Hakuna muumini wa upande huu wala huu. Mwenyeezi Mungu ni mmoja tu, tujisalimishe kwake na T tumuabudu Yeye tu, ni binaadam wenye ushetani waliotugawa ili watutawale vizuri (divide and rule).Asante kwa darasa, japo ni mwamini wa upande wa pili wenu lakini nimekuelewa mno.
Ndio mnavyodanganywa Huko madrasa kwamba firauni alijiita mungu na haozi kisa kalaaniwa?Ikiwa mwili utaoza ni kipi Kinachomfanya Firauni aliyejiita MUNGU asioze hadi leo karne na karne?
Mimi nimestaajab sana!Huzikubali hadithi hata kama ni sahihi?
Jidanganye tu. Uzuri ni kuwa kila mtu ataujua ukweli na kuukiri ukweli. Ombea tu neema ya kuujua huo ukweli kwenye muda sahihi.Hizi ni hekaya tuu, ukifa kwanza joto la mwili hushuka damu huganda, unapata rigor mortis, baadae bacteria wa utombo mkubwa wanaanza kukutafuna. Ila ikumbukwe wewe huna fahamu yani ndio basi tena mwili wako utatumika kusaidia maisha mengine humu duniani.
Mikwara ya ukifa sijui kuna adhabu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu wanachomwa moto hilo kaburi wataliona wapi, watu wanaliwa na simba kabuti hilo wataliona wapi
Nijidanganye nini wakati wewe ndio unajidanganyaJidanganye tu. Uzuri ni kuwa kila mtu ataujua ukweli na kuukiri ukweli. Ombea tu neema ya kuujua huo ukweli kwenye muda sahihi.
nisamehe, nisamehe sana, nimekosea mimiMaswali yako ya kisheria hayaruhusiwi kwa maada hii, maana unaweza mkimbiza mletaa maada bure,akizani wwe ni DPP!!!
UmemalizaFaidika na Darsa la FaizaFoxy...
Unachanganya mambo sana usiyoyaelewa.
1) Kufa sio kuwa "Barzakh" kama unavyotaka kutuaminisha. Neno Kifo kwa lugha ya Kiarabu ni full stop. Kama unajua kidogo kusoma Kiarabu, hata vibao au saini zao za barabarani kwa Kiarabu zinaandikwa "Kif", kwa maana "stop". Kiswahili ndio tunakazia na kusema "Kifo".
2) Barzakh ni kizuizi "barrier", kwa maana wa uhai hayupo kwenye umauti na wa umauti hayupo kwenye uhai. Kati yetu ni hicho kizuizi (barzakh".
3) Umauti ni hali "state" nyingine ya kutokua hapa kwenye uhai, kuwepo kwenye umauti. Mfano tu, ni kama hali ya kuwa macho (conscious inatawala) na kuwa usingizini (subconscious inatawala). Tofauti ni kuwa upo hai hata ukilala.
Binafsi siamini katika adhabu za kaburi. Kwanza kwa kuwa hazijatajwa kwenye Qur'an, sijaziona. Pili Hadith iliyozitaja siikubali.
Ikiwa kuna adhabu ya kaburini basi Allah itakuwa "katudanganya" (AstaghafiruAllah) anaposema kwenye Qur'an kuwa kuna siku ya kiama (Kusimamishwa) kuhukumiwa? Sasa iweje tena tuhukumiwe kabla ya Kiama?
Naamini kuwa tunapotoka kwenye uhai kuingia kwenye umauti na hadi siku ya Kiama hakutakuwa na feeling za muda kama vile tupo hai. Itakua ni mano wa watu wa Pangoni, kisa cha kwenye Qur'an) au alielala miaka 10 kisa cha Qur'an).
Kifo, kinachokufa ni hiki kiwiliwili (body) chetu, nafsi haifi bali inaingia kweye umauti. Qur'an inahakikisha hili kwa kutukumbusha kuwa "kila nafsi itauonja umauti".
Hata sehemu tu ya kiwiliwili inaweza kufa na nafsi bado haijaingia kwenye umauti. Mfano ukikatika mkono au mguu, unakuwa umekufa huo mkono au mguu lakini nafsi bado haijaonja umauti.
Kila mtu ataujua ukweli, pamoja na wewe. Jiandae.Nijidanganye nini wakati wewe ndio unajidanganya
unamaanisha kama hadithi inaongelea jambo ambalo halipo kwenye quran huikubali? tupe mfano wa hadithi inayokwenda tofauti na quran.Sijasema sizikubali hadith, hadith zipo na zitaendelea kuwepo. Siikubali hadith yoyote inayokwenda tofauti na Qur'an.
Binafsi siamini alichokisema, ila ukweli ni kwamba Kuna extra dimension, the power our mortal minds can't explain. Unaweza usimuite Mungu ila ukweli ni kwamba humans are not a coincidence or an outcome of evolution.Hizi ni story za binadamu ambao mara nyingi hawana uthibitisho wala uhakika wa wanachokisema.
