Ali Kamwe: Shabiki wa Yanga paka Bleach kichwani na kwenye Ndevu "PACOME DAY"

Ali Kamwe: Shabiki wa Yanga paka Bleach kichwani na kwenye Ndevu "PACOME DAY"

Baada YA kupaka breach..ipo siku mtaambiwa mgeuka nyuma Na kumsikiliza Ali kamwe..ama kweli Yanga Ni mazwa zwa au nyumbu
 
Hauna hoja, umejaa chini dhidi ya wageni kama Mzulu.

Mohammed Baka mechi na Am Ahaly alikuwa Baka day watu wavae misuli.

Mimi sipo kupinga wageni au kuleta ubaguzi, Bali Kapinga huu utoto wa Ally Kamwe, kocha alishaukataa ni wapi Ally Kamwe anapata kiburi hiki? Je Eng Hersi anashabikia pia upuuzi huu? Kuna shida gani kwenye haya majina ya Ally?

Ona Ally Kamwe, Ahmed Ally wote wametoka Azam media na ni wapuuzi watupu.
Hulazimishwi kupaka bleach
We tokezea uwanjani
Shangilia Yanga yetu

Coach anaandaa team Avic town
Hizi zingine ni mambobya nje ya uwanja na hamasa tu

Hii ishu inafanya team yetu iongelewe kwenye mitandao

Team ya media ni wabunifu mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yanga wenye akili linatuumiza zaidi, bleach ni air style za wanawake na wanaume wanamichezo labda na wasanii, kutuletea upuuzi huu ni dharau na kutukosea adabu.

Kama Ally Kamwe ameshindwa kumuheshimu kocha basi atuheshimu wenye timu.
Sisi tushalipotezea,tushampuuza,watu wazima wenye akili timamu huwa hatupaki bleach
Ila Simba wamelishikia bango mno
 
Wabunifu kwa kutangaza kupaka mablichi?

Ndio hapa soka la Tz huwa linanishangaza.
Makolo utopolo wote wamejaa wanajadili ubleach.
Hulazimishwi kupaka bleach
We tokezea uwanjani
Shangilia Yanga yetu

Coach anaandaa team Avic town
Hizi zingine ni mambobya nje ya uwanja na hamasa tu

Hii ishu inafanya team yetu iongelewe kwenye mitandao

Team ya media ni wabunifu mno

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hauna hoja, umejaa chini dhidi ya wageni kama Mzulu.

Mohammed Baka mechi na Am Ahaly alikuwa Baka day watu wavae misuli.

Mimi sipo kupinga wageni au kuleta ubaguzi, Bali Kapinga huu utoto wa Ally Kamwe, kocha alishaukataa ni wapi Ally Kamwe anapata kiburi hiki? Je Eng Hersi anashabikia pia upuuzi huu? Kuna shida gani kwenye haya majina ya Ally?

Ona Ally Kamwe, Ahmed Ally wote wametoka Azam media na ni wapuuzi watupu.
Hawa jamaa ni pipa na mfuniko
Huyo Ally mwingine ameshikia bango Mayele kutupiwa majini
Tena anaongea hadi ananyanyua vidole juu.

Mpira wa Tanzania una ujinga mwingi sana,, wenzetu huko ligi kuu ya uingereza hawana huu ujinga na wanaupiga mpira safi.
 
Hawa jamaa ni pipa na mfuniko
Huyo Ally mwingine ameshikia bango Mayele kutupiwa majini
Tena anaongea hadi ananyanyua vidole juu.

Mpira wa Tanzania una ujinga mwingi sana,, wenzetu huko ligi kuu ya uingereza hawana huu ujinga na wanaupiga mpira safi.
Jamaa ndio maana aliwaponza wenzie wakaishia kula 5
 
Yanga wenye akili linatuumiza zaidi, bleach ni air style za wanawake na wanaume wanamichezo labda na wasanii, kutuletea upuuzi huu ni dharau na kutukosea adabu.

Kama Ally Kamwe ameshindwa kumuheshimu kocha basi atuheshimu wenye timu.
Anatoa maagizo kwa kitu ambacho hata yeye mwenyewe hawezi kufanya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Meneja Habari na Mawasiliano wa Klabu ya Yanga Ali Kamwe, amewataka mashabiki wa Klabu ya Yanga kujipaka Bleach kwenye mechi ya Jumamosi.

Ali Kamwe amesema,

"Mtoko wa Jumamosi ni PACOME DAY 𝐊𝐢𝐭𝐚𝐚𝐥𝐚𝐦𝐮 𝐙𝐚𝐢𝐝𝐢 .. Mwanayanga piga Breach kichwani. Piga Breach kwenye ndevu.. chora rangi shavuni, usoni .. Wadada wa Yanga Rangi za kucha Jumamosi ni Njano na Kijani"

"Bilionea GSM ameandaa zawadi Maalum kwa Mwananchi atakayetokeleza 𝐊𝐢𝐭𝐚𝐚𝐥𝐚𝐦𝐮 𝐙𝐚𝐢𝐝𝐢 kwenye PACOME DAY.. Utapigwa picha na Wananchi watapiga Kura kuchagua mshindi"-Ali Kamwe

Nini maoni yako?

[emoji3578] Mjanja M1
Huu ni ushamba
 
Labda ungeeleza kwa mifano ni athari zipi zmejitokeza kwa kutumia majina ya wachezaji kuhamasisha mashabiki?
Au kupaka bleach kunaathiri nini mshabiki ambae analengo la kuiunga mkono timu yake?
Kama hauna sababu zenye mashiko tuendelee tuu kumpongeza mzee Rage kwa maono yake
 
Back
Top Bottom