DUME SURUALI
JF-Expert Member
- Dec 8, 2016
- 782
- 1,084
We ulivyoangalia hiyo video umeona ni dini gani wanafanya maasi!!??Lama kawaida yenu nyinyi wa TZ muna udini sana. Afadhali na Kenya lakini nyinyi WaTZ munapoelekea na hasa wakristo sijui ni kwa nini wanachukia Uislam tuwaulize wanewakosea kitu gani. Ni mada ya magaidi kuvamia kambi. Wa TZ mnaweza udini hivi hii Jamaa imefurahi na anadhihaki Mungu
Mjinga huo... Hajui asemaloww acha upumbavu inamaana ww wanajeshi walivyo uwawa wewe umefurahi.
Huyo ana uislamu wa kuchovya.... Usishangae hata swala hana.nyinyi majamaa sio watu wazuri.
Those days were great, ever week or month there will be news of decisive blows to alshabaab, journerlist were embedded with troops and would be giving out videos and reports from the battlefield.... It was so greatNo don't get me wrong..I detest those skinnies with every fibre of my being...I sometimes get crazy mad at Prez and his coterie of advisors. I miss the days before KDF rehatted into leaderless Amisom..the days of the Eloquent Silas Oguna and Major Chirchir,where we used to get daily updates on twitter and weekly press briefings.I think Kenya should pull out of Amisom and operate independently like they did with OPERATION LINDA NCHI. I don't care if we foot the bill.A stable Jubaland is a plus for Kenya.
and updates like this one below
Usijeneralize kwa sababu ya wapuuzi wachache..... Na hili ndo lengo la mossad... Wanatengeneza na kuvifadhili hivi vikundi ili kuupaka matope uislamu uonekane ni dini ya wauwajiMkiambiwa Dini ya Kigaidi hamtaki
hii dini ya allah bora kama kuna uwezekano ingepigwa marufuku duniani kote.Allah yupi?
Wao ndo wanatengeneza hivo vikundi....aise kupambana na mijitu kama hii ambayo haigopi kufa ni ngumu. Ni taifa pekee la Mungu wa Kweli tu ISRAEL Ndio wanajua kuyadhibiti
Wacha The camp was completely destroyed and taken over by alshabaab..why lie??this so called KDF spokeswoman that only issues written statements to the media?why not hold a press conference and tell our SO CALLED COMMANDER IN CHIEF to tell the truth?This is not how you treat your fallen soldiers..like their lives don't matter..
Wee nikama unaaminia propaganda ya al shabab kushinda statement ya govaWacha The camp was completely destroyed and taken over by alshabaab..why lie??this so called KDF spokeswoman that only issues written statements to the media?why not hold a press conference and tell our SO CALLED COMMANDER IN CHIEF to tell the truth?This is not how you treat your fallen soldiers..like their lives don't matter..
Huyo Allah wako HUFURAHIA umwagaji wa damu?Atukuzwe Allah.
Trump atawacha Wasomali wamalizane wenyewe!Kazi bado ipo
hawa hawana chakupoteza
Na hili ndo lengo la Hao wanaotengeneza hv vikundi.... Lakini hawatoweza.hii dini ya allah bora kama kuna uwezekano ingepigwa marufuku duniani kote.
BIASHARA. Ni kipato kwa wengine.Huwa najilizaga maswalihaya. Hao al shabab wananguvu kiasigani?,
Kwanini hawafuatwi hukokwenye chimbolao?,
Nani anawahudumia chakula, silaha, na mafunzio, yani wamejificha wapi hasa pasipo julikana.
Lazima kuna kituhapa ambacho hatukijui.
Wewe ni mmoja wao?Allah Akbar
Hii statement brathe kuna mtu hatasoma lakini atajaribu kuexplain venye kulihappen ukoI realy wish they would release more info to stay ahead of this
View attachment 464447 View attachment 464448
Unaposema hivyo una maana gani?Atukuzwe Allah.
JWTZ haina experience kupigana Na magaidi, watanzania wengi Sana wamejiunga Na alshabaab, siku mkiamua kuingia Somalia mashambulizi ya kwanza yataanza ndania ya tz yenyewe.... Afadhali uliize kwanini mataifa Kama aljeria Na misri hazimo ndani ya SomaliaKwa nn amiri jeshi mkuu asi dispatch kikosi maalumu cha JWTZ waende wakafyeke hawa magaidi??
Mkuu, hatuwezi kuwalaumu Wakenya. Hawa magaidi walikuja na lori lililokuwa limejazwa mabomu na walikuwa WENGI sana kila upande. Walilipua lori lao wakajiua ndo magaidi wengine wakafanya uovu huo.hawa wakenya wa ajabu sana kama ni style ile ile watu wanalipua lango wanaingia ndani wao wanakua wapi? ina maana hajajifunza hii ni mara ya 3 sasa dizain ile ile? hawakuchukua hatua ktk izo kambi zingine kujua wanaweza vamiwa kwa style hii? alafu inaonekana intelligence ni ndogo sana watu hadi wanajikusanya wamelala tu fo fo fo kama mapono acha yakungutwe tu wanajeshi gani hawa very incompetence 3 times mnavamiwa na watu wana ak 47 na wana over run base!