Atakuwa Van Winkle huyo. 😆😆kisa cha kwenye Qur'an) au alielala miaka 10 kisa cha Qur'an).
Good observation.Binafsi siamini alichokisema, ila ukweli ni kwamba Kuna extra dimension, the power our mortal minds can't explain. Unaweza usimuite Mungu ila ukweli ni kwamba humans are not a coincidence or an outcome of evolution.
I believe we were designed, along with our world and the universe itself, jinsi Hiyo power unavyofanya kazi hapo ndio debate ilipo, hauwezi toka usiku ukiangalia angani all those trillions of stars with an infinite planets possibly with life usime vilikuja tu, you must be mad to believe that or deny the power, wazungu wanaweza kuwa walitudanganya purposely or unintentionally sababu hata wao inawezekana walikosea explanation ya mambo wanayoyaona.
Our Galaxy, planets, etc floats in space observing the laws of physics, question is, nani aliweka hizo laws? There's is power our mortal minds can't comprehend or even explain!!
Hapo umeongelea maisha ya kaburini,inamaana inawahusu wale tu wanaozikwa. Vipi kuhusu maiti zinazochomwa moto,liwa na wanyama au zisizozikwa kabisa na namna yoyote ile.
Sawa madam hangaya nimekuelewa vzr sana, ila kwanini umeingilia kesi ya Mbowe?Faidika na Darsa la FaizaFoxy...
Unachanganya mambo sana usiyoyaelewa.
1) Kufa sio kuwa "Barzakh" kama unavyotaka kutuaminisha. Neno Kifo kwa lugha ya Kiarabu ni full stop. Kama unajua kidogo kusoma Kiarabu, hata vibao au saini zao za barabarani kwa Kiarabu zinaandikwa "Kif", kwa maana "stop". Kiswahili ndio tunakazia na kusema "Kifo".
2) Barzakh ni kizuizi "barrier", kwa maana wa uhai hayupo kwenye umauti na wa umauti hayupo kwenye uhai. Kati yetu ni hicho kizuizi (barzakh".
3) Umauti ni hali "state" nyingine ya kutokua hapa kwenye uhai, kuwepo kwenye umauti. Mfano tu, ni kama hali ya kuwa macho (conscious inatawala) na kuwa usingizini (subconscious inatawala). Tofauti ni kuwa upo hai hata ukilala.
Binafsi siamini katika adhabu za kaburi. Kwanza kwa kuwa hazijatajwa kwenye Qur'an, sijaziona. Pili Hadith iliyozitaja siikubali.
Ikiwa kuna adhabu ya kaburini basi Allah itakuwa "katudanganya" (AstaghafiruAllah) anaposema kwenye Qur'an kuwa kuna siku ya kiama (Kusimamishwa) kuhukumiwa? Sasa iweje tena tuhukumiwe kabla ya Kiama?
Naamini kuwa tunapotoka kwenye uhai kuingia kwenye umauti na hadi siku ya Kiama hakutakuwa na feeling za muda kama vile tupo hai. Itakua ni mano wa watu wa Pangoni, kisa cha kwenye Qur'an) au alielala miaka 100 kisa cha Qur'an).
Kifo, kinachokufa ni hiki kiwiliwili (body) chetu, nafsi haifi bali inaingia kweye umauti. Qur'an inahakikisha hili kwa kutukumbusha kuwa "kila nafsi itauonja umauti".
Hata sehemu tu ya kiwiliwili inaweza kufa na nafsi bado haijaingia kwenye umauti. Mfano ukikatika mkono au mguu, unakuwa umekufa huo mkono au mguu lakini nafsi bado haijaonja umauti.
Sikumpinga yeyote, nimemwaga darsa kwa nijuavyo. Inaweza kuwa nipo sahih kwa muono wangu na kwa muono wake inawezakuwa yeye yupo sahih, lakini. kwa mionno miwili tofauti halafu wote tuwe sahih, haiwezekani. Kuna mmoja wetu yupo sahih. Yakuambiwa changanya na yako.Kwa hiyo na huyu mwenzenu FaizaFoxy aliyempinga mtoa mada, tena kwa hoja za upande wenu huo huo! naye anavaa Vimini?
Nasubiria jibu.
Ndio maana huwa siamini kabisa theory of evolution, tatizo binadamu anataka kuelewa Kila kitu kuhusu powers that governs the universe na ndio contradiction inapokuja pale anaposhindwa kuelezea,Good observation.
Nice video for you or anybody to watch.
Hv huwezi kusema darasa! mpaka uandika darsa?Sikumpinga yeyote, nimemwaga darsa kwa nijuavyo. Inaweza kuwa nipo sahih kwa muono wangu na kwa muono wake inawezakuwa yeye yupo sahih, lakini. kwa mionno miwili tofauti halafu wote tuwe sahih, haiwezekani. Kuna mmoja wetu yupo sahih. Yakuambiwa changanya na yako.