Alexander Mnyeti amepata wapi utajiri wa kuinunua TCC CLUB ya Chang'ombe?

Kama kweli kuna ushahidi wowote unaoweza kudhihirisha hawa kina mnyeti, bashite nk kuwa wanamiliki mali zisizolingana na madaraja yao ya mshahara kama watumishi wa umma basi sisi raiya tunaweza kupeleka malalamiko tume ya ya maadili na usimamazi ya watumishi wa umma na hatua zichukuliwe.
 
Walivuna enzi zile wakiwa Wakuu wa Mikoa. Yupo na mwingine pia (jina kapuni) ambaye TAKUKURU inawahusu.
 
Je tukipeleka hatutatekwa ?
 
Eee bhana eeee !!!
 
Turipoti hii habari kwa Watu wa Jamuhuri ya Twitter waanze kufuatilia.
Ile project ya kuiua chadema imegharimu hela nyingi Sana,

Tuliposema tril 2.4 hazionekani hatukueleweka.
Ni hatari Sana genge la majambazi kumiliki hela nyingi
 
Ile project ya kuiua chadema imegharimu hela nyingi Sana,

Tuliposema tril 2.4 hazionekani hatukueleweka.
Ni hatari Sana genge la majambazi kumiliki hela nyingi
Aiseeeee !!!
 
😆😆😆
 
Huyo siku zake za kubakia uraiani ni fupi mno au tuseme zinahesabika maana kundi lake ni moja na kina DAB
 
Hili kundi lao ni la kuliogopa na kumbuka biashara ya kuwanunua madiwani wa cdm pale Arusha yeye ndiye alikuwa injinia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…