joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Hivi unaelewa maana ya mwaliko?Bro think twice , Angalia tiketi zinauzwa huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi unaelewa maana ya mwaliko?Bro think twice , Angalia tiketi zinauzwa huko
Jamaa Yuko sahihiHivi unaelewa maana ya mwaliko?
Deborah kasharipoti kambini?If you listen close enough. Ali Kamwe kama ajui kinachoendelea yanga.
1. Pre season vs Augsburg fc
Yanga atakipiga na Germany uefa team friendly tarehe ni 20 th July ila sasa Ali Kamwe yupo busy na mechi ya Kaizer Chiefs ajui hata lini team itaenda South Africa for that match.
In short anaonekana confused and uninformed. kama mjinga mjinga anapelekeshwa na false information.
View attachment 3041714
2. Siku ya kutangazwa jezi.
Ali Kamwe hajui lini and how atatangaza jezi.
Ana pre season kubwa sana ambazo jezi mpya anaweza kujitangaza na yanga yake. issue ni kwamba yupo completely unaware how to do this work.
View attachment 3041715
Anajin'gata sana, information zake zipo random sana. sio organised kama mtu ajui anachofanya. #confused & #incompetent.
ie:
Ali Kamwe ajiorganize vizuri yupo taasisi kubwa, he should act like one. arrange your schedules , show the difference.
😁Duh shida ni utimu bro umekuathiri , kwenye kweli sema kweli.Hivi unaelewa maana ya mwaliko?
Sikutishi, nimekwambia ukweli. Waswahili hamjazoea kuambiwa ukweli. Ni kama nilivyoleta stori ya kumfundisha mpira Hersi, kuna mtu akanihoji kwa nini nimeleta hiyo mada, it's my story motherfu.....! Nikikutajia timu ambazo nimewahi kuziona live bila chenga, kuanzia leo utaniangalia kivingine.Kwani misimu mitatu Yanga pale Avic town alikuwa ancheza na timu gani ,kama si Manyema,Timu ya Eli Mzozo ,sijui Ashati.Mbona alienda mpaka fainali ya Confideration na robo fainali ya CAF plus ubingwa mara tatu.
Eti ulisha safiri hata mimi nilisafiri (tusitishane JF kila mtu ana hela humu),mechi za pre season lengo lake kutest mifumo, wachezaji wapya na kurudisha mechi fitness hata ukipata wapinzani wa kawaida inatosha.
Nikuulize swali jezi za Yanga wapi zinauzwa nyingi? Acheni kidanganyana mpira wa bongo hamna jezi zinazouzwa nje ya nchi au kuna duka lolote nje ya nchi ya Tz.Jamaa Yuko sahihi
Nadhani kitengo cha habari cha team yetu wamezubaa.
Kucheza na Ausburg inayocheza UEFA ingekuwa fursa nzuri kibiashara.
Team ingeuza jezi
Team na wachezaji wangejiuza huko Europe
Nadhani tunacheza na fursa admu.
Tunaona picha za Baleke zinavuja Yuko mazoezini kwanini asitambulishwe?
Hili sio jambo nzuri
Nadhani Eng Hersi Said afanye reform department ya habari
Hv ishu ya jezi ipo chini yake ali kamwenAshangaa sana. hata jezi mpya zitakuwa bado. maana Ali kamwe nae amekuwa kama mjinga ange weza uza jezi hadi Germany.
yanga wasimuongeze mkataba tu. so far this season he is a failure
Naheshimu mawazo yako mkuuNikuulize swali jezi za Yanga wapi zinauzwa nyingi? Acheni kidanganyana mpira wa bongo hamna jezi zinazouzwa nje ya nchi au kuna duka lolote nje ya nchi ya Tz.
Nishawatumia baadhi ya marafiki zangu jezi za Yanga ila nilinunua ndani na ni kawatumia.Wenye muscles hizo ni timu za ulaya,mfano hata Man pre season zake huzifanyika sana Asia sababu kwenye record zake za mauzo moja ya nchi zinazo nunua jezi kutoka bara Asia na kuna maduka yao.
What if Baleke yupo kwenye trial,kabla hajawa approved na kocha?
