Ali Kiba anadai kila mtu kazaliwa Muislamu na kwamba Wakristo wote ni watu waliobadili dini

Ali Kiba anadai kila mtu kazaliwa Muislamu na kwamba Wakristo wote ni watu waliobadili dini

Ukisikiliza interview ya salama na seven utaelewa mahusiano ya kiba na managers wake inakuwaje.

Seven alisema in a soft way kuwa kiba ni ngumu kumbadili kuwa brand inayouza maana tayari ana mifumo yake ambayo ni ngumu kushawishika kuibadili, nzuri kibinafsi ila mbaya kibiashara
Nakubaliii.
 
Uko sahihi sana kaka,wengine baba Islam,mama Christian, yaani maisha yetu tunaogopa sana kubaguana na hua naogopa sana majadiliano ya hizo dini mbili!Mimi yananichoma sana mwenzenu[emoji21][emoji21]!!!naogopa hata kuchangiaga nabakigo kimya sana!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Nakuelewa mkuu, imagine unapita kwenye vitu flani na unatamkiwa maneno makali ya kibaguzi waziwazi lakini ukiingia kwenye contacts zako unaona ndugu na marafiki zako wa karibu ni wa imani hiyo. Tena hii si kwa waislamu vs wakristu, kuna hadi madhehebu yana itikadi hizo hizo

Mwisho wa siku unawapuuza Tu na unaendelea na maisha yako. Kama mtu hajawahi kukuoneshea utofauti wowote kwa nini utumie sumu za watu wengine kumuhukumu. HAIWEZEKANI
 
Mkristo akisema vice versa kuwa kila mtu anazaliwa mkristo utasikia wanaandamana
1. Hakuna atakaye andamana eti mkristo kasema alizaliwa akiwa mkristo... Bali tutamuuliza. Je ubatizo ni kwa ajili GANI??

2. Kwa mafundisho ya Uislamu kila mtu anayezaliwa huzaliwa akiwa ni Muislamu ndio maana Waislamu hawawapeleki watoto wao Misikitini kuwabatiza, maana ukishambatiza tu tayari umeshamuondolea uhuru wake aliozaliwa nao ambo ni Uislamu....

Qur'an 30: 30. Basi elekeza uso wako kwenye Dini yenye kujiengua na upotofu inayoelemea haki. Umbile la asili la kumpwekesha Allaah Aliyowaumbia watu. Hakuna mabadiliko katika uumbaji wa Allaah. Hivyo ndio Dini iliyonyooka sawasawa, lakini watu wengi hawajui..

Umbile la VIUMBE WOTE NI UISLAM....HUO UYESU UMEUPATA WAPI??
 
Tuna kubaliana nae yuko sawa


[emoji81][emoji81]ila Christians wanafiki sana yani hawana mambo mengi wana kukubalia tu bila.kelele ila ingekua upande wa pili ingekua fujo apo
Wakristo sio wanafiki wanakubali bila kelele??
Kasome kwanza lengo la yesu duniani ni lipi...
Mat 10:34-35, Luka 14:26, Luka 12:51

Kisha uje hapa unikumbushe Gwajima alipo kamatwa waumini wake walikaa kimya??
 
Mleta mada ni mjinga sana wa chuki,kila mtu si na anavyoamini?wewe kama unaamini tofauti ni kusema na unavyoamini wewe,jinga sana tena bure kabisa.
Unaumia roho na imani ya mwingine?ndiyo maana wewe una imani yako,acha yeye aamini anavyoamini,!,very stupid
 
UISLAM HUU AMBAO ULIANZISHWA NA MA JESUITS WA VATICAN KWA KUMPA MOHAMAD KAZI MAALUMU???
Muislamu yeyote abishe hi; maanake moja kati ya watu walitakiwa ku justify UTUME wa Mohamed ni Padree wa kanisa la Catholic; hili watu hawataki kulisema but ndio ukweli. RC ni taasisi ya ajabu sana kwenye hi dunia, walianza umafia siku nyingi mno
 
1. Hakuna atakaye andamana eti mkristo kasema alizaliwa akiwa mkristo... Bali tutamuuliza. Je ubatizo ni kwa ajili GANI??

2. Kwa mafundisho ya Uislamu kila mtu anayezaliwa huzaliwa akiwa ni Muislamu ndio maana Waislamu hawawapeleki watoto wao Misikitini kuwabatiza, maana ukishambatiza tu tayari umeshamuondolea uhuru wake aliozaliwa nao ambo ni Uislamu....

Qur'an 30: 30. Basi elekeza uso wako kwenye Dini yenye kujiengua na upotofu inayoelemea haki. Umbile la asili la kumpwekesha Allaah Aliyowaumbia watu. Hakuna mabadiliko katika uumbaji wa Allaah. Hivyo ndio Dini iliyonyooka sawasawa, lakini watu wengi hawajui..

