kudadeki huu uzi naona umejaa vigaidi vingi sana vilivyokosa nyenzo tuuu
Hivi vikundi vya kigaidi mnavyodai vinaanzishwa na wamarekani ni kwa nini viundwe na waumini wa dini ya kiislamu tu na kwa nini hao waislamu wakubali kutumika kutimiza malengo ya makafiri???Sio alqaida peke yake.
Makundi mengi ya kigaidi mwanzilishi na msamimiizi wake ni Marekani hilo wala halina ubishi.
Mkuu hebu soma hii kwanza kutoka kwa mamber anaitwa @mgony halafu usiporidhika nikushushie darasa lingine toka kwa habibu B Hanga maarufu kama (The bold)Hivi vikundi vya kigaidi mnavyodai vinaanzishwa na wamarekani ni kwa nini viundwe na waumini wa dini ya kiislamu tu na kwa nini hao waislamu wakubali kutumika kutimiza malengo ya makafiri???
Kwa nini hivi vikundi visiundwe na waumini wa dini ya kikristo pia...?? Na, kwa nini hivi vikundi hao wamarekani wakishaviunda walengwa au wahanga wa vitendo vyao vya kigaidi wawe hao hao wamarekani ambao ndio wafadhili wao.....????? Tupeni majibu ma-ustadhi.
Kuna maswali nimekuuliza lkn hujayajibu.Mkuu hebu soma hii kwanza kutoka kwa mamber anaitwa @mgony halafu usiporidhika nikushushie darasa lingine toka kwa habibu A Hanga maarufu kama (The bold)
MFAHAMU DOUBLE AGENT WA CIA NA EIJ
Ali Abdoul Saoud Mohamed alikuwa double
agent wa CIA na EIJ( Egyptian islamic jihad)
ambayo ndio ilipelekea kuundwa kwa ALQAEDA
huku yeye akiwa mwendesha mafunzo wa mbinu
za kivita na kijasusi wa kwanza kwenye kambi
zao kwa ajili ya kuwaandaa na mapambano dhidi
ya utawala wa kisovieti nchini Afghanistan
miaka ya 90. yeye ndiye mwalimu wa kwanza
wa Osama bin Laden na Ayman Zawahiri
( kiongozi wa sasa wa Alqaeda)
Ali anaelezwa kuwa mtu mwenye uzito wa kilo
90, urefu futi 6 huku akielezwa mtu aliye fiti
kimwili, aliyebobea kwenye sanaa za mapigano
( martial art),mwenye ufahasa mzuri wa lugha
za kiingereza,kifaransa,kiyunani na kiarabu.
alikuwa mwenye nidhamu ya juu, mwenye
uwezo mkubwa wa kufikiri, mwenye
kujichanganya na watu na uwezo wa kupata
marafiki kwa urahisi.
Ali alikuwa Major katika kitengo cha ujasusi
katika jeshi la misri kabla ya kuachishwa kazi
mwaka 1984 kwa tuhuma za kusika katika
harakati za udini dhidi ya utawala wa Anwar
Saadat wa misri, harakati zilizopelekea kuuawa
kwa Saadat
Uhusiano wake na CIA
Kwa mara ya kwanza aliingia marekani kama
mkalimani wa Ayman Zawahiri( kiongozi wa
sasa wa alqaeda) wakati alipoenda kuchangisha
michango kusaidia wana mgambo katika
harakati za kuutoa utawala wa wasovieti
Aghanistan.kwa maelezo inasemekana Zawahiri
alimshauri ajioenyeze katika mifumo na vyombo
vya Marekani, mwaka 1984. Ali anaelezwa
aliweza kuingia kwenya kituo cha CIA
Cairo,Egypt kwa urahisi na kuweza kuongea na
mkuu wa kituo kuhusu ofa yake ya kufanya nao
kazi.hatimae akawa recruited kama junior
intelligence officer. kazi ya kwanza aliyopewa ni
kupenya ndani ya msikiti mmoja mjini hamburg
ujerumani uliosemekana kuwa na mahusiano na
wanamgambo wa Hizbollah wa nchini Lebanon
lakini cha ajabu akawataarifu viongozi wa
msikiti kuwa yeye ni jasusi wa CIA na
ametumwa kuchukua taarifa, kwa kuwa katika
ule mkusanyiko alikuwepo jasusi mwingine wa
CIA, taarifa juu ya alichokifanya Ali zikawafikia
mabosi CIA. Kwa mujibu wa mwandishi maarufu
wa jarida la New Yorkers na mshirika wa kituo
cha sheria na usalama New York University of
Law bwana Lawrence Wright ni kwamba
ulitumwa ujumbe wa kimawasiliano kutoka CIA
ukitaarifu kuwa Ali sio mtiifu tena na
ameshadhibitiwa, lakini mda huo taarifa
inatumwa tayari Ali Mohamed alikuwa mjini
Carlifonia kushiriki program maalum ya
kuwapatia ruhusa ya kuingia marekani bila kuwa
na visa kwa 'Valuable assets' waliolifanyia taifa
la Marekani utumishi wa hali ya juu, program
ambayo yenyewe pia ilikuwa ikifadhiliwa na CIA.
