Aliwarudisha nani Marekani Afaghan?Hebu rudia kusoma heading yako
Unahangaika sana na hili tangu jana, unajichoresha mzee wangu.Video kamili ambayo haikuonyeshwa na Al Jazeera hii hapa, Tazama video yote kuiona Mvua ya makombora
View attachment 2785287
Wewe ndio uko outdated, Israel alipost kuonesha bomu limetumwa na Islamic jihad kosa ni kuwa hawakuondoa tarehe ya mwaka 2022 baada ya Congress moja kutweet kuwa mbona bomu la tarehe za mwaka 2022 Israel wameondoa ile tweet. Hamas wana mabomu lakini sio makubwa kiasi cha kufanya maafa makubwa. Kila mtu anajuwa Israel karusha iwe kwa bahati mbaya au makusudi yanatokea haya kwenye vita. Kuhusu Aljazeera hawana tofauti na CNN na wengine wote wamekuwa kama TBC unatangaza based na egenda zenu hakuna chombo wala kimoja kikakupa habari balance kama zamani, siku hizi ni agenda zao na propaganda ndivyo walalipwa na sponsers wao.Jana dunia nzima ilikuwa inaamini kwamba Israel kalipua hospitali lakini ajabu ni kwamba muda wote huo Al Jazeera alificha video za ushahidi kwamba bomu lililorushwa na Hamas lilijamu angani na kushuka kwa kishindo kwenye hospitali ya Gaza kupelekea mlipuko na vifo vya wapalestina kibao.
Hii ni live footage ya mji wa Gaza iliyokuwa inarushwa live kwenye channel ya Al Jazeera lakini walipoona Hospitali imelipuliwa kwa kombora la Hamas lililojamu angani wakakatisha live footage na hawajuripoti tena mpaka sasa, uzuri ni kwamba teknolojia imekua nakala zinatunzwa
View attachment 2785279
Ingalikuwa Palestina wakiristo wangaliachwa hivi? Huo Ukrain urusi akiua kuku wewe unaliaWaliouawa ni wapalestina sio waislam we jamaa, Palestine kuna wakristo pia. Mkishakula magimbi mkavimbiwa mnatuachia mishuzi tuu.
kama sikosei hospital ni ya kikristo.Video utaipata wewe? Unafaidika nini waislam wakiuliwa?
Marekani apigwe mkiristo akae kimya? Huoni Ukrain?kama sikosei hospital ni ya kikristo.
Wewe bhana unavituko sana.Ingalikuwa Palestina wakiristo wangaliachwa hivi? Huo Ukrain urusi akiua kuku wewe unalia
Fuatilia vizuri.Marekani apigwe mkiristo akae kimya? Huoni Ukrain?
Ni wewe tu ndio unawamini hao Magaidi wa Kizayuni. Israeli ni Taifa la kigaidi hawana dini wale. Wakristo wanaishi kama digidigi ndani ya Israeli.Jana dunia nzima ilikuwa inaamini kwamba Israel kalipua hospitali lakini ajabu ni kwamba muda wote huo Al Jazeera alificha video za ushahidi kwamba bomu lililorushwa na Hamas lilijamu angani na kushuka kwa kishindo kwenye hospitali ya Gaza kupelekea mlipuko na vifo vya wapalestina kibao.
Hii Comment nishaionaga kipindi flani humu jukwaaniHamdanganyi watu. Dunia nzima inajua Isreal. Wewe MKTT wa Mbagala unapiga porojo. Unafaidika na nini kuuliwa waislam?
Hongera kwani wewe ni zaidi ya M16, FSB, CIA na vyombo vingi vya ujasusi. Endelea kushabikia vifo, pengine vitaongeza kwenye mfuko wako. Ila elewa moja - kuwa yeyote anayeshabikia damu ya binaadam kumwagika hatokuwa salama.Jana dunia nzima ilikuwa inaamini kwamba Israel kalipua hospitali lakini ajabu ni kwamba muda wote huo Al Jazeera alificha video za ushahidi kwamba bomu lililorushwa na Hamas lilijamu angani na kushuka kwa kishindo kwenye hospitali ya Gaza kupelekea mlipuko na vifo vya wapalestina kibao.
Hii ni live footage ya mji wa Gaza iliyokuwa inarushwa live kwenye channel ya Al Jazeera lakini walipoona Hospitali imelipuliwa kwa kombora la Hamas lililojamu angani wakakatisha live footage na hawajuripoti tena mpaka sasa, uzuri ni kwamba teknolojia imekua nakala zinatunzwa.
View attachment 2785279
.Najua huna hata bando la kucheki video ndio maana unaongea kwa makadirio
Mimi siyo muislam nimebatizwa kanisa katoliki takatifu la mitume. Ingawa sasa sijinasibishi nalo wala dini yeyote.Masjid Aqswa yenu?au ya waislam?
al jazeera inamilikiwa na Quatar, na ipo Quatar, na pale kwenye hiyo nchi HAMAS wamepewa ofisi kabisa na makazi.Al Jazeera inamilikiwa na Hamas? Mbona wanawatetea sana magaidi kiasi cha kupindisha ukweli?
Jana dunia nzima ilikuwa inaamini kwamba Israel kalipua hospitali lakini ajabu ni kwamba muda wote huo Al Jazeera alificha video za ushahidi kwamba bomu lililorushwa na Hamas lilijamu angani na kushuka kwa kishindo kwenye hospitali ya Gaza kupelekea mlipuko na vifo vya wapalestina kibao.
Hii ni live footage ya mji wa Gaza iliyokuwa inarushwa live kwenye channel ya Al Jazeera lakini walipoona Hospitali imelipuliwa kwa kombora la Hamas lililojamu angani wakakatisha live footage na hawajuripoti tena mpaka sasa, uzuri ni kwamba teknolojia imekua nakala zinatunzwa.
View attachment 2785279
Kumbe najenga hoja kwa Robot?Mimi siyo muislam nimebatizwa kanisa katoliki takatifu la mitume. Ingawa sasa sijinasibishi nalo wala dini yeyote.
Naamini uwepo wa Mungu tu.
Siamini Sana juu ya pepo, mtu akifa amekufa, atarudi tena duniani katika namna nyingine baada ya viumbe vingine kumtumia huyo binadamu kama chakula kisha kuzalisha uhai mpya.
Mnyama anakufa anakuwa chakula cha mimea au wanyama wengine kisha navyo huzalisha viumbe vingine kupitia lishe hiyo.
Therefore, I'm sure after this life I will come back to earth alive in other forms, 100% guaranteed.
kinachonishangaza sana sometimes, CNN inamilikiwa na wayahudi, na mara nyingi wanaweza kuwa biased kiasi kwamba unaamini wapo upande wa hamas. kumbe wanawapiga changa la macho, behind the scene ndio wanaowachoma na kuwateketeza. na wanatumika kutikisa kiberiti duniani ili wahusika wapate picha ya mtazamo wa kinachoendelea na watoke vipi.