DUME SURUALI
JF-Expert Member
- Dec 8, 2016
- 782
- 1,084
We ulivyoangalia hiyo video umeona ni dini gani wanafanya maasi!!??Lama kawaida yenu nyinyi wa TZ muna udini sana. Afadhali na Kenya lakini nyinyi WaTZ munapoelekea na hasa wakristo sijui ni kwa nini wanachukia Uislam tuwaulize wanewakosea kitu gani. Ni mada ya magaidi kuvamia kambi. Wa TZ mnaweza udini hivi hii Jamaa imefurahi na anadhihaki Mungu
Shame on you !