Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,287
huyo huyo boss,alikua muislamu[emoji23]ibrahim yule baba wa isaka aliye baba wa yakobo aliye baba wa yuda
View attachment 2133963
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo huyo boss,alikua muislamu[emoji23]ibrahim yule baba wa isaka aliye baba wa yakobo aliye baba wa yuda
View attachment 2133963
uislamu maana yake ni,kumtii mungu na kufuata amri zake,yaani kujiweka chini ya mnyazi mungu,Ukristu na Uislamu upi ulitangulia?
Hizi mbili ni dini za kurithi
Kila mtu huzaliwa bila dini ( Ali Kiba acha uzushi)
Ninyi wawili oops mko watatu ni wa dini sana
Kwa Mungu hakuna dini msipotoshe na kuwapotezea watu muda
Maisha yako na matendo yako ndio dini yako
Ufuska umalaya ujambazi uchawi nazo ni dini za watu kwani ni Imani ujue....
Huyu anayetangatanga mara mksristo mara kasababisha kifo cha nani yake mara msaidia yatima nk ndio wakumjadili kweli???
binadamu huanza kumuabudu mungu automatically,,na hii ipo tangu stone ageLogicaly ni kwamba dini ni ubunifu wa mtu
Alianza mtu ndio zikaja dini
Mtu ndio aliyeanzisha dini
Dini haijaanzisha mtu
Mpaka hapo utaona atheist ni default position ambayo kila mtu kaipitia
Badala ya kujenga hoja unatukana matusi.Bwege sana,kama huna imani maana yake hujui chochote upande wowote,sasa kijambio kinatekenyekaje wakati huna imani,keep on keeping on,staying neutral.
Abrahamu asili yake ni syria,,Sehemu inaitwa Paran,,,yeye na wazazi wake walihamia ,Ur ya mesopotamia akiwa mdogo,Huyo Ibrahim amemjulia wapi? Wakishajiita Ibra basi ndio wanakuwa waarabu kabisa maana kuna mwingine kwenye Uzi wa Zanzibar akasema waarabu asili yao ni weusi.
Hawa watu waache viroja
Poa mtumewaislamu wote wanaamini hivyo,,,sio big issue ni imani,,,,sawa na wakristo wanaisema,usipompokea yesu utatupwa jehanum,,,
Adam(sidhani kama alipata kuwepo),aliishi miaka 300,,unaweza kuaccount katika miaka hiyo alifanya nini na nini,ukiachia suala la kula tunda la eve.?Adam alihubiri dini? Uislam tena [emoji2] muislam hata aende shule kiasi gani Ila Kama alianzia madrasa basi elimu nyingine haina maana kwake.
mie ni historianPoa mtume
Binadamu huwa tunaendeshwa na uoga wa "nini kinafata baada ya kifo" au "tufanye nini ili tuendelee kuwa hai".binadamu huanza kumuabudu mungu automatically,,na hii ipo tangu stone age
Huyu mziki kwasasa anafosi tu hana jipya. Na me nashangaa hata wanaomsifia kuwa ni mkali sijui ana ukali upi!Wrong Comment for a person who has a Brand..., Ukiwa unategemea Status yako ili kuuza (wewe ndio brand) inabidi uwe careful sana na unachokiongea
Kuwa na mtizamo ni haki ya kila mmoja kuweka msimamo / imani / views zako ambazo sio za kila mtu inaweza ikawa costly unless anataka kujibrand kama mtu wa Imani....
wote wako sawa,wahindi,budha,christians,,wote ni waislamu[emoji1745]Binadamu huwa tunaendeshwa na uoga wa "nini kinafata baada ya kifo" au "tufanye nini ili tuendelee kuwa hai".
Wengine akili zikawatuma atakuwepo Mungu, wengine akili zikawatuma kuna miungu zaidi ya milioni (wahindu) na wengine hawafikirii miungu au mungu bali wanafikiria tu roho za mababu zao.
Hivyo, tangu stone age mawazo ya binadamu hayajawahi kuwa sawa.
Hapanabinadamu huanza kumuabudu mungu automatically,,na hii ipo tangu stone age
Ni hapo sasa,wote wako sawa,wahindi,budha,christians,,wote ni waislamu[emoji1745]
Unaweza kututajia huyo mtu aliyeanzisha Dini na ilikuwa lini ? Yaani naongelea pale tu lilipo anza kutumika tamko "DINI" ?Mtu ndio aliyeanzisha dini
Hapo namsahihisha kidogo alitakiwa aseme ya kuwa anakuwa yuko tayari kupokea habari za Mola muumba na hawezi kuzipinga yaani umbile la mwanadamu lipo tayari kuamini uwepo wa Mola muumba.Hapana
Swala la kuabudu mungu ni mpaka mtu afundishwe haijawahi kuwa automatic
Hivi logic ipi unayo iongelea wewe ? Maana naona unalitumia vibaya sana hili tamko. Tukikuomba uelezee unacho maanisha kwa kuzingatia misingi ya logic najua hutaweza sasa sijui kwanini unakurupuka katika matumizi ya maneno ?Logicaly ni kwamba dini ni ubunifu wa mtu
Siwezi kumjua muanzilishi lakini haina maana kuwa halijabuniwa na watu/mtuUnaweza kututajia huyo mtu aliyeanzisha Dini na ilikuwa lini ? Yaani naongelea pale tu lilipo anza kutumika tamko "DINI" ?
Uislamu ni dini na utamaduni wa waarabu we mtu mweusi kaa kwa kutulia hauna chako kwenye uislam, ndio maana kwenye nchi za kiarabu wanakwambia bora kuswalishwa na muarabu mla kitimoto au chapombe kuliko mtu mweusi kama wewe na alikiba wako.Acha chuki za kijinga huo ndio ukweli wenyewe kila Mtu huzaliwa akiwa Muislam ila wazazi ndio humfanya awe mnaswala au majusi.
Hizo habari za eti dini walituletea wageni Ni za kijinga Sana na hazina mantiki.
Babu yetu Nabii Ibrahimu ..alikuja kwa meli au nn.
Habari za mola zinafundishika na kukaririka kama ilivyo kwa habari zingine kama panya mabaka aliyemvisha paka kengele, na habari ya pazi aliyebebwa kichwa chini miguu juu na jogooHapo namsahihisha kidogo alitakiwa aseme ya kuwa anakuwa yuko tayari kupokea habari za Mola muumba na hawezi kuzipinga yaani umbile la mwanadamu lipo tayari kuamini uwepo wa Mola muumba.
Hili hata wewe kama akili yako utaipa muda ufikirie ni kuwa umekuwa hivyo kichwa mchunga sababu ya kulishwa ujinga na kutong'amua hayo mambo, ila kabla ya hapo ungezipata habari za kweli juu ya uwepo wa Allah lazima ukubali.