Ali Kamwe naye kama hajui kinachoendelea Yanga

Ali Kamwe naye kama hajui kinachoendelea Yanga

Na wewe usitafute watu wa chini uwalaumu. Nenda katafute root causes, hii ndo njia sahihi ya kuyashinda matatizo.

Dig deep uwajue viongozi wanaohusika uwapige "pin" kuliko kuonyesha umwamba kwa informer ambaye anasubili miongozo kutoka kwa mapapa
listen to your self.

huu ndo utendaji wako wakazi. deflecting problems.

watu wa ajabu sana
 
Na wewe usitafute watu wa chini uwalaumu. Nenda katafute root causes, hii ndo njia sahihi ya kuyashinda matatizo.

Dig deep uwajue viongozi wanaohusika uwapige "pin" kuliko kuonyesha umwamba kwa informer ambaye anasubili miongozo kutoka kwa mapapa
wewe ni mtu useless kabisa 🚮🚮.
 
Nimekuchambulia hapo mbona.
Wewe issue ya jezi hujui nani anahusika
Mratibu wa mipango hujui nani anahusika

Kama huwajui hao watu, basi sina budi kukupinga unavyomlaumu Ali Kamwe
you cant sugar coat incompetence and you can't even digest stuffs ukaona he is not fit for that position.

jaribu listen to his interviews and watch the yanga YouTube. ina makosa mengi sana. his priorities are alarming.

you should change and review stuff kama ya kuongea tu. then hauna hata solution. 🚮🚮

your pathetic man
 
Una hoja tatizo unaowapelekea ujumbe ni watu wapumbavu sana sijui kwanini,watakushambulia subiri watakuja..
Wewe ndio mpumbavu habari za timu zinatolewa na afisa habari sasa wewe unataka aongee vitu umeona online?
 
Picha za Baleke hazijavuja ni strategy hio
Jamaa Yuko sahihi
Nadhani kitengo cha habari cha team yetu wamezubaa.
Kucheza na Ausburg inayocheza UEFA ingekuwa fursa nzuri kibiashara.
Team ingeuza jezi
Team na wachezaji wangejiuza huko Europe
Nadhani tunacheza na fursa admu.

Tunaona picha za Baleke zinavuja Yuko mazoezini kwanini asitambulishwe?
Hili sio jambo nzuri
Nadhani Eng Hersi Said afanye reform department ya habari
I
 
Mbona unarukaruka kama kuku anayetaka kutaga? Hivi ulivyoniuliza kama Simba ina uwanja wa mazoezi, ni kwamba ulikuwa haujui au umechanganyikiwa? Nimekujibu kuwa inao sasa unasema kuwa na uwanja siyo dili? Kwa nini jibu lako la kwanza halikuwa hilo, aiseee!

Haya, ulikazania huo mfano wa Leister na Spurs, nimekupa sababu unasema siyo za kweli pamoja na kwamba ndiyo zilizotolewa na ushahidi wa hizo sababu upo, unasema ni za kulindiana image. Yale yale kujiona una akili kuliko wengine, sasa unakimbilia mfano mwingine. Kumbe unajua kujiamulia kutocheza mechi iliyopangwa kuna madhara makubwa sana kwa klabu, mbona sasa unaropoka Yanga inaweza kujiamulia tu kutokwenda kucheza mechi iliyopangwa, kutangazwa na ambayo tayari tiketi zinauzwa eti sababu ni bonanza na haina umuhimu? Think MF!
Hii mbumbumbu ni pumbafu kabisa
 
Back
Top Bottom