa katika ngazi ya kilimwengu na kidini. kuna uwezekano kwamba ushawishi wa jamaa wa Uislamu umekuwa mkubwa kuliko ushawishi wa pamoja wa Yesu Kristo na Mtakatifu Paulo juu ya Ukristo.Ni mchanganyiko huu usio na kifani wa ushawishi wa kilimwengu na wa kidini ambao ninahisi unampa Muhammad (pbuh) kuhesabiwa kuwa ndiye mtu mmoja mwenye ushawishi mkubwa zaidi katika historia ya wanadamu."
Nikujibu nini zaidi, hata kitabu chako unachosomeshwa Sunday School baada ya misa ya Father Kit Cunningham,unachokileta hapa sikijui..Nikishaona unaamisha mada najua nimeshamaliza kazi, Pole sana
Kama unadai sijaelewa kwa nini usijibu ndani ya mada unaanza kuamisha mada? adhabu ya kaburi mmepigwa changa la macho na mwanamke wa kiyahudi
"Muhhammad came to me and there was a Jewish woman with me who was saying: 'You will be tested in your graves.' Muhhammad got upset and said: 'Rather the Jews will be tested."
Mutah girl , rudi kwenye mada yani nacheka unavyoangaika kubadili mada, wewe saizi yako ni wasiojua uislamu ndio nenda kawadanganyeWee poyoyo, nikujibu nini zaidi, hata kitabu chako unachosomeshwa Sunday School baada ya misa ya Father Kit Cunningham,unachokileta hapa sikijui..
Soma hii:
Philippines president reveals he was abused by priest as a child
Controversial leader says he was influenced by being 'fondled' by Catholic priest but does not "give a sh*t" about human rights after drug crackdown kills almost 4000www.independent.co.uk
Atakuwa Abel huyoBinadamu wa kwanza kufariki mpaka leo bado anasubiria parapanda...
Conclusion yako ime base kwenye logical fallacy ya personal experienceNdio maana huwa siamini kabisa theory of evolution, tatizo binadamu anataka kuelewa Kila kitu kuhusu powers that governs the universe na ndio contradiction inapokuja pale anaposhindwa kuelezea,
Ni sawa sawa utengeneze gari au ujenge nyumba na vitake kukujua au kukuelezea wewe mtengenezaji, it's impossible, it might be an irrelevant example but it serves the purpose, chunguza mdudu yoyote tu uone details zilizomo.
I have always come to a conclusion there's power that is so powerful that we can never ever comprehend! And that is my opinion ukiachana na mambo ya dini. Dini zinaweza hata zisimuelezee "Mungu" but your mind can discover the truth!!
Za kuambiwa changanya na za kwako...Atakuwa Abel huyo
Aisee ndio maana wengine wanazikwa na simu ili wakiwa huko wasiwe wapweke
Ivi kwani nikuulize swali la kiakili tu ivi yule ambaye amekuumba mwanzo na wakati si kitu hana uwezo wa kukufufua tena. Tatizo letu sisi wanaadamu tunadhani tuna elimu kubwa zaidi kuliko Allah ambae katuumba sisi, hizo sayansi ambazo tumefunguliwa kuzijua ndo tunaziona zina kazi zaidi kuliko Allah lakini nakuambia kifo kipo na yapi maisha baada ya kifo na Wallah adhabu za kaburini zipo na malipo yapo pia ,,Allah akuongozeHizi ni hekaya tuu, ukifa kwanza joto la mwili hushuka damu huganda, unapata rigor mortis, baadae bacteria wa utombo mkubwa wanaanza kukutafuna. Ila ikumbukwe wewe huna fahamu yani ndio basi tena mwili wako utatumika kusaidia maisha mengine humu duniani.
Mikwara ya ukifa sijui kuna adhabu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu wanachomwa moto hilo kaburi wataliona wapi, watu wanaliwa na simba kabuti hilo wataliona wapi
Hajakufa na kufufuka ila sehemu ya imani ni kuamini katika siku ya mwisho ya malipo, nikupe mfano tu ww wakati ukijiandaa kufanya biashara kuna mategemeo ambayo unayatarajia badae ama biashara yako ikulipe au ule hasara na ni uhakika kwamba itatokea moja katika hilo hilo, ndo haya maisha ya duniani ivi unadhani ndugu yangu tumeumbwa burebure tu ,angalia maisha yako jinsi yanavyoenda angalia mbigu angalia ardhi angalia bahari hivi unadhani vinajiendesha tu vyenyewe hivo au unafkria ni sayansi.Pumbavu kabisa utadhani ulishakufa then ukafufuka. Ushirikina unakusumbua.