Ali Kamwe naye kama hajui kinachoendelea Yanga

Kabla hujaongelea kazi ya Ali Kamwe, ongelea wakubwa zake wanaotoa muongozo
Kama wakubwa hawajafanya maamuzi wataenda lini, unataka Ali Kamwe aseme nini?
Kama wakubwa zake/ wahusika wa jezi hawajatoa muongozo wa lini jezi zitangazwe, unataka Ali Kamwe atungeneze tarehe yake?
Mambo yote hayo yanaanzia kwa viongozi wa juu, Ali Kamwe ni msemaji na mtoa taarifa. Ukiona hajatoa taarifa basi swala bado liko kwa Viongozi.
 
Viwanja vyaazoezi nayo achievement,mbona Yanga wana uwanja wa Mazoezi kaunda miaka kibao na ofisi zao zipo makao makuu ya jengo lako vipi kwenu Ukoloni?

Do you know package atakayopewa Yanga kwa ajili ya kusafiri na timu nzima? Yanga anaweza kucancel akiona gharama zitakuwa kubwa kuliko hela atakayopewa.Au kuna timu ngapi zina alikwa Yanga day na 5imba day haziji na zinaomba hudhuru, unajua sababu zinazo wafanya wasije?

Vip na hawa Norwich City. Pre-season friendly against Stevenage cancelled nao kunatatizo la hali ya hewa.Kucancel mechi za preasons ni kitu cha kawaida kuna baadhi ya sababu huwezi kuwambiwa ww kiazi,hizi sijui za pitch ni basi kulindiana image,Yanga SA inaweza ikamtoka zaidi ya mil 500+ kwa siku atakazo kaa,vip mwenyeji akashindwa kucover.

Halafu we Kolo toka lini maamuzi ya Yanga yalikuumiza ww humu JF,nyie juzi si mliponda mwaliko wa Hersi PSG sio nyie makaponda nafasi aliyo chaguliwa Hersi ?

Leo unajifanya kuumizwa na maamuzi ya Yanga endapo akicancel huo mwaliko,unafiki mwingi sana.

Nilishasikia mechi nyingi tu za preseason zikiwa cancelled tena nyingine hamna hata sababu ya msingi.Ila behind za scene unajua tua wamekwepa gharama.
 
Mbona unarukaruka kama kuku anayetaka kutaga? Hivi ulivyoniuliza kama Simba ina uwanja wa mazoezi, ni kwamba ulikuwa haujui au umechanganyikiwa? Nimekujibu kuwa inao sasa unasema kuwa na uwanja siyo dili? Kwa nini jibu lako la kwanza halikuwa hilo, aiseee!

Haya, ulikazania huo mfano wa Leister na Spurs, nimekupa sababu unasema siyo za kweli pamoja na kwamba ndiyo zilizotolewa na ushahidi wa hizo sababu upo, unasema ni za kulindiana image. Yale yale kujiona una akili kuliko wengine, sasa unakimbilia mfano mwingine. Kumbe unajua kujiamulia kutocheza mechi iliyopangwa kuna madhara makubwa sana kwa klabu, mbona sasa unaropoka Yanga inaweza kujiamulia tu kutokwenda kucheza mechi iliyopangwa, kutangazwa na ambayo tayari tiketi zinauzwa eti sababu ni bonanza na haina umuhimu? Think MF!
 
Mechi iliyo pangwa..... una maanisha nini? na chombo gani cha mpira kilipanga hiyo mechi? Preseason ni kama mabonanza.Yale yale unasema mimi najiona nina akili,vp wewe unaye jiona una hela kuliko wengine,eti umesafiri nje nchi mara kibao,utazani labda unanjijua mimi nimesafairi mara ngapi, kweli nyani halioni Kund¥le.

Halafu mbona kukataa mialiko kawaida,mbona nyie Kolo FC juzi tu mmekataa mualiko wa CECAFA...... kumbuka hiko ni chombo kinacho simamia mpira Afrika Mashariki au nyie huko mlipewa sababu na viongozi wenu?
 
Huyu dogo hajuwi mpira wala nini, kawekwa pale kwa jailli ya kubwabwaja tu.....hana tofauti na Manara. Yanga siku zote wako hivi kwenye hii sekta, wanapenda sana vilaza sijuwi kwanini.
 
Umeshindwa hata kuelewa muktadha wa mimi kusema nimesafiri kuangalia mechi nyingi. Mleta mada alipokuwa anasisitiza kuwa tiketi zimeshaanza kuuzwa na kulalamika ratiba kamili kutotolewa, mimi nimesema vile kukazia kuwa mechi hizo ni muhimu kwa mashabiki maana watu wengine wanasafiri kuziangalia, ndiyo nikatolea mfano wangu. Unaongea utadhani nilijiropokea kuwa nimeziona timu nyingi out of nowhere. Think MF!
 
Vp na mualiko wa CECAFA mlio ukataa.....? au na nyie viongozi wenu hawana akili......

Swala kusafiri hata mimi nimesafiri sana kwa hiyo hapo hatutishani ,humu JF kujipakulia minyama lazima na kila mtu ana hela humu.
 
