Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
Anaelewa kwani mkuu, mimi niliangalia nikampuuza Tu. kuna vitu vingine ni sensitive sana kuviongelea kwa kuegemea upande flani hasa ukiwa public figure.Wrong Comment for a person who has a Brand..., Ukiwa unategemea Status yako ili kuuza (wewe ndio brand) inabidi uwe careful sana na unachokiongea
Kuwa na mtizamo ni haki ya kila mmoja kuweka msimamo / imani / views zako ambazo sio za kila mtu inaweza ikawa costly unless anataka kujibrand kama mtu wa Imani....
Mambo ya dini, kabila au siasa ambazo huusisha hisia kali si sawa maana reactions au athari sake huwa hazitabiriki