Ali akafanikiwa kuoa mmarekani Linda Sanchez
na baadae kidogo akachukuliwa kwenye special
forces na akapangwa katika kambi kubwa ya
Fort bragg kama drill commander( sijui kwa
kiswahili wanaitwaje, yani wale ambao
wanawapokea makuruta na kuwafundisha
maisha ya jeshini, taratibu na nidhamu) pia
alishawishiwa na CIA kusomea masomo ya dini
ya kiislamu ili akafundishe mashariki ya kati
Mnamo mwaka 1988 Ali aliwataarifu wakuu
wake jeshini kuwa anachukua likizo fupi kwa
ajili ya kwenda nchini Afghanistan kupambana
na wasovieti( huko ndio akawa anatoa mafunzo
kwa wanamgambo waanzilishi wa Alqaeda).
Huku nyuma afisa mwandamizi wa Ali, Lt. Col
Robert Anderson aliandika ripoti ya kina ikilenga
kutaka idara ya ujasusi ya jeshi kumchunguza
Ali na kumfungulia mashtaka lakini taarifa yake
hiyo ilipuuzwa. anaeleza kuwa '' Kuwa na
mwanajeshi mmisri, aliyehusika na mauji ya rais
wa zamani wa misri Saadat, alafu akapata visa
ya kuja kuishi marekani na kuchukuliwa kwenye
vikosi maalum vya jeshi(special forces)
inashangaza, haya mambo hayatokei tu hivi hivi"
anaendelea kueleza kuwa ilikuwa ni vigumu
kuamini kuwa mwanajeshi wa kawaida wa
Marekani kupigana vita katika jeshi la nje bila
kuadhibiwa. akaendelea kusema anaamini
atakuwa anafadhiliwa na shirika la kijasusi la
kimarekani.
