Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
Watakua barzakVp kuhusu mifugo yetu kama kuku, Bata, ng'ombe nk nao Wana maisha baada ya kifo, na je mimea, au wanyama mwitu je??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakua barzakVp kuhusu mifugo yetu kama kuku, Bata, ng'ombe nk nao Wana maisha baada ya kifo, na je mimea, au wanyama mwitu je??
[emoji23]mtu mzima wewe acha janja janja typing error wajifanya hujui?umesema huamini adhabu ya kaburi kwa sababu kuna kiama,je adhabu za sharia zikishatolewa kiama hakuna tena kwa muadhibiwa?Sijakuelewa kabisa. "batiri" ndio nini?
Jitulize, hakikisha unakielewa unachokiuliza, halafu ndio uulize.
MUNGUUnamuamini Allah?
Down hamna kitu zaidi kuoza tu na mifupa kuendelea kuwepo miaka mimngi mbeleMi nilifkr kuna mtu ametoka kuzimu ili kutupa mchongo of what is going on huko down , kumbe story tuuu....!! Muwe mnaenda straight to the poit
Unamuamini Allah?MUNGU
Unamuamini Allah?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niliwaza hivyo pia mie. Kumbe ni story tyuuh.Mi nilifkr kuna mtu ametoka kuzimu ili kutupa mchongo of what is going on huko down , kumbe story tuuu....!!
Muwe mnaenda straight to the poit
Hapa nimeelewaa. Uko vizuri bibi.Faidika na Darsa la FaizaFoxy...
Unachanganya mambo sana usiyoyaelewa.
1) Kufa sio kuwa "Barzakh" kama unavyotaka kutuaminisha. Neno Kifo kwa lugha ya Kiarabu ni full stop. Kama unajua kidogo kusoma Kiarabu, hata vibao au saini zao za barabarani kwa Kiarabu zinaandikwa "Kif", kwa maana "stop". Kiswahili ndio tunakazia na kusema "Kifo".
2) Barzakh ni kizuizi "barrier", kwa maana wa uhai hayupo kwenye umauti na wa umauti hayupo kwenye uhai. Kati yetu ni hicho kizuizi (barzakh".
3) Umauti ni hali "state" nyingine ya kutokua hapa kwenye uhai, kuwepo kwenye umauti. Mfano tu, ni kama hali ya kuwa macho (conscious inatawala) na kuwa usingizini (subconscious inatawala). Tofauti ni kuwa upo hai hata ukilala.
Binafsi siamini katika adhabu za kaburi. Kwanza kwa kuwa hazijatajwa kwenye Qur'an, sijaziona. Pili Hadith iliyozitaja siikubali.
Ikiwa kuna adhabu ya kaburini basi Allah itakuwa "katudanganya" (AstaghafiruAllah) anaposema kwenye Qur'an kuwa kuna siku ya kiama (Kusimamishwa) kuhukumiwa? Sasa iweje tena tuhukumiwe kabla ya Kiama?
Naamini kuwa tunapotoka kwenye uhai kuingia kwenye umauti na hadi siku ya Kiama hakutakuwa na feeling za muda kama vile tupo hai. Itakua ni mano wa watu wa Pangoni, kisa cha kwenye Qur'an) au alielala miaka 100 kisa cha Qur'an).
Kifo, kinachokufa ni hiki kiwiliwili (body) chetu, nafsi haifi bali inaingia kweye umauti. Qur'an inahakikisha hili kwa kutukumbusha kuwa "kila nafsi itauonja umauti".
Hata sehemu tu ya kiwiliwili inaweza kufa na nafsi bado haijaingia kwenye umauti. Mfano ukikatika mkono au mguu, unakuwa umekufa huo mkono au mguu lakini nafsi bado haijaonja umauti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaahKuku umemla unategemea nini? Haya binadamu marehemu, mchawi kamla hata huko kaburini hayupo tena unategemea nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo hii story ni kwa waliozikwa tu!! Lakini hata kuku wanaugua ( mdondo) tunawachimbia shimo ,tunawafukia (tunawazika) Kwa kesi hiyo unasemaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanazama baharini, wanaliwa na papa.Hizi ni hekaya tuu, ukifa kwanza joto la mwili hushuka damu huganda, unapata rigor mortis, baadae bacteria wa utombo mkubwa wanaanza kukutafuna. Ila ikumbukwe wewe huna fahamu yani ndio basi tena mwili wako utatumika kusaidia maisha mengine humu duniani.
Mikwara ya ukifa sijui kuna adhabu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu wanachomwa moto hilo kaburi wataliona wapi, watu wanaliwa na simba kabuti hilo wataliona wapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivi una nn wee? Nimechek km chizi hapa.Binadamu wa kwanza kufariki mpaka leo bado anasubiria parapanda...
Hata akija ambae alishakufa bado utamkanusha na kusema kuwa si lolote bali ni uchawi tu.Yaani bora angesimulia aliyekufa tayari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sawa madam hangaya nimekuelewa vzr sana, ila kwanini umeingilia kesi ya Mbowe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe kwenye suala hadithi za imani yenu umechagua zipi za kuziamini?!vipi na wale bikra 72 wenye macho ya mviringo?
Kila nafsi itayaishi maisha ya barzakh iwe ililiwa na wanyama wakali, iwe ilichomwa moto na kuwa jivu , iwe ilizamishwa kwenye Acid n.kkuna watu ambao hawatazikwa, either watazama baharini au watachomwa moto je hao hawatapitia hiyo barzakh? maana naona wamepewa kipaumbele wale watakaozikwa tu
Acha uongo wako wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata akija ambae alishakufa bado utamkanusha na kusema kuwa si lolote bali ni uchawi tu.
Maneno unayoyaongea si mageni kabisa bali babu zako waliokwisha kufa hali ya kuwa ni makafiri waliyaongea sana kuwadhihaki waonyaji, sasa hv huko walipo wanatamani hata wapate sekunde moja warudi ktk maisha haya warekebishe makosa yao lakini wanashindwa.
Kwaio alodhulumu hapa duniani habari.ndo kwisha? hebu fikiria tena hilo swali hlf utafute.jibuThere is no next life when you dead is over, what left is memory of the people shared with you and some time they mind create a 3D picture and think the dead is awake to greet or punish for those who believe
Aisee nimeelewa hiki ulichoandika.Binafsi siamini alichokisema, ila ukweli ni kwamba Kuna extra dimension, the power our mortal minds can't explain. Unaweza usimuite Mungu ila ukweli ni kwamba humans are not a coincidence or an outcome of evolution.
I believe we were designed, along with our world and the universe itself, jinsi Hiyo power unavyofanya kazi hapo ndio debate ilipo, hauwezi toka usiku ukiangalia angani all those trillions of stars with an infinite planets possibly with life usime vilikuja tu, you must be mad to believe that or deny the power, wazungu wanaweza kuwa walitudanganya purposely or unintentionally sababu hata wao inawezekana walikosea explanation ya mambo wanayoyaona.
Our Galaxy, planets, etc floats in space observing the laws of physics, question is, nani aliweka hizo laws? There's is power our mortal minds can't comprehend or even explain!!