Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Yanga wenye akili linatuumiza zaidi, bleach ni air style za wanawake na wanaume wanamichezo labda na wasanii, kutuletea upuuzi huu ni dharau na kutukosea adabu.Hili la bleach mbona ni kama limewaumiza zaidi wanathimbaa
Usilete makasiriko hapa, kapake bleach ujipige na picha tukuone huwezi ijua siku yako ya bahatiWe nae ni mpumbavu .. Kuna ushamba zaidi ya kumlishwa kuomba msamaha wachezaji mliowatukana?.
Kocha afanye yake uwanjani ya nje ya uwanja awaachie wahusika.
Wewe sio kesi...kajipake tu utapendeza, ila hao jamaa wengine.... napenda niwaone watakavyopendeza hiyo ijumaaHili la bleach mbona ni kama limewaumiza zaidi wanathimbaa
Sisi wenyewe tushalipuuziaWewe sio kesi...kajipake tu utapendeza, ila hao jamaa wengine.... napenda niwaone watakavyopendeza hiyo ijumaa
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hulazimishwi kupaka bleachHauna hoja, umejaa chini dhidi ya wageni kama Mzulu.
Mohammed Baka mechi na Am Ahaly alikuwa Baka day watu wavae misuli.
Mimi sipo kupinga wageni au kuleta ubaguzi, Bali Kapinga huu utoto wa Ally Kamwe, kocha alishaukataa ni wapi Ally Kamwe anapata kiburi hiki? Je Eng Hersi anashabikia pia upuuzi huu? Kuna shida gani kwenye haya majina ya Ally?
Ona Ally Kamwe, Ahmed Ally wote wametoka Azam media na ni wapuuzi watupu.
Sisi tushalipotezea,tushampuuza,watu wazima wenye akili timamu huwa hatupaki bleachYanga wenye akili linatuumiza zaidi, bleach ni air style za wanawake na wanaume wanamichezo labda na wasanii, kutuletea upuuzi huu ni dharau na kutukosea adabu.
Kama Ally Kamwe ameshindwa kumuheshimu kocha basi atuheshimu wenye timu.
Hulazimishwi kupaka bleach
We tokezea uwanjani
Shangilia Yanga yetu
Coach anaandaa team Avic town
Hizi zingine ni mambobya nje ya uwanja na hamasa tu
Hii ishu inafanya team yetu iongelewe kwenye mitandao
Team ya media ni wabunifu mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa ni pipa na mfunikoHauna hoja, umejaa chini dhidi ya wageni kama Mzulu.
Mohammed Baka mechi na Am Ahaly alikuwa Baka day watu wavae misuli.
Mimi sipo kupinga wageni au kuleta ubaguzi, Bali Kapinga huu utoto wa Ally Kamwe, kocha alishaukataa ni wapi Ally Kamwe anapata kiburi hiki? Je Eng Hersi anashabikia pia upuuzi huu? Kuna shida gani kwenye haya majina ya Ally?
Ona Ally Kamwe, Ahmed Ally wote wametoka Azam media na ni wapuuzi watupu.
Naunga mkono hojaKipindi Cha Kwanza Tu Tunakuwa Tumepiga Mtu 3+
Jamaa ndio maana aliwaponza wenzie wakaishia kula 5Hawa jamaa ni pipa na mfuniko
Huyo Ally mwingine ameshikia bango Mayele kutupiwa majini
Tena anaongea hadi ananyanyua vidole juu.
Mpira wa Tanzania una ujinga mwingi sana,, wenzetu huko ligi kuu ya uingereza hawana huu ujinga na wanaupiga mpira safi.
Mimi ndio maana mpira wa bongo sina mzuka naoJamaa ndio maana aliwaponza wenzie wakaishia kula 5
Tubaki na Liverpool yetu tuMimi ndio maana mpira wa bongo sina mzuka nao
Ujinga mwingi mno kuliko mpira
KabisaTubaki na Liverpool yetu tu
Elezea vizuri hiki kituHili toto ndio maana kakimbiwa na mkewe kwa tabia yake ya kunyanduliwa kwenye gari na boss wake. Yaani mwanaume aoake bleach.
Anatoa maagizo kwa kitu ambacho hata yeye mwenyewe hawezi kufanyaYanga wenye akili linatuumiza zaidi, bleach ni air style za wanawake na wanaume wanamichezo labda na wasanii, kutuletea upuuzi huu ni dharau na kutukosea adabu.
Kama Ally Kamwe ameshindwa kumuheshimu kocha basi atuheshimu wenye timu.
Huu ni ushambaMeneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga Ali Kamwe, amewataka mashabiki wa Klabu ya Yanga kujipaka Bleach kwenye mechi ya Jumamosi.
Ali Kamwe amesema,
"Mtoko wa Jumamosi ni PACOME DAY ๐๐ข๐ญ๐๐๐ฅ๐๐ฆ๐ฎ ๐๐๐ข๐๐ข .. Mwanayanga piga Breach kichwani. Piga Breach kwenye ndevu.. chora rangi shavuni, usoni .. Wadada wa Yanga Rangi za kucha Jumamosi ni Njano na Kijani"
"Bilionea GSM ameandaa zawadi Maalum kwa Mwananchi atakayetokeleza ๐๐ข๐ญ๐๐๐ฅ๐๐ฆ๐ฎ ๐๐๐ข๐๐ข kwenye PACOME DAY.. Utapigwa picha na Wananchi watapiga Kura kuchagua mshindi"-Ali Kamwe
Nini maoni yako?
[emoji3578] Mjanja M1
Kwahiyo hujipaki bleach?!Sisi wenyewe tushalipuuzia
Ila thimba mnaumia sana
Pakeni wanathimba maana mmefurahia sana๐