Ali aliendelea kutoa mafunzo kwa wana mgambo
wa kiislamu wa Maktab al-Khidamat
(iliyoanzishwa na Abdullah Azzam ambayo
baadae alijiunga Osama, wakagombana hatimae
Osama akaigeuza kuwa ALQAEDA baada ya ku-
win popularity over Azzam)nchini marekani
kupitia Kambi ya Al Kifah iliyokuwepo mjini
brooklyn iliyokuwa akisapotiwa na Marekani kwa
ajili ya kuwawaezesha kuutoa utawala wa
kisovieti nchini Afghanistan
Miaka ya 90 akarudi tena Afghanistan ambako
alitoa mafunzo ya kijasusi ikiwemo, kuteka watu,
kuteka ndege, jinsi ya kuua n.k na inasemekana
katika wanafunzi wake wa kwanza kabisa ni
Osama bin laden, Ayman Zawahiri(kiongaozi wa
sasa wa Alqaeda) na viongozi wengine wa
Alqaeda kwa mujibu wa FBI special agent Jack
Cloonan
Mwaka 1993 akiwa ndani ya Alqaeda akawa
informant wa FBI, na mmoja wa wapigaji wa
ALQAEDA Mohamed Atyf aliyepewa jukumu la
kufanya survey katika ubalozi wa marekani
nchini kenya(uliolipuliwa mwaka 1998) alikataa
kumtajia Ali passport namba yake kwa kuwa
alikuwa na mashaka kuwa Ali alikuwa ni
mshirika wa Marekani
Wiki mbili baada ya balozi za marekani nchini
Kenya na Tanzania kulipuliwa, FBI walisachi
makao ya Ali na kukuta nyaraka mbalimbali
zenye ushahidi juu ya kuhusika kwa na milipuko
nchini Kenya na Tanzania na akakamatwa. Ali
alikubali makosa ya kigaidi na akaeleza mwanzo
mwisho kuhusu ushiriki wake katika kundi la Al
qaeda, akakiri makosa ili apate kifungo cha
maisha jela bila msamaha wowote ule
Mwaka 2001 gazeti la Raleigh News and
Observer lilitaarifu kuwa Ali anatoa ushirikiano
kwa serikali ya marekani, anaeleza kamanda
mstaafu wa Delta force katika kitabu chake cha
The Mission,The Men and Me:Lessons from
former Delta Force Commander,bwana Peter
Blaber ''Mawakili wa utetezi wanaamini kuwa Ali
hajahukumiwa na anasirikiana na serikali japo
serikali haijathibitisha hilo,akihukumiwa anaweza
akahukumia kifungo kidogo, kama miaka 25 kwa
mujibu wa makubaliano yao"
Mwaka 2006, mke wa Ali Linda Sanchez alisema
kuwa mumewe bado hajahukumiwa na
haruhusiwi kuzungumza na yeyote.
"wamemshikilia kwa usiri mkubwa, ni kama vile
amepotelea kwenye hewa" alieleza Mke Ali
Lengo lao kubwa western ni kuichafua dini yetu ya ki islam ili upplotezee wafwasi na watu waione dini mbaya wala haina maana ili waokope kujiunga nayo(conspiracy)ila tusha wagunduaa sisi kama wa islam ndo mana hawatubabaish ila al-shabab naonaga wapo sahihi ALLAH ndie mjuzi zaidiJidanganye..Kama ilivyo kwa Isis, alnusrah ,alshabab na Alqaedah hao wote Ni Western paid mercenaries..wapo na wanafadhiliwa silaha na Western nation's..kwa mfano have magaidi kama isis wanawezaje kupata gari Kama Ford( American made) ambazo hizo zimezuiliwa kuuzwa katika nchi Kama Iran, Syria. Wanapataje silaha Kama tow anti tank missile.? Zote American made)
Juzi aliongea Al Baghdad kuhusu kulipiza kisasi..analipiza kisasi hata kwa watoto wa chini ya miaka 5-10..
Afu Leo unafanya ushabiki.
Abubakri Al Baghdad mwenyewe Ni myahudi kwa jina la Siri "Elion"(revealed).
hivi kwa Hali ya kawaida myahudi ama mmarekani mkiristo anaweza kuwachangia waislam kujenga dini yenu?
Je yeye ( USA, Israel na Western Europe) wanafaidika na nin kufadhili haya yotr ya ugaidi? Ni swali..
Jiulize kitu hv alshabab wanapata Wap silaha? Magari? Na je katika dini mtu anaruhusiwa kujiua na wengi ikiwemo watoto? Kama wafanyavyo alshabab?Lengo lao kubwa western ni kuichafua dini yetu ya ki islam ili upplotezee wafwasi na watu waione dini mbaya wala haina maana ili waokope kujiunga nayo(conspiracy)ila tusha wagunduaa sisi kama wa islam ndo mana hawatubabaish ila al-shabab naonaga wapo sahihi ALLAH ndie mjuzi zaidi
Ngoja nijaribu kujibu swali lako kwa kutumia mfano ya South Africa. Kwenye jitihada zake ya kumng'oa Thabo Mbeki, Jacob Zuma alimtumia Julius Malema, ambaye aliendeleza vituko dhidi ya Mbeki, na hatimaye kumfanya ajiuzulu. Baada ya Zuma kuingia madarakani, Malema hakutosheka na alichopewa na akaanzisha chama chake iliyoleta upinzani dhidi ya Zuma na mpaka Zuma naye alilazimika kuondoka madarakani!Hivi vikundi vya kigaidi mnavyodai vinaanzishwa na wamarekani ni kwa nini viundwe na waumini wa dini ya kiislamu tu na kwa nini hao waislamu wakubali kutumika kutimiza malengo ya makafiri???
