Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Mazayuni kufa haki yao
Na kujilinda pia ni haki yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mazayuni kufa haki yao
Na bado kipigo kitaendelea. Magaidi ya hanas yakiona idadi ya ndugu zao waliouawa inatosha watawaachia mateka waliosalia ambao wako kama 137 hivi hapo ndipo suala la kusitisha vita itazungumzika.Hawa waisrael wameshindikana? Mbona wanazidi kuua tu ndugu zetu?
hali ni tete palestina yanabaki magofu tu. Jamaa wanatamba tu utadhani nchi yao. Je ni hawa hawa mateka au walikuwa na sababu zao toka mwanzo sasa wamepata chanzo? Wallah inatia uchungu sana. Vita vimalizwe jamani hali ya Gaza ni mbaya sana.![]()
Israel-Palestine conflict | Today's latest from Al Jazeera
Stay on top of Israel-Palestine conflict latest developments on the ground with Al Jazeera’s fact-based news, exclusive video footage, photos and updated maps.www.aljazeera.com
New video shows detainees stripped in Gaza
hapa unaona wamekamatwa mateka wamevuliwa nguo.... Katika wale ambao hawakuweza kutoroka. Wengine allah aliwaidia wakakimbia vizuri. Hawa ambao walichelewa wanadhalilishwa jamani.
Na bado kipigo kitaendelea. Magaidi ya hanas yakiona idadi ya ndugu zao waliouawa inatosha watawaachia mateka waliosalia ambao wako kama 137 hivi hapo ndipo suala la kusitisha vita itazungumzika.Hawa waisrael wameshindikana? Mbona wanazidi kuua tu ndugu zetu?
hali ni tete palestina yanabaki magofu tu. Jamaa wanatamba tu utadhani nchi yao. Je ni hawa hawa mateka au walikuwa na sababu zao toka mwanzo sasa wamepata chanzo? Wallah inatia uchungu sana. Vita vimalizwe jamani hali ya Gaza ni mbaya sana.![]()
Israel-Palestine conflict | Today's latest from Al Jazeera
Stay on top of Israel-Palestine conflict latest developments on the ground with Al Jazeera’s fact-based news, exclusive video footage, photos and updated maps.www.aljazeera.com
New video shows detainees stripped in Gaza
hapa unaona wamekamatwa mateka wamevuliwa nguo.... Katika wale ambao hawakuweza kutoroka. Wengine allah aliwaidia wakakimbia vizuri. Hawa ambao walichelewa wanadhalilishwa jamani.
endelea kujidanganya huku ukilialia lakini kichapo kinaendelea na Gaza ikigeuzwa magofu.Unaambiwa Hamas hawajauliwa hata mmoja
USA ndiyo inayoikingia kifua Israel na dunia imeufyata, hiki ni kiashiria cha nguvu za USA kama 'Superpower' pekee.Hawa waisrael wameshindikana? Mbona wanazidi kuua tu ndugu zetu?
hali ni tete palestina yanabaki magofu tu. Jamaa wanatamba tu utadhani nchi yao. Je ni hawa hawa mateka au walikuwa na sababu zao toka mwanzo sasa wamepata chanzo? Wallah inatia uchungu sana. Vita vimalizwe jamani hali ya Gaza ni mbaya sana.![]()
Israel-Palestine conflict | Today's latest from Al Jazeera
Stay on top of Israel-Palestine conflict latest developments on the ground with Al Jazeera’s fact-based news, exclusive video footage, photos and updated maps.www.aljazeera.com
New video shows detainees stripped in Gaza
hapa unaona wamekamatwa mateka wamevuliwa nguo.... Katika wale ambao hawakuweza kutoroka. Wengine allah aliwaidia wakakimbia vizuri. Hawa ambao walichelewa wanadhalilishwa jamani.
Nadhani waongeze tu mauaji wapuuzi hawa. Wameua watu wachache sanaIsrael wajinga sana, Hamas walivamia Israeli wakauwa watu 1200 na kuteka 240 ndani ya masaa machache halafu wao wanauwa 21000 kwa miezi 3? Huu ni uzembe walitakiwa kuwa wameuwa 1200 X 90 = 108,000 kwa miezi mitatu. Israel hawawezi vita ndo maana kila siku tunasema Hamas hawawezekani na wameshinda hii vita.
Hakuna unyama. Palestine wapo imara kabisa. Hao Israel wanafyekwa wote. Kwanza hata mauaji si makubwa kivile.. basi tu.USA ndiyo inayoikingia kifua Israel na dunia imeufyata, hiki ni kiashiria cha nguvu za USA kama 'Superpower' pekee.
USA anatumia nafasi yake ya Ukiranja vibaya kwa kuzuia Israel kuwajibishwa kwa huu unyama
Hivi vitaa ni vya kulaaniwa na wapenda amani.
TUJITEGEMEE lee Vladimir cleef dudus
Wanalinda vipi huku PALESTINA SIO NCHI?.Kwanini Hamas wameshindwa kulinda raia wa Gaza wasiuliwe?!
Basi waache ugaidi na kuuwa Waisraeli.Wanalinda vipi huku PALESTINA SIO NCHI?.
Wanalipa gharama za ukombozi, hata Mbowe aliambiwa alikua anataka kufanya ugaidi wakuchoma vituo vya mafuta, hata Mandela pia alikua gaidi.Basi waache ugaidi na kuuwa Waisraeli.
Maana wanasabisha madhara kwa wapelistina wasiokua na hatia
Wapalestina ndio wanalipa gharama ya vita huku viongozi wa hamas na familia zao wanakula maisha Qatar.Wanalipa gharama za ukombozi, hata Mbowe aliambiwa alikua anataka kufanya ugaidi wakuchoma vituo vya mafuta, hata Mandela pia alikua gaidi.
Kama ambavyo mtoto wa Netanyau yupo visiwa vya Hawai anakula bata, huku waisrael wengine wakiuliwa Gaza, nakawaida mkuu.Wapalestina ndio wanalipa gharama ya vita huku viongozi wa hamas na familia zao wanakula maisha Qatar.
![]()
Hamas leaders worth staggering $11B revel in luxury — while Gaza’s people suffer
Three of the terror group’s most senior figures are able fly private and relax in safety in the tiny emirate — a key US ally — while enjoying an $11bn fortune between them.nypost.com
Mashahidi wa nini.😲😲Mwishowe wapalestine watakua washindi tu licha uingi wao kwenye kufa
Mashahidi wamefanyaje au ndio imeloa😀Mashahidi wa nini.😲😲
Wapalestina hawawezi kuondoka Gaza kwa sababu Hamas wanawategemea kama kinga ya makombora ya Israel na kutafuta huruma ya kimataifa utasikia wameuawa wanawake na watoto hata Hamas wakifa wanatangazwa wanawake na watotoGaza ni eneo dogo sana (about 350sqm) kwa raia wasiondoke kuepuka vifo zaidi?
Israel ina laumiwa kwa lipi wakati imevamiwa na magaidi wakauawa raia raia wake 1200 ulitegemea ikae kimya hata Tanzania ilipovamiwa na idd amini walianzisha vita na Uganda acheni unafiki na double standard kumlaumu mwathiriwa wa vitaUSA ndiyo inayoikingia kifua Israel na dunia imeufyata, hiki ni kiashiria cha nguvu za USA kama 'Superpower' pekee.
USA anatumia nafasi yake ya Ukiranja vibaya kwa kuzuia Israel kuwajibishwa kwa huu unyama
Hivi vitaa ni vya kulaaniwa na wapenda amani.
TUJITEGEMEE lee Vladimir cleef dudus