February Makamba
JF-Expert Member
- Jan 31, 2020
- 2,151
- 2,983
true\Haijalishi ni mkristo au muislamu anayetamka hayo maneno. Ni ujinga uliopitiliza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
true\Haijalishi ni mkristo au muislamu anayetamka hayo maneno. Ni ujinga uliopitiliza
Hahahahahaha nimecheka Sana Mkuu,huu Ndio ukweli mchungu ambao wavaa kobazi wa Mecca hawapendi kuusikia,UISLAM HUU AMBAO ULIANZISHWA NA MA JESUITS WA VATICAN KWA KUMPA MOHAMAD KAZI MAALUMU???
Logicaly ni kwamba dini ni ubunifu wa mtuHaswaa huo ndio msingi,lakini hatukatazi watu wangine wasipinge,kama kuna wanaopinga sawa ila uislamu umeshaweka huo utaratibu tayari.
Hausemwi na nani wakati wewe unasema na tumeshasikia watu kadhaa wakisema huu unaosema ukweli.
Hivyo huu unaosema ni ukweli ambao hausemwi sio kweli mkuu,huu ni ukweli(kwa mujibu wako) ambao unasemwa.
Na huu ni msimamo wa atheist pia kama ambavyo ulivyokuwa msimamo wa uislamu.
Hivyo kila mtu anavutia ngoma upande wake.
Muislam hata awe Profesa,dini Kwake ina ushawishi mkubwa!sasa fikiria mtu anaamini huu upuuzi,kwamba mtu anazaliwa akiwa na dini!!Kwenye post ya Muna love Instagram ambayo Muna love alikua anauliza kama akibadili dini na kuwa muislamu atapokelewa, msanii Alikiba alimjibu kwenye comments kwa kusema, "uislam ni dini uliyozaliwa nayo ila unapofanyiwa ubatizo Ndio unakua converted into Christian"
Hii inaonesha wazi jinsi gani watanzia ni wajinga, tumekariri dini tulizoingiziwa na mataifa mengine kutoka nje ya nchi na kujikuta tunakuwa wajinga.
Sikutegemea Alikiba ni mjinga kiasi hiki kisa dini🤦🏾♂️
=====
Muna Love
"Hivi Nikiamua kubadili Dini kua Muislamu. Waislam watanipokea au nao wanaweza kunichamba kama hawa walokole ? Nikafa"
Alikiba
"Mimi nitaakikisha unastirika I hope unakumbuka mameno yangu na iwe kheri ALLAH akufanyie wepesi dada yangu"
"Uislam ni dini uliyozaliwa nayo ila unapofanyiwa ubatizo Ndio unakua Converted into Christian"
Hakuna ataeandamana alichokisema Ally Kiba ni sahihi.Mkristo akisema vice versa kuwa kila mtu anazaliwa mkristo utasikia wanaandamana
Atheist maana yake nini?
Ukristu na Uislamu upi ulitangulia?
Hizi mbili ni dini za kurithi
Kila mtu huzaliwa bila dini ( Ali Kiba acha uzushi)
Ninyi wawili oops mko watatu ni wa dini sana
Kwa Mungu hakuna dini msipotoshe na kuwapotezea watu muda
Maisha yako na matendo yako ndio dini yako
Ufuska umalaya ujambazi uchawi nazo ni dini za watu kwani ni Imani ujue....
Huyu anayetangatanga mara mksristo mara kasababisha kifo cha nani yake mara msaidia yatima nk ndio wakumjadili kweli???
Hii angetamka domo, Mange hili angelivalia njuga plus la kuchumpa.
Kwa mtu kama Kiba kwa brand yake hakutakiwa kusema hivyo,mimi naamini maswala ya imani ni utashi wa mtu, Mungu alimpa binadamu utashi achague lilojema, huku tukiongozwa na mitume na manabii wa Mungu. Ila mwisho wa siku hamna dini nzuri kama ya UPENDO, mpenda Mungu wako,majirani na pamoja maadui zako.
Uwe Muislamu au mkristo kama huna upendo ni kazi bure.
Kwenye post ya Muna love Instagram ambayo Muna love alikua anauliza kama akibadili dini na kuwa muislamu atapokelewa, msanii Alikiba alimjibu kwenye comments kwa kusema, "uislam ni dini uliyozaliwa nayo ila unapofanyiwa ubatizo Ndio unakua converted into Christian"
Hii inaonesha wazi jinsi gani watanzia ni wajinga, tumekariri dini tulizoingiziwa na mataifa mengine kutoka nje ya nchi na kujikuta tunakuwa wajinga.
Sikutegemea Alikiba ni mjinga kiasi hiki kisa dini🤦🏾♂️
=====
Muna Love
"Hivi Nikiamua kubadili Dini kua Muislamu. Waislam watanipokea au nao wanaweza kunichamba kama hawa walokole ? Nikafa"
Alikiba
"Mimi nitaakikisha unastirika I hope unakumbuka mameno yangu na iwe kheri ALLAH akufanyie wepesi dada yangu"
"Uislam ni dini uliyozaliwa nayo ila unapofanyiwa ubatizo Ndio unakua Converted into Christian"
Haya uliyoyaandika wewe labda ulaya sio tz mzee, huku watu wapowapo tu. Kuhusu kauli ya ali nadhani yupo sahihi kwa mujibu wa imani yakeWrong Comment for a person who has a Brand..., Ukiwa unategemea Status yako ili kuuza (wewe ndio brand) inabidi uwe careful sana na unachokiongea
Kuwa na mtizamo ni haki ya kila mmoja kuweka msimamo / imani / views zako ambazo sio za kila mtu inaweza ikawa costly unless anataka kujibrand kama mtu wa Imani....
Na bado anajiona ni special. Kumbe ni kiazi.Mkuu msamehe tu maana ukifuatilia vitendo vingi vya kiba utajua kuwa ana level ndogo ya maturity and intellectual capacity