Kwa nini hivi vikundi visiundwe na waumini wa dini ya kikristo pia...?? Na, kwa nini hivi vikundi hao wamarekani wakishaviunda walengwa au wahanga wa vitendo vyao vya kigaidi wawe hao hao wamarekani ambao ndio wafadhili wao.....????? Tupeni majibu ma-ustadhi.
Uongo mtupu. Dollar elfu arubaini vijana elfu Tatu si iliisha kwa mlo mmoja tu wa mchana?!KUINGIA KWA AL ZARQAWI KATIKA ARDHI YA AFGHANISTAN NA KUANZISHWA KWA KUNDI LA TANZIM QAIDAT AL-JIHAD FIY BILAD AL- RAFIDAYN NA OSAMA BIN LADEN ( RAH ) :
Mnamo Mwaka wa 1999 Shekhe Al Zarqawi ( Rahimahullah ) alisafiri kwenda Nchini Afghanistan ili kupata Mafunzo ya Jihad , kwani kipindi hicho Afghanistan ndio ilikuwa Nchi pekee ya Kujifunza Jihad na pia ilikuwa ni DARU AL ISLAM ( Mji wa Kiislamu ) . Alipofika Afghanistan na kumaliza Mazoezi ya Kijeshi , ndipo Shekhe Osama Alimpa Al Zarqawi kiasi cha Dola za Kimarekani 40,000 na akapewa pia Vijana waliofuzu Mafunzo ya Kijeshi wapatao 3000 na kuanza Kundi hilo la Tanzim Qaidat Al-Jihad Fi Bilad Al- Rafidayn , na alipewa Uwanja katika moja ya Viwanja vya Kandahari Nchini Afghanistan .
KUSHAMBULIWA KWA TALEBAN NA AMERIKA NA KUIBUKA KWA MAKUNDI YA JIHAD KUTOKA AFGHANISTAN :
Kipindi Marekani alipoishambulia Kijeshi Nchi ya Afghanistan Mwaka 2001 kuwashambulia Mujahidina wa Taliban , Mujahidina wengi sana waliuliwa katika Mashambulizi hayo . Ndipo Mujahidina wengi walipojisambaratisha na kwenda kuunda Jihad katika Nchi zao . Na katika Makundi hayo , yaliundwa Makundi ya AL QAIDA ARABIAN PENENSULA ( AQAP ) , na TAHRIIQ E TALIBAN PAKISTAN ( TTP ) , na hapo ndipo Al zarqawi Alipoondoka kutoka katika Ardhi ya Afghanistan akiwa na Jeshi la Wapiganaji 300 pekee baada y ya wengine kuuliwa na Ndege za Manguruwe ya Amerika
Uongo mtupu. Dollar elfu arubaini vijana elfu Tatu si iliisha kwa mlo mmoja tu wa mchana?!
Hujajibu ila unapiga porojo tu, kwa nini hao magaidi target kuu ya ugaidi wao ni Marekani huyo huyo wakati ndio mfadhili wao..???Ngoja nijaribu kujibu swali lako kwa kutumia mfano ya South Africa. Kwenye jitihada zake ya kumng'oa Thabo Mbeki, Jacob Zuma alimtumia Julius Malema, ambaye aliendeleza vituko dhidi ya Mbeki, na hatimaye kumfanya ajiuzulu. Baada ya Zuma kuingia madarakani, Malema hakutosheka na alichopewa na akaanzisha chama chake iliyoleta upinzani dhidi ya Zuma na mpaka Zuma naye alilazimika kuondoka madarakani!
