Al Shabaab katika mafunzo na mahafali yao huko Somalia

I can see you struggling to defend the terror and its perpetrators at any cost. With that strategy, you will deceive very few, if any.

"Struggling to defend terror and its perpetrators at any cost!!!!" - read my earlier posts in this very thread to see if I'm defending terror! I used analogy to make difficult issue simple, but it has been a total waste of time!!!! I'll be ignoring you from here on!
 
It's worth it.
 
Na kule sri Lanka walihusika ISIS et........magaidi wanaotumia kivuli cha dini kuficha ubaya wao huwa siwaelewi kamwe.....
 
Hiyo dunia azisha ww na Allah wako inavyoonekana ww ni miongoni mwa magaidi wanaojilipua kwa mgongo wa dini
 
Mkuu kwani Somalia utamaduni wao uislam au kujilipua mm naamini uislam sio utamaduni wao ni utamaduni wa saud arabia na waarab wenzao
 
Mtumee magaidi wapo kazini wakiua wasioamini kwa maagizo ya Allah wao mpenda damu za watu
 
Maoni yako ni sahihi kwa mtazamo wa alshabaab lakini sio kwa mtazamo wa kiislamu
Ndio maana kuna Madhehebu katika Dini ya Kiislamu.
Kati ya hayo yako ambayo hayafuati Sharia za Kiislamu, na wanatumia Qurani kama muongozo wao.
Na yako pia Madhehebu yanayopenda kutii na kutekeleza mafundisho yote ya Qurani na Hadithi na Sharia zake kwa usahihi.
Hayo ndiyo yanayo yapendeza makundi ya Kigaidi. Wao na Vijana Mashababi yaani
Al-Shabaab lao moja.
Kuanzisha Himaya ya Kiislamu duniani kote.
Na sio jambo la hiari ni Lazima.
Hakuna Demokrasia hapo,
Ni Kubali au Uchinjwe.
 
Mkuu uzi umetimia
 
Magaidi wanapotetea magaidi wenzao.
 
wanajeshi wanavaa yeboyebo.....Nguo oversize ...wachafu kwelikweli....wana utindo wa ubongo sio siri
 
wanajeshi wanavaa yeboyebo.....Nguo oversize ...wachafu kwelikweli....wana utindo wa ubongo sio siri
 
Unaposema target yao marekani una maana gani mkuu?
Marekani ndilo taifa pekee linalolengwa na magaidi kuliko taifa lolote, k.m. magaidi wawapambe watu watatu, Mjerumani, Mfaransa na Mmarekani, unafikiri ni yupi atakayeanza kuchinjwa.

Wewe acha longolongo bwana. Ugaidi huja kutokana na kila muislamu anavyoitafsiri Quran. That's the bitter truth. Acheni unafiki kusingizia wengine kwa madhambi yenu.
 
Ugaidi ni neno limetokana na neno kukaidi bimana ni kukataa jambo fulani, hvy kuitwa gaidi si ajabu maana hatutaki mila za kitwaghuti sisi tuna mila zetu ambazo ni mila za Ibrahim ambaye kwa asili naye alikataa mila za wazazi wake mpk wakamchimbia shimo kumchoma moto, Ibrahim alikataa kuabudu masanamu aliyakutaka hekaruni aliyavunja yote kudadeki akaliacha moja kubwa lao wazazi walioorudi wakashangaa kuona miungu yao imevunjwa alipoulizwa Ibrahim alijibu muulizeni huyo mungu wao mkubwa atajua wenziwe wamevunjwa na nan, wazazi wakajib huyu asemi kitu Ibrāhim akajibu kama asemi kwann munamuabudu sanamu,
Conclusion uislamu utahakikisha anaabudiwa mungu mmoja bila kumshirikisha au kumfananisha na kinyago chochote kudadeki. No comments
 
Mkuu yeyote anaweza kuwa gaidi sio waislamu tu ndiyo maana hata Mandela aliwahi kuitwa gaidi kutokana na vitendo alivyokuwa anatanya wakati huo,sasa kama utasema marekani kuwa target ya hivyo vikundi ndio hufanya marekani hahusiki na hivyo vikundi basi pia hata waislamu wakati mwengine huwa target yao hao magaidi na ndiyo maana tunaona wanabutua mabomu hadi misikitini na kuuwa waislamu,je hiyo pia inafanya tuone hawa magaidi sio waislamu kwa sababu wanabutua mabomu hadi misikitini na kuuwa waislamu?
 
Waislamu wana silaha gani au nguvu za kuweza kufanikisha hayo unayoyafikiria ukilinganisha na hao makafiri?
 
Nyie watu mnamatatizo sana..Elimi...Elimu...Elimu!
 
Sisi hatupigani kwa nguvu zetu tunamtegemea muumba tu hitoria inaonyesha uislamu ulipigana na dola kubwa na zenye nguvu na waislam wakashida kwahy ni muda tu ukifika neno litatimia ilikwepo dola ya rumi na ikasambaratishwa dadeki, enyi ahlul sunna popote mulipo shikamaneni katika jama'aa hakika ahadi ya allah ni yakwel, wala msifarakane enyi maikhwah
Waislamu wana silaha gani au nguvu za kuweza kufanikisha hayo unayoyafikiria ukilinganisha na hao makafiri?
 
Listen bwana, magaidi au Islamist Terrorists wanaweza wakaulipua msikiti wowote ambao, kwa mtizamo wao, wanaona mafundisho yake haishabihiani na ya kwao hivyo msikiti kama huo kwao huwa ni "The legitimate target of attack".

Uliona hata kwenye Rwandan Genocide of 1994, wale Hutu Extremists waliwaua hata wahutu wenzao "Moderates" ambao hawakuafiki vitendo vyao.

Hivyo leo huwezi ukaniambia Marekani ameanzisha, say Al Qaeda, ISIS, Al Nusra Front, Al Shabab, Taliban nk, ili waje wawaue hao hao wafadhili wao. Hii hata mtoto wa chekechea atakataa.

Ebu jaribuni ku-concoct theory nyingine inayoweza angalau kushawishi, because this one has completely failed to convince let alone to exonerate Muslims from being the main characters in the perpetration of terror.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…