mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Bora tumrudishe manara
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia jamaa hata kuandika tu hawezi alafu anasumbua humu na nyuzi za ajabu.We jamaa siku ulipoandika Uzi wa kumponda gamondi na kusema hawezi chukua nbc premier league ulipoteza credibility
Huna tofauti na chura kiziwi
Hebu mtizame kiazi huyu pre season tokea lini ikawa na mzani zito, mechi hizo kama mabonanza.Kumbe umejua online,sasa ulizani nani hajui.unajua time table ya yanga ya pre season??
wanaenda lini south africa? wanacheza mechi ngapi? wanatoa jezi lini? wana ludi lini bongo?? watasafiri wa ngapi??
we are talking about Ali kamwe work here. hata hizo mechi tumejua online yeye ajaongelea possible ajui. what's going to happen next.
Usicho muelewa kocha nini?he was having a bad performance na pia gamondi is not my manager of choice.
ukiforce ni mkubali kocha simuelewi ?? ww ndo unashida
Hebu mtizame kiazi huyu pre season tokea lini ikawa na mzani zito, mechi hizo kama mabonanza.Kumbe umejua online,sasa ulizani nani hajui.
Halafu mbona kiazi ww,sasa nikishajua wanasafiri wangapi? Halafu tokea lini watu wanao safiri ikawa fixed.Pre season time table haipo fixed,unaweza ukakuta kocha akaomba kuongezewa mechi katikati ya hiyo season,Avic town kuna timu zinaalikwaga katikati ya Pre seasons za liki daraja kwana na la pili.Vile mechi za Preason zinaweza kuwa Cancelled mwaka jana Spurs na Leicester walicancel mechi yao,hapo ndipo ujue hazinaga uzito,yaani ww ni bonge la bwege.![]()
Pre-season training camp tournament in South Africa | FC Augsburg
FC Augsburg will be travelling to South Africa for a pre-season training camp from 18th to 28th July, as part of their preparations for the 2024/25 season.www.fcaugsburg.de
Kwani wewe hiyo habari ulioteshwa au uliipata online? Nani alikwambia Yanga hawana pre season si walitangaza wanaenda SA,halafu hiyo "kasolo Yanga........." ndio nini........."hii amekwambia ally kamwe au online research 🤔? also big team zote zina schedules za Pre Season kasolo yanga Ya kamwe.
ally kamwe has zero idea about this. I can assure you.
1. tickets are sold. they can't cancel itKwani wewe hiyo habari ulioteshwa au uliipata online? Nani alikwambia Yanga hawana pre season si walitangaza wanaenda SA,halafu hiyo "kasolo Yanga........." ndio nini........."
Schedule ya preseason sio lazima iwe fixed kwani mechi zenyewe ni kama bonanza na hazina uzito wowote.Yanga wanaweza sema hata leo hatuendi SA na kubaki Avic.
my personal preference sio kwa kila mtu. to me Nabi is still one of the best manager.Usicho muelewa kocha nini?
Na nikocha yupi alie choice kwako?
Sasa Ally ndie anaetoa mamlaka ya kuuza jezi au wakubwa zake? Kuna namna unampa jamaa lawama asizostahili.nAshangaa sana. hata jezi mpya zitakuwa bado. maana Ali kamwe nae amekuwa kama mjinga ange weza uza jezi hadi Germany.
yanga wasimuongeze mkataba tu. so far this season he is a failure
Nilidhani vyura ni viumbe peace sana kumbe vyenyewe kwa vyenyewe vinaweza kukunjana "mashati" na ngumi zikaruka kabisa!Hebu mtizame kiazi huyu pre season tokea lini ikawa na mzani zito, mechi hizo kama mabonanza.Kumbe umejua online,sasa ulizani nani hajui.
Halafu mbona kiazi ww,sasa nikishajua wanasafiri wangapi? Halafu tokea lini watu wanao safiri ikawa fixed.Pre season time table haipo fixed,unaweza ukakuta kocha akaomba kuongezewa mechi katikati ya hiyo season,Avic town kuna timu zinaalikwaga katikati ya Pre seasons za liki daraja kwana na la pili.Vile mechi za Preason zinaweza kuwa Cancelled mwaka jana Spurs na Leicester walicancel mechi yao,hapo ndipo ujue hazinaga uzito,yaani ww ni bonge la bwege.![]()
Pre-season training camp tournament in South Africa | FC Augsburg
FC Augsburg will be travelling to South Africa for a pre-season training camp from 18th to 28th July, as part of their preparations for the 2024/25 season.www.fcaugsburg.de
Una hoja usikilizwe. Eti wenzio wanakwambia mechi za pre-season hazina maana, wamezoea kucheza na Mburahati Combine SC na Kimbiji Village FC.1. tickets are sold. they can't cancel it
2. 6 days before the match no information
3. tell me a big team with no pre season enlists. even dates to end it's pre season.
4. improve your reasoning
Nimekupa mfano wa Leicester na Spurs, wao mbona wali cancel. Kwani events ngapi tickets zilikuwa sold na events haikufanyika?1. tickets are sold. they can't cancel it
2. 6 days before the match no information
3. tell me a big team with no pre season enlists. even dates to end it's pre season.
4. improve your reasoning
Bro think twice , Angalia tiketi zinauzwa hukoKwani wewe hiyo habari ulioteshwa au uliipata online? Nani alikwambia Yanga hawana pre season si walitangaza wanaenda SA,halafu hiyo "kasolo Yanga........." ndio nini........."
Schedule ya preseason sio lazima iwe fixed kwani mechi zenyewe ni kama bonanza na hazina uzito wowote.Yanga wanaweza sema hata leo hatuendi SA na kubaki Avic.
Kwani misimu mitatu Yanga pale Avic town alikuwa ancheza na timu gani ,kama si Manyema,Timu ya Eli Mzozo ,sijui Ashati.Mbona alienda mpaka fainali ya Confideration na robo fainali ya CAF plus ubingwa mara tatu.Una hoja usikilizwe. Eti wenzio wanakwambia mechi za pre-season hazina maana, wamezoea kucheza na Mburahati Combine SC na Kimbiji Village FC.
Hawajui hiki ni kipindi timu zinazojitambua zinajibrand kupitia hizo hizo mechi. Mimi nimeshasafiri sana kuzishuhudia timu nyingi kubwa duniani zikicheza mechi za kirafiki kipindi kama hiki cha pre-season.