Mambo ni hivi hivi pale mashariki ya kati! Marekani na washirika ni Zuma, viongozi wa vikundi vya magaidi ni Malema na akina Gaddafi, Assad nk ni Mbeki!!!
Itatawala kivipi kwani kila nchi haitakuwa na serikali yake? Wakati sisi hapa Tz tunaambiwa ccm itatawala milele.. So which is which au ndio viroba vinafanya kazi hivyo.Lete ukwel wako ww wangu ndio huo pia sipo hapa kulazimisha mkubali ila uislamu utatawala tena dunia mtakemsitake
Hujajibu ila unapiga porojo tu, kwa nini hao magaidi target kuu ya ugaidi wao ni Marekani huyo huyo wakati ndio mfadhili wao..???
Maoni yako ni sahihi kwa mtazamo wa alshabaab lakini sio kwa mtazamo wa kiislamuAl-Shabaab ni mwanafunzi wa Al-Qaeda.
Wanapigana nia yao kuanzisha utawala utakaofuata misingi ya Kiislamu yaani Sharia, ikiwezekana dunia nzima iwe chini ya Sharia.
Al-Qaeda waliwahi kuitawala Afghanistan na waliweka miongozo ya Sharia, na maisha yalikuwa yanakwenda kama kawaida.
Ndio maana nimeandika hao ni Waisilamu wenye msimamo mkali, na katu hawataki kuchamganyika na watu wasiofuata Sharia.
Ukiangalia mchamgo wangu wa kwanza nimesema wazi Kabisa kuwa wao wanapenda Jamii yote ifuate Sharia na hawataki jambo jingine.
Ndio maana hawajawahi kufanya fujo katika nchi ya Irani kwakuwa ni nchi inayofuata Sharia.
Waislamu wanaoshambuliwa ni Wale ambao hawa fuati miongozo ya Sharia, kwani kwao wanaonekana kama Wasaliti wa Dini ya Kiislamu.
Utambue kuwa Uislamu sio dini pekee, hapo haujakamilika.
Uislamu ni Dola kamili yenye mamlaka ya kutawala watu, kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Uislamu hauitambui Katiba ya nchi bali unaitambua Qurani na Sunna za mtume TU.
Uislamu ni lazima uambatane na utekelezaji wa Sharia ndio maana Waislamu wanadai Mahakama ya Kadhi, kama utimilifu wa imani yao.
Hivyo kwa mujibu wa Al-Shabaab Tanzania hakuna Uislamu na Waislamu kamili, kwani wanafuata Katiba iliyotungwa na binadamu badala ya Sharia iliyoagizwa na Mungu yaani Allah.
(tuendelee kuchangia kwa nia ya kuelimishana)
Al aqiida inaweza kuwa hivyo. Ila al qaaida imeanzishwa na Osama kwa ufadhili wa mabeberu.Nilisema na nitasema aliyeanzisha al aqida si Osama wala marekani al aqida umeanzishwa na sheikh al zarqawi RahimahuLlaah huko afighanstan
I can see you struggling to defend the terror and its perpetrators at any cost. With that strategy, you will deceive very few, if any.Zuma pia alikuwa mfadhili wa Malema na alimjenga kwa kumpa kila kitu ili amwangushe Mbeki. Lakini baada ya kupata mamlaka, Zuma akaanza kumkwaza Malema na ndipo akaanza kumshambulia Zuma! Marekani pia inawafadhili magaidi kufikia malengo zao, lakini baada ya kutimiza malengo, wanawatelekeza hawa magaidi na ndio maana wanamgeukia na kumshambulia Marekani.
Hii unayoita porojo ni analogical arguments! I feel so stupid that I wasted it on you!
Kwani mkuu lengo kuu la jihaadi ni nini?Lete ukwel wako ww wangu ndio huo pia sipo hapa kulazimisha mkubali ila uislamu utatawala tena dunia mtakemsitake