Al-Barzakh: Haya ndio Maisha ya Kaburini baada ya kufa

Al-Barzakh: Haya ndio Maisha ya Kaburini baada ya kufa

Mi nilifkr kuna mtu ametoka kuzimu ili kutupa mchongo of what is going on huko down , kumbe story tuuu....!!


Muwe mnaenda straight to the poit
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] niliwaza hivyo pia mie. Kumbe ni story tyuuh.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Faidika na Darsa la FaizaFoxy...

Unachanganya mambo sana usiyoyaelewa.

1) Kufa sio kuwa "Barzakh" kama unavyotaka kutuaminisha. Neno Kifo kwa lugha ya Kiarabu ni full stop. Kama unajua kidogo kusoma Kiarabu, hata vibao au saini zao za barabarani kwa Kiarabu zinaandikwa "Kif", kwa maana "stop". Kiswahili ndio tunakazia na kusema "Kifo".

2) Barzakh ni kizuizi "barrier", kwa maana wa uhai hayupo kwenye umauti na wa umauti hayupo kwenye uhai. Kati yetu ni hicho kizuizi (barzakh".

3) Umauti ni hali "state" nyingine ya kutokua hapa kwenye uhai, kuwepo kwenye umauti. Mfano tu, ni kama hali ya kuwa macho (conscious inatawala) na kuwa usingizini (subconscious inatawala). Tofauti ni kuwa upo hai hata ukilala.


Binafsi siamini katika adhabu za kaburi. Kwanza kwa kuwa hazijatajwa kwenye Qur'an, sijaziona. Pili Hadith iliyozitaja siikubali.

Ikiwa kuna adhabu ya kaburini basi Allah itakuwa "katudanganya" (AstaghafiruAllah) anaposema kwenye Qur'an kuwa kuna siku ya kiama (Kusimamishwa) kuhukumiwa? Sasa iweje tena tuhukumiwe kabla ya Kiama?

Naamini kuwa tunapotoka kwenye uhai kuingia kwenye umauti na hadi siku ya Kiama hakutakuwa na feeling za muda kama vile tupo hai. Itakua ni mano wa watu wa Pangoni, kisa cha kwenye Qur'an) au alielala miaka 100 kisa cha Qur'an).

Kifo, kinachokufa ni hiki kiwiliwili (body) chetu, nafsi haifi bali inaingia kweye umauti. Qur'an inahakikisha hili kwa kutukumbusha kuwa "kila nafsi itauonja umauti".

Hata sehemu tu ya kiwiliwili inaweza kufa na nafsi bado haijaingia kwenye umauti. Mfano ukikatika mkono au mguu, unakuwa umekufa huo mkono au mguu lakini nafsi bado haijaonja umauti.
Hapa nimeelewaa. Uko vizuri bibi.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Hizi ni hekaya tuu, ukifa kwanza joto la mwili hushuka damu huganda, unapata rigor mortis, baadae bacteria wa utombo mkubwa wanaanza kukutafuna. Ila ikumbukwe wewe huna fahamu yani ndio basi tena mwili wako utatumika kusaidia maisha mengine humu duniani.
Mikwara ya ukifa sijui kuna adhabu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] watu wanachomwa moto hilo kaburi wataliona wapi, watu wanaliwa na simba kabuti hilo wataliona wapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanazama baharini, wanaliwa na papa.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Yaani bora angesimulia aliyekufa tayari.
Hata akija ambae alishakufa bado utamkanusha na kusema kuwa si lolote bali ni uchawi tu.

Maneno unayoyaongea si mageni kabisa bali babu zako waliokwisha kufa hali ya kuwa ni makafiri waliyaongea sana kuwadhihaki waonyaji, sasa hv huko walipo wanatamani hata wapate sekunde moja warudi ktk maisha haya warekebishe makosa yao lakini wanashindwa.
 
Hata akija ambae alishakufa bado utamkanusha na kusema kuwa si lolote bali ni uchawi tu.

Maneno unayoyaongea si mageni kabisa bali babu zako waliokwisha kufa hali ya kuwa ni makafiri waliyaongea sana kuwadhihaki waonyaji, sasa hv huko walipo wanatamani hata wapate sekunde moja warudi ktk maisha haya warekebishe makosa yao lakini wanashindwa.
Acha uongo wako wee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
There is no next life when you dead is over, what left is memory of the people shared with you and some time they mind create a 3D picture and think the dead is awake to greet or punish for those who believe
Kwaio alodhulumu hapa duniani habari.ndo kwisha? hebu fikiria tena hilo swali hlf utafute.jibu
ikiwa duniani watu wanahukumiana je itakuwaje aliedhulumiwa hapa duniani na.hajapta haki yake ndo iwe imekwisha, hapanaa lazima awepo msuluhishi wa viumbe vyote ambae ni Allah
 
Binafsi siamini alichokisema, ila ukweli ni kwamba Kuna extra dimension, the power our mortal minds can't explain. Unaweza usimuite Mungu ila ukweli ni kwamba humans are not a coincidence or an outcome of evolution.

I believe we were designed, along with our world and the universe itself, jinsi Hiyo power unavyofanya kazi hapo ndio debate ilipo, hauwezi toka usiku ukiangalia angani all those trillions of stars with an infinite planets possibly with life usime vilikuja tu, you must be mad to believe that or deny the power, wazungu wanaweza kuwa walitudanganya purposely or unintentionally sababu hata wao inawezekana walikosea explanation ya mambo wanayoyaona.

Our Galaxy, planets, etc floats in space observing the laws of physics, question is, nani aliweka hizo laws? There's is power our mortal minds can't comprehend or even explain!!
Aisee nimeelewa hiki ulichoandika.

Huenda ni kweli kuna nguvu fulani tusiyoijua, ila kuamini kua hakuna nguvu hiyo pia kunaleta mkanganyiko zaidi.

Binafsi naamini hiyo nguvu ipo ila tu ni jinsi ya kuifikia, historia iliyopo na kukua kwa utandawazi kunafanya ukweli upotee.

Na mpaka sasa naamini ukweli kuhusu hiyo nguvu unaweza kua si zaidi ya 50%. Kwasababu hapo kuna siasa, biashara, umaarufu na mengine mengi ya kupotosha.
 
Roho ina ubongo? Maana kwa uelewa wa binadamu ubongo ndio unahifadhi kumbukumbu na ukifa ubongo unaharibika.
 
Back
Top Bottom