Wewe unazitaka hoja hizo ukajibie mtihani? After all muda wa uchaguzi bado ni mbali Sana, Sasa kuzitaka hoja za chama kisichokuhusu si ni ulozi huo?Mkuu sijasema kwamba wewe ni CHADEMA nimebainisha uelekeo wa hoja za CHADEMA kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025
ndio maana tukaulizaMnaongea mambo msiyoyajua
Comments zenu sio maswali ni maelezondio maana tukauliza
sipigi ramli- nazijua tayari na ni:-Wewe unazitaka hoja hizo ukajibie mtihani? After all muda wa uchaguzi bado ni mbali Sana, Sasa kuzitaka hoja za chama kisichokuhusu si ni ulozi huo?
Piga ramli huenda zikaonekana juu ya karai la maji au utumbo wa jogoo! Mwanga wewe!
Hizo ni za kwako na siyo sera za CDM. Wasubiri 2025 wakushangaze na hutaziona hizo sera zako! Utajinyonga wakija na sera tofauti?sipigi ramli- nazijua tayari na ni:-
1. Chanjo ya korona na barakoa
2. Sabaya
3. Makonda
4. DPP
5. Uwanja wa ndege wa Chato.
Hakuna jipya
Sioni na sitegemei jipyaHizo ni za kwako na siyo sera za CDM. Wasubiri 2025 wakushangaze na hutaziona hizo sera zako! Utajinyonga wakija na sera tofauti?
Wee ukoo wao unaujua, mali za babaake au ukoo wao unazijua? Wenzenu wazazi wao walijipanga mashamba, ming' ombe, nyumba mijini eeeh, akiuza nyumba moja ya urithi magomeni, sinza, kariakoo sio mwenzako. Pia jifunze akili yako iwe inachangamka kutafuta fursa nje ya ajira. Unapiga mshahara wa mtu, kafuge kuku, nguruwe, kilimo, maduka hardware, saloon jiongezee acha kufikilia pesa za kulipwa dirishani tu, umri wako unakwenda sasaUna uelewa wa mshahara wake kwa mwezi ulikuwa kiasi gani? Kwa taarifa yako haukuzidi milioni tatu kwa mwezi.
Fanya hesabu ya kudunduliza hiyo hadi upate bilioni hata moja tu itakuchukua miaka mingapi?
Kajenga uwanja wa michezo mzuri kuliko wa nyamagana, anamiliki timu na vitu vingine ambavyo mtaji pekee ni zaidi ya bilioni 50 tshs. Alizipataje kama mtumishi wa umma?
Au Kuna ubaguzi katika ngazi za utumishi wa umma ambapo Kuna nafasi ukiifikia lazima uwe tajiri kutokana na mshahara wa ngazi hiyo?
Ndio tatizo la waswahili Tanzania.Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.
Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina, tunampongeza kwa uwekezaji huo, bali swali letu ni hili, AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA?
Nimejiajiri for almost 25 yrs na mapato yangu ni mazuri tu Ila shida unakuja pale mtumishi wa umma ambaye kabla alikuwa hohehahe na mgongea vinywaji anakuwa bilionea ndani ya miaka sits ya utumishi wake! Hapo ndipo shida ilipo.Wee ukoo wao unaujua, mali za babaake au ukoo wao unazijua? Wenzenu wazazi wao walijipanga mashamba, ming' ombe, nyumba mijini eeeh, akiuza nyumba moja ya urithi magomeni, sinza, kariakoo sio mwenzako. Pia jifunze akili yako iwe inachangamka kutafuta fursa nje ya ajira. Unapiga mshahara wa mtu, kafuge kuku, nguruwe, kilimo, maduka hardware, saloon jiongezee acha kufikilia pesa ua dirishani tu
Yaani Tajiri wa ktz ni shida,Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.
Taarifa zetu za uchunguzi zinaonyesha kwamba Mnyeti ameinunua TCC Club ya Chang'ombe Dar es Salaam kwa lengo la kuiendeleza na kutengeneza hostel yenye gym ndani yake kwa ajili ya Timu yake ya Gwambina, tunampongeza kwa uwekezaji huo, bali swali letu ni hili, AMEPATA WAPI LUNDO HILO LA HELA LA KUWEZESHA YOTE HAYA?
Si lazima achunguzwe , hata yeye mwenyewe anaweza kujitokeza hadharani na kufafanua alikopata utajiri wakeNi swali zuri kwani kuna nyepesi nyingi kuhusu uporwaji wa hela zetu enzi zile kupitia miradi mikubwa. Ni swali zuri japo hakuna atakaye kujibu.
Ni jukumu la vyombo kama usalama wa taifa, takukuru na polisi kuupata ukweli wa utajiri wake.
Maswali rahisi hamuwezi kujibu , tukileta mengine magumu si ndio mtakimbia rasmiYaani Tajiri wa ktz ni shida,
Wawekezaji wazawa wanapigwa vita na genge lenu la Twitter,
Aya anzisheni fitina zenu maana zimepata mtekelezaji
Yaani wabongo kwa umbea na majungu nawakubali sanaAlexander Mnyeti ni mpwa/ binamu wa Mwendazake. Na katika uhai wa Magufuli yeye ndiye pekee alikuwa anaweza kufanya chochote na Magufuli asimchukulie hatua.
Alexander Mnyeti ni mshiriki mkubwa wa uwizi wa Tanzanite pale Mererani kuanzia akiwa DC Arumeru na hatimaye RC Manyara.
Wakati Mwendazake akiwa kwenye kipindi cha sintofahamu yeye na Waziri Dotto Biteko ndiyo walikuwa wanataka kugawana kitalu "C" cha Tanzanite.
Watanzania mmebobea kwa umbeya. Piga na wewe kama unaona zinapigika, siyo kulia lia kwenye mitandao tu
Kipato ni mshahara tu? Watu wanaandika write-up mahela yanamwagika tu.endelea tu na akili zero.Una uelewa wa mshahara wake kwa mwezi ulikuwa kiasi gani? Kwa taarifa yako haukuzidi milioni tatu kwa mwezi.
Fanya hesabu ya kudunduliza hiyo hadi upate bilioni hata moja tu itakuchukua miaka mingapi?
Kajenga uwanja wa michezo mzuri kuliko wa nyamagana, anamiliki timu na vitu vingine ambavyo mtaji pekee ni zaidi ya bilioni 50 tshs. Alizipataje kama mtumishi wa umma?
Au Kuna ubaguzi katika ngazi za utumishi wa umma ambapo Kuna nafasi ukiifikia lazima uwe tajiri kutokana na mshahara wa ngazi hiyo?
mkuu mbona hili shitaka halipo kwenye charges sheet?Itakuwa yale yale ya Sabaya ya kupora billions kutoka kwa Wafanyabishara.
Ungeweka na ushahidi wa hizo write up zilizokutajirisha ili tuige! Nadhani unaofanana na wale mbwa wanaobwekea magari wakidhani yatasimama! Unajua kabisa kupata malipo yasiyotokana na kazi halali ni kinyume Cha Sheria na ni dhambi kwani hata ukizitolea sadaka hutabarikiwa!Kipato ni mshahara tu? Watu wanaandika write-up mahela yanamwagika tu.endelea tu na akili zero.