Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Mzaha uko wapi hapo?Wewe ndg, wenzio wanakufa wewe unaleta mzaha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzaha uko wapi hapo?Wewe ndg, wenzio wanakufa wewe unaleta mzaha.
Kuna baadhi ya dini ukijiunga nazo tu unakuwa chizi na ubinadamu unaondoka.Haya majamaa hayanaga akili
kimsboy kila siku natueleza Israel inapigwa, mnalialia nini sasa na mnshinda?Hawa waisrael wameshindikana? Mbona wanazidi kuua tu ndugu zetu?
hali ni tete palestina yanabaki magofu tu. Jamaa wanatamba tu utadhani nchi yao. Je ni hawa hawa mateka au walikuwa na sababu zao toka mwanzo sasa wamepata chanzo? Wallah inatia uchungu sana. Vita vimalizwe jamani hali ya Gaza ni mbaya sana.![]()
Israel-Palestine conflict | Today's latest from Al Jazeera
Stay on top of Israel-Palestine conflict latest developments on the ground with Al Jazeera’s fact-based news, exclusive video footage, photos and updated maps.www.aljazeera.com
New video shows detainees stripped in Gaza
hapa unaona wamekamatwa mateka wamevuliwa nguo.... Katika wale ambao hawakuweza kutoroka. Wengine allah aliwaidia wakakimbia vizuri. Hawa ambao walichelewa wanadhalilishwa jamani.
We kweli ni mpuuzi.Israel anaua Raia, Hamas anajua waajeshi huo ndio utofauti.
sielewi kwa nini Al JAzeera hawareport hizi habari zetu za kuwaua waisrael wengi na kuwashinda...... sielewi kabisa,Mbona mnasema wanajeshi wengi waisrael wanauawa na Hamas kwa wingi na vifaru vyao vina chomwa moto nini sasa mnalalamika wapalestina kufa
Kama waliwaua Mollel na Mtenga bila sababu, kwanini nijumuike kuwatetea?Hawa waisrael wameshindikana? Mbona wanazidi kuua tu ndugu zetu?
hali ni tete palestina yanabaki magofu tu. Jamaa wanatamba tu utadhani nchi yao. Je ni hawa hawa mateka au walikuwa na sababu zao toka mwanzo sasa wamepata chanzo? Wallah inatia uchungu sana. Vita vimalizwe jamani hali ya Gaza ni mbaya sana.![]()
Israel-Palestine conflict | Today's latest from Al Jazeera
Stay on top of Israel-Palestine conflict latest developments on the ground with Al Jazeera’s fact-based news, exclusive video footage, photos and updated maps.www.aljazeera.com
New video shows detainees stripped in Gaza
hapa unaona wamekamatwa mateka wamevuliwa nguo.... Katika wale ambao hawakuweza kutoroka. Wengine allah aliwaidia wakakimbia vizuri. Hawa ambao walichelewa wanadhalilishwa jamani.
Wapalestina zaidi ya 20,000 wameshapoteza maisha na bado wanazidi kupoteza ngoja tusubiri tuone mwisho itakuwaje.Pole kijana
Mazayuni kuuwawa katika ardhi za Palestine ni halali kabisa
Mpaka wahame
Sasa mnapiga kelele ya nini? Pambaneni tu myamalize.Pole kijana
Mazayuni kuuwawa katika ardhi za Palestine ni halali kabisa
Mpaka wahame
Wale 1200 waliouliwa Israel na Hamas walikuwa ni mbuzi sio raiaIsrael anaua Raia, Hamas anajua waajeshi huo ndio utofauti.
Mwishowe wapalestine watakua washindi tu licha uingi wao kwenye kufaWapalestina zaidi ya 20,000 wameshapoteza maisha na bado wanazidi kupoteza ngoja tusubiri tuone mwisho itakuwaje.
Hakuna lenye mwanzo likakosa mwishoSasa mnapiga kelele ya nini? Pambaneni tu myamalize.
😂😂😂😂Ngoja nipige hesabu
Askari wanaume waislamku waliouawa 21,000
Kila mja kaahidiwa mabikira 72 na allah
Ukizidisha 21,000 mara mabikira 72 unapata jumla ya mabira 1,512,000 saa hii wako kazi vitandani peponi
Peponi kutakuwa kunawaka moto kwa miungurumo.ya vitandani mabikira 1,512,000 wakivurumishwa vitandani
Hizi habari inategemeana na anayeziletaMbona mnasema wanajeshi wengi waisrael wanauawa na Hamas kwa wingi na vifaru vyao vina chomwa moto nini sasa mnalalamika wapalestina kufa
Kati ya wangapiWapalestina zaidi ya 20,000 wameshapoteza maisha na bado wanazidi kupoteza ngoja tusubiri tuone mwisho itakuwaje.