Kuna sehemu nimesema timu hazina akili au nimezihaki timu ? Vp huoni huyu kama kazihaki Yanga.... kwa kitu cha kipuuzi? Sasa ukitaja hizo timu ulizo ziona then what B*tch @S$ Nigg@..... ww unajua mimi nimeziona timu ngapi?Sikutishi, nimekwambia ukweli. Waswahili hamjazoea kuambiwa ukweli. Ni kama nilivyoleta stori ya kumfundisha mpira Hersi, kuna mtu akanihoji kwa nini nimeleta hiyo mada, it's my story motherfu.....! Nikikutajia timu ambazo nimewahi kuziona live bila chenga, kuanzia leo utaniangalia kivingine.
Kwa hiyo timu zinazosafiri umbali mrefu kwa ajili ya pre-season hawana akili, Hersi pekee ndiyo ana akili? Mpira ni biashara na kibiashara, lazima timu zijibrand kutokea katika angle tofauti tofauti, usidhihaki wale wanaofanya tofauti na timu yako. Kaizer walikuja hapa mwaka jana, mbona haukusema wajifungie huko kwao? Hiyo timu ya Ujerumani inasafiri umbali mrefu kuweka kambi SA, mbona hauwadhihaki kwa kufanya hivyo?
Sijapuuza chochote ila nilicho mshangaa ni huyu mpuuzi mwenye hii thread. Kwani 5imba baada ya kupigwa na Sevilla/Locomotive Moscow waliuza units ngapi za jezi? Baada ya hapo walifungua maduka mangapi ya kuuza jezi nje ya nchi?Naheshimu mawazo yako mkuu
Ila jaribu kujitoa kwenye ushabiki
Usipuuze hii trip Yanga iipe promotion kubwa ipanue masoko.
Hapa Tanzania watu wanavaa jeans za Mamelod, Kaizer chiefs, Orlando n.k Kwa sababu zishajitangaza.
Na sisi huwezi jua tukicheza na Ausburg let's say tukampiga 5 Dunia itaulizia ni team Gani hiyo na hapo team itajikuza kuanzia followers na kuuza jezi
KAJIKITA SANA KWENYE SIASA HUKO XIf you listen close enough. Ali Kamwe kama ajui kinachoendelea yanga.
1. Pre season vs Augsburg fc
Yanga atakipiga na Germany uefa team friendly tarehe ni 20 th July ila sasa Ali Kamwe yupo busy na mechi ya Kaizer Chiefs ajui hata lini team itaenda South Africa for that match.
In short anaonekana confused and uninformed. kama mjinga mjinga anapelekeshwa na false information.
View attachment 3041714
2. Siku ya kutangazwa jezi.
Ali Kamwe hajui lini and how atatangaza jezi.
Ana pre season kubwa sana ambazo jezi mpya anaweza kujitangaza na yanga yake. issue ni kwamba yupo completely unaware how to do this work.
View attachment 3041715
Anajin'gata sana, information zake zipo random sana. sio organised kama mtu ajui anachofanya. #confused & #incompetent.
ie:
Ali Kamwe ajiorganize vizuri yupo taasisi kubwa, he should act like one. arrange your schedules , show the difference.
Sawa mkuu shukranSijapuuza chochote ila nilicho mshangaa ni huyu mpuuzi mwenye hii thread. Kwani 5imba baada ya kupigwa na Sevilla/Locomotive Moscow waliuza units ngapi za jezi? Baada ya hapo walifungua maduka mangapi ya kuuza jezi nje ya nchi?
Kubalini Jezi zetu hazina wigo mkubwa wa mauzo zote soko lake lipo hapa.
Yaleyale nimekutolea na mifano unasema utimu,kwa hiyo nikikubali kile unacho kiongea ww ndio sina utimu?😁Duh shida ni utimu bro umekuathiri , kwenye kweli sema kweli.