Vp na mualiko wa CECAFA mlio ukataa.....? au na nyie viongozi wenu hawana akili......

Swala kusafiri hata mimi nimesafiri sana kwa hiyo hapo hatutishani ,humu JF kujipakulia minyama lazima na kila mtu ana hela humu.
Bado umeng'ang'ania issue ya kusafiri pamoja na kukuelewesha sababu ya kuisema, wewe kweli una kichwa kigumu. Ukijua life langu la kitaa utajua mimi huwa siongelei issue zangu personal ikiwemo achievements zangu kama sina sababu za msingi za kufanya hivyo, na wakati mwingine hata nikiwa na sababu najizuia kufanya hivyo, sasa ndiyo nije kutamba JF ili iweje?

CECAFA siku hizi haina mamlaka yoyote ya kimpira.
 
Ila si umealikwa why umekataa......kuna sababu behind? CECAFA ni mfano halisi unao kuhusu ww na timu yako, ile mingine uliikataa.... au chombo kilicho mualika Yanga kina mamlaka gani ya kumzuia Yanga hasicancel huo mwaliko ?

Mpaka ulipo sema bila kuulizwa kuwa unasafiri sana tayari ushaongelea issue zako personal,kama ulikuwa hupendi husinge liongolea,maana hamna mtu aliyekuwa akijua mwanzoni na mimi ni kakwambua zangu personal kwamba nasafiri sana kutizama mechi,nimemaliza mabara yote (Ndio raha ya JF unajipakulia minyama).
 
Itakuwa ulivyopigwa makonzi ukiwa mtoto yalikuathiri maana si bure.
 
Yaani mpaka mifano inayohusu timu yako unashindwa kujibu, ila Yanga unakirupuka.
Kamshauri Hersi acancel safari ya SA uone kama Mzee Mpili hajapewa kazi ya kukuroga. Haujui hata unachoongea.
 
Kakiingereza kenyewe kakuchambia 🤣🤣🤣🤣
 
Kamshauri Hersi acancel safari ya SA uone kama Mzee Mpili hajapewa kazi ya kukuroga. Haujui hata unachoongea.
Yale yale halafu ww ndiye umesafiri sana nje ( JF ni nyumba ya minyama),ila bado tunguli zipo kichwani au labda unamsaidia Mzee Mpili.Ila kama kweli unafanyaga hivyo vitu na Mzee mpili, naamini umesafiri.
 
Kwani utayari wa jezi mpya ni kazi na Ali Kwamwe? Jezi mpya zikichelewa kutolewa ni kosa la Ali Kamwe?
Ni nani ana taarifa kamili pale Yanga kuhusu uzinduzi wa jezi ili tupate sababu ya kumlaumu Ali Kamwe.
kwa washabiki yupo Ali kamwe. sisi wengine hatu awajui mzee.
 

1# kuna vitu unatakiwa kuhoji sio upo kama boya kwenye kazi yako.

2# ali kamwe ajui kinachoendelea anapata wapi nguvu ya kuongea na mashabiki. kama ajui means yupo incompetent.

3# imagine 6 days left ujui team yako kama inaondoka lini?? mashabiki nao awajui 🤷🏼‍♂️. information amna. jezi amna.

4# yupo busy ana chama mwezi mzima. kasahau wachezaji wengine wa ndani.

5# online posts 3 months ajawai post mchezaji wa ndani. post 10 za Wachezaji wa nje. moja ya wa ndani. jamaa ana shida


incompetent sana. asepe wakiweza.
 
kwa wa shabiki yupo Ali kamwe. sisi wengine hatu awajui mzee.
Sasa unataka Ali Kamwe afanye nini? yy ni afisa wa habari analishwa habari na viongozi wake muda utakapofika.

Au maafisa wa habari wa timu nyingine wanawalazimisha viongozi wao wafanye vitu chap chap na wampe habari za kuwaambia mashabiki?

We subiri ukiona Kamwe yupo Kimya jua viongozi wanapanga na kufanya analysis then utajua kupitia Ali Kamwe ,Kamwe kazi yake kupokea habari tu kutoka vyombo vya juu,hayupo kwenye chombo cha maamuzi.
 
#1: Una uthibitisho kwamba hajahoji?

#2: Kuna sheria inamzuia asiwe na nguvu ya kuongea?

#3: Jezi hamna, siyo yeye anayetengeneza. Bila kujali siku zimebaki ngapi, issue inaanzia kwa viongozi, hao ndiyo wahusika

4#: Kikubwa taarifa za hao wengine tunazo, yeye muache aongelee Chama labda lilikuwa tamanio lake kubwa. Pia ni kuwakera Simba

5#: Hajapost ila taarifa za hao wa ndani tunazo, muache apost kitakachowafuraisha wachezaji

Kama wewe ni Afisa Utumishi na unawajua watu competent, watakutaarifu utoe muongozo
 

listen to your self.

huu ndo utendaji wako wakazi. deflecting problems.

watu wa ajabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…