Umbile la VIUMBE WOTE NI UISLAM....HUO UYESU UMEUPATA WAPI??
Shida inakuja hayo mafundisho ya kuran na biblia tumeyapokea toka kwa watu wengine nje ya Tanzania.
Kuna walioamua kufata hadithi za kuran na walioamua kufata hadithi za biblia.
Sasa wewe unasemaje kila mtu kazaliwa kwa mujibu wa kuran wakati ni dini tumepokea nje na mtu huifata kutokana na wazazi au yeye mwenyewe kubadili dini ukubwani. Unasemaje kazaliwa na dini zilizoingizwa toka nje ya nchi 🤦🏾‍♂️
 
Wrong Comment for a person who has a Brand..., Ukiwa unategemea Status yako ili kuuza (wewe ndio brand) inabidi uwe careful sana na unachokiongea

Kuwa na mtizamo ni haki ya kila mmoja kuweka msimamo / imani / views zako ambazo sio za kila mtu inaweza ikawa costly unless anataka kujibrand kama mtu wa Imani....
Brand sio Hoja....issue kubwa watanzania wenzangu tunapenda unafiki eti mtu afiche imani yake... Yaani dini hususani UISLAM uwe ni msikitini na usireflect maisha ya mtu na muhusika pia asitaje hadharani.

1. Wakristo wangapi wenye brand na wanapanda majukwaani ni misalaba shingoni?? Je imani ya misalaba waislam wanakubaliana nayo? Au wanakubali anachofanya wakati husika??
Je mtu akifa, Mkristo mbona sijaona mkimuacha azikwe na mashabiki wake kimziki mziki badala yake wanaletwa WACHUNGAJI na mapadre na brand inasahaulika?? Je NDOA mbona hazifungiwi jukwaani na maproducer ila huenda kanisani??

Ukijibu maswali hayo ujue Alikiba yupo sahihi na kwa misingi ya UISLAM hakuna anayempeleka mtoto wa kwa sheikh akabatizwe UISLAM kwa sababu kila mtu maumbile yake ni uhuru wa kufuata muongozo wa Aliye muumba ( UISLAM) unyenyekevu.
 
Kwenye post ya Muna love Instagram ambayo Muna love alikua anauliza kama akibadili dini na kuwa muislamu atapokelewa, msanii Alikiba alimjibu kwenye comments kwa kusema, "uislam ni dini uliyozaliwa nayo ila unapofanyiwa ubatizo Ndio unakua converted into Christian"

Hii inaonesha wazi jinsi gani watanzia ni wajinga, tumekariri dini tulizoingiziwa na mataifa mengine kutoka nje ya nchi na kujikuta tunakuwa wajinga.

Sikutegemea Alikiba ni mjinga kiasi hiki kisa dini[emoji2365]

=====

Muna Love
"Hivi Nikiamua kubadili Dini kua Muislamu. Waislam watanipokea au nao wanaweza kunichamba kama hawa walokole ? Nikafa"

Alikiba
"Mimi nitaakikisha unastirika I hope unakumbuka mameno yangu na iwe kheri ALLAH akufanyie wepesi dada yangu"

"Uislam ni dini uliyozaliwa nayo ila unapofanyiwa ubatizo Ndio unakua Converted into Christian"


Sawaa waende pinguni kwani si wanajua Christian hawanaga wivu.
 
Mleta mada ni mjinga sana wa chuki,kila mtu si na anavyoamini?wewe kama unaamini tofauti ni kusema na unavyoamini wewe,jinga sana tena bure kabisa.
Unaumia roho na imani ya mwingine?ndiyo maana wewe una imani yako,acha yeye aamini anavyoamini,!,very stupid
Wala sina imani yoyote ile. Siamini wakristo wala siamini waislamu.
Sichukii wakristo wala sichukii waislamu kwasababu sina imani yoyote ile ya dini.
Ndiyo maana nampinga Kiba kusema kila mtu kazaliwa na dini tulizopokea toka nje ya nchi.
Wewe kama ukachukukia wakristo, pole sana. Unajitesa tu bure.
 
Nakuelewa mkuu, imagine unapita kwenye vitu flani na unatamkiwa maneno makali ya kibaguzi waziwazi lakini ukiingia kwenye contacts zako unaona ndugu na marafiki zako wa karibu ni wa imani hiyo. Tena hii si kwa waislamu vs wakristu, kuna hadi madhehebu yana itikadi hizo hizo

Mwisho wa siku unawapuuza Tu na unaendelea na maisha yako. Kama mtu hajawahi kukuoneshea utofauti wowote kwa nini utumie sumu za watu wengine kumuhukumu. HAIWEZEKANI
Acha kabisa mi ndo maana napitaga kimya kimya sichangiagi mimi

JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom