Very parochial mind, Tanzania inaviongozi sijawahi kuona akili zao ziko narrow sanaa.Nimemsikia huyu kijana anayeitwa Ali Kamwe mfanyakazi wa Yanga anazisihi taasisi, kampuni na mashirika mbalimbali katika nchi ziruhusu wafanyakazi wao kutoka kazini mapema jummane wakaishangilie timu ya Taifa,
Huu ni wendawazimu, nchi hii ina mambo mengine muhimu zaidi ya mpira, yani jumanne mtu akose huduma muhimu kisa mtu ameenda kuangalia mpira!
Very parochial mind, Tanzania inaviongozi wajinga sijawahi kuona akili zao ziko narrow sanaa.
Kwa hiyo Yoda ni kiongozi au sioVery parochial mind, Tanzania inaviongozi wajinga sijawahi kuona akili zao ziko narrow sanaa.
nini maoni yako numbi...??Duh aiseee
Mleta uzi unatatizo la afya ya akili. Sio bure.Nimemsikia huyu kijana anayeitwa Ali Kamwe mfanyakazi wa Yanga anazisihi taasisi, kampuni na mashirika mbalimbali katika nchi ziruhusu wafanyakazi wao kutoka kazini mapema jummane wakaishangilie timu ya Taifa,
Huu ni wendawazimu, nchi hii ina mambo mengine muhimu zaidi ya mpira, yani jumanne mtu akose huduma muhimu kisa mtu ameenda kuangalia mpira
Ww ndo una akili mgando ,kafanya kosa gan hapo? Kua mzalendo Kwa taifa lake?Nimemsikia huyu kijana anayeitwa Ali Kamwe mfanyakazi wa Yanga anazisihi taasisi, kampuni na mashirika mbalimbali katika nchi ziruhusu wafanyakazi wao kutoka kazini mapema jummane wakaishangilie timu ya Taifa,
Huu ni wendawazimu, nchi hii ina mambo mengine muhimu zaidi ya mpira, yani jumanne mtu akose huduma muhimu kisa mtu ameenda kuangalia mpira!
Kwani kakosea kitu gani hapo. Una hiari ya kuufanyia kazi ushauri au la. Acha kuandika nonsenseNimemsikia huyu kijana anayeitwa Ali Kamwe mfanyakazi wa Yanga anazisihi taasisi, kampuni na mashirika mbalimbali katika nchi ziruhusu wafanyakazi wao kutoka kazini mapema Jummane wakaishangilie timu ya Taifa.
Huu ni wendawazimu, nchi hii ina mambo mengine muhimu zaidi ya mpira, yaani Jumanne mtu akose huduma muhimu kisa mtu ameenda kuangalia mpira!
SAWAAcheni upuuzi.Mi ni Shabiki wa Simba.Ally Kamwe yupo sahihi kabisa.Wafanyakazi mkuje uwanja wa Taifa tuishangilie Stars
hapana, wote mbumbumbuNi wawili tu.Naamini umeelewa.