Fursa kama hii kwa klabu kuweka historia nyingine kubwa klabu inayokuwa kama Yanga ikatae , haya bwana tutaona kama wataenda au lah ila wenzenu wanauza tiketi tena bei chee tu R50
Hakuna anayejali umeona timu ngapi, usije ukataja vitimu visivyoeleweka hapa aibu nikaona mimi.Kuna sehemu nimesema timu hazina akili au nimezihaki timu ? Vp huoni huyu kama kazihaki Yanga.... kwa kitu cha kipuuzi? Sasa ukitaja hizo timu ulizo ziona then what B*tch @S$ Nigg@..... ww unajua mimi nimeziona timu ngapi?
Preseason haina formula ndio maana kuna wengine huifanyia ndani wengine nje na hamna mahusiano ya kufanya vizuri eti kisa pre season ulicheza na timu zenye majina makubwa na wengine majina madogo.Arsenal Preseason kachukua sana Emirates Cup (Ndani yake kuna Madrid,Ac milan,Lyon),Man Utd ya Sir inaacheza na vitimu vilivyo choka huko Asia ila akirudi kwenye ligi anabeba ndoo,ila Arsenal akikukuruka sana nafasi ya nne tena kwa mbinde.
If you listen close enough. Ali Kamwe kama ajui kinachoendelea yanga.
1. Pre season vs Augsburg fc
Yanga atakipiga na Germany uefa team friendly tarehe ni 20 th July ila sasa Ali Kamwe yupo busy na mechi ya Kaizer Chiefs ajui hata lini team itaenda South Africa for that match.
In short anaonekana confused and uninformed. kama mjinga mjinga anapelekeshwa na false information.
View attachment 3041714
2. Siku ya kutangazwa jezi.
Ali Kamwe hajui lini and how atatangaza jezi.
Ana pre season kubwa sana ambazo jezi mpya anaweza kujitangaza na yanga yake. issue ni kwamba yupo completely unaware how to do this work.
View attachment 3041715
Anajin'gata sana, information zake zipo random sana. sio organised kama mtu ajui anachofanya. #confused & #incompetent.
ie:
Ali Kamwe ajiorganize vizuri yupo taasisi kubwa, he should act like one. arrange your schedules , show the difference.
Kwani Spurs alivyo cancel mech yake na Leicester mwaka Jana hana akili? Unaposema kuhitaji unamaana Yanga haiwezi survive bila hizo timu?Hakuna anayejali umeona timu ngapi, usije ukataja vitimu visivyoeleweka hapa aibu nikaona mimi.
Unavyosema hizo mechi hazina maana na kwamba dakika yoyote Yanga inaweza kucancel hizo mechi inaonyesha jinsi ulivyo zero brain. Hivi kati ya Yanga na hizo timu inazoenda kucheza nazo nani anamuhitaji mwenzake? Unavyoita hizo timu zimechoka haudhani ambavyo hiyo timu ya Ujerumani kwa mfano ndiyo inavyofikiri inavyokuja kucheza na Yanga? Unaweza kulingalinga kitimu chako kisicho hata na uwanja wake wa mazoezi na hizo timu za Asia unazosema zimechoka? Unatoa point ambazo kimsingi unadhihaki timu yako mwenyewe. Think MF!
Wewe kweli ni zero brain. Unatoa mifano inayokuumbua mwenyewe. Hiyo mechi ilikuwa cancelled kwa sababu za hali ya hewa siyo kwa sababu timu moja iliamka tu ikasema haichezi. Pia mfano wako huo huo unakuumbua kwa sababu hizo timu zimeenda kucheza Thailand, kwa nini hawakucheza kwao wakati wote wanatokea Uingereza? Think MF!Kwani Spurs alivyo cancel mech yake na Leicester mwaka Jana hana akili? Unaposema kuhitaji unamaana Yanga haiwezi survive bila hizo timu?
Vp wewe timu yako ina uwanja?
Alafu tokea lini humu JF ww Kolo ukaumizwa na maamuzi ya Yanga?
Kwani utayari wa jezi mpya ni kazi na Ali Kwamwe? Jezi mpya zikichelewa kutolewa ni kosa la Ali Kamwe?nAshangaa sana. hata jezi mpya zitakuwa bado. maana Ali kamwe nae amekuwa kama mjinga ange weza uza jezi hadi Germany.
yanga wasimuongeze mkataba tu. so far this season he is a failure