Anaelewa kwani mkuu, mimi niliangalia nikampuuza Tu. kuna vitu vingine ni sensitive sana kuviongelea kwa kuegemea upande flani hasa ukiwa public figure.Wrong Comment for a person who has a Brand..., Ukiwa unategemea Status yako ili kuuza (wewe ndio brand) inabidi uwe careful sana na unachokiongea
Kuwa na mtizamo ni haki ya kila mmoja kuweka msimamo / imani / views zako ambazo sio za kila mtu inaweza ikawa costly unless anataka kujibrand kama mtu wa Imani....
Kwamba dini uliyoletewa toka mataifa mengine leo unasema umezaliwa nayo.mjinga utakuwa wewe mleta mada.
Dini yako ni ipi?
Ali kiba yupo sahihi kwa [emoji817]
anayekuweka huwezi kumjua mpaka upime DNAila Cha ajabu anayetuweka huko matumboni hatumjui
Tatizo itaathiri biashara yakeNi maoni yake yanayoreflect upeo wa akili alizonazo.
Nenda ka googleAtheist maana yake nini?
Mkuu msamehe tu maana ukifuatilia vitendo vingi vya kiba utajua kuwa ana level ndogo ya maturity and intellectual capacityHaijalishi ni mkristo au muislamu anayetamka hayo maneno. Ni ujinga uliopitiliza
Wewe unathibitisha vipi babu yako ni Ibrahim zaidi ya kuambiwa tu na watu toka nje ya nchi yetu.Acha chuki za kijinga huo ndio ukweli wenyewe kila Mtu huzaliwa akiwa Muislam ila wazazi ndio humfanya awe mnaswala au majusi ...
Hizo habari za eti dini walituletea wageni Ni za kijinga Sana na hazina mantiki...
Babu yetu Nabii Ibrahimu ..alikuja kwa meli au nn....
Huo ni msimamo wa waislamu karibia wote
Ila ukweli ambao hausemwi ni kuwa watu wote tulizaliwa tukiwa atheist
ibrahim yule baba wa isaka aliye baba wa yakobo aliye baba wa yudaAcha chuki za kijinga huo ndio ukweli wenyewe kila Mtu huzaliwa akiwa Muislam ila wazazi ndio humfanya awe mnaswala au majusi ...
Hizo habari za eti dini walituletea wageni Ni za kijinga Sana na hazina mantiki...
Babu yetu Nabii Ibrahimu ..alikuja kwa meli au nn....
Wateja wa biashara yake wanajipendekeza tu ye hatakagi shobo na mtuTatizo itaathiri biashara yake
Hawa vijana need to be taught issues za public speaking
enh kazi ipiUISLAM HUU AMBAO ULIANZISHWA NA MA JESUITS WA VATICAN KWA KUMPA MOHAMAD KAZI MAALUMU???
akikujibu niiteAtheist maana yake nini?
Na huo ni ubinafsi 😄😄Mkristo akisema vice versa kuwa kila mtu anazaliwa mkristo utasikia wanaandamana
Tatizo ni kwamba watu waliotuletea hivi vitabu na hizi hadithi hawana njia ya kuthibitisha chochote zaidi kuleta madai ya hadithi.Analingania dini yake jambo ambalo ni jema, naona wengine wanaona kuwa anakosea sijui public figure sijui brand aah hapana maana naye bado ni muumini ana wajibu wa kuutimiza kwa anayemuabudu wa kueneza ukweli kwa wasioujua ili waufahamu hana woga na ni jambo zuri
Ila kwa aliyosema ndiyo siyo sahihi uislamu japo unanasibishwa sijui na Ibrahimu kupitia Ishmael lakini ni dini iliyoibuka miaka ya 610 hivi wakati huo tayari ukristo ulishakuwepo zamani sana uislamu ni dini ya juzi tu kupitia kwa Muhammad ndiyo maana hata katika hoja mbalimbali zinapowatatiza allah kupitia wahyi wake kwa Muhammad aliwaambia wawaulize watu waliokuwa na kitabu kabla yao ambao ni wakristo
( فَإِن كُنتَ فِي شَكٍّ مِّمَّا أَنزَلْنَا إِلَيْكَ فَاسْأَلِ الَّذِينَ يَقْرَءُونَ الْكِتَابَ مِن قَبْلِكَ ۚ لَقَدْ جَاءَكَ الْحَقُّ مِن رَّبِّكَ فَلَا تَكُونَنَّ مِنَ الْمُمْتَرِينَ )
يونس (94) Yunus
Na ikiwa unayo shaka katika tuliyo kuteremshia, basi waulize wasomao Kitabu kabla yako. Kwa yakini imekwisha kujia Haki kutoka kwa Mola wako Mlezi. Basi usiwe miongoni mwa wenye shaka.
Kwa hiyo quran yake inawtambua watu waumini walikuwepo kabla ya uislamu tena wenye kitabu ambao wanapaswa wawafundishe waislamu wakipata utata juu ya hoja. Kwa hiyo nadharia ni uongo
Haswaa huo ndio msingi,lakini hatukatazi watu wangine wasipinge,kama kuna wanaopinga sawa ila uislamu umeshaweka huo utaratibu tayari.Huo ni msimamo wa waislamu karibia wote
Hausemwi na nani wakati wewe unasema na tumeshasikia watu kadhaa wakisema huu unaosema ukweli.Ila ukweli ambao hausemwi
Na huu ni msimamo wa atheist pia kama ambavyo ulivyokuwa msimamo wa uislamu.kuwa watu wote tulizaliwa tukiwa atheist
nonsense.Acha chuki za kijinga huo ndio ukweli wenyewe kila Mtu huzaliwa akiwa Muislam ila wazazi ndio humfanya awe mnaswala au majusi ...
Hizo habari za eti dini walituletea wageni Ni za kijinga Sana na hazina mantiki...
Babu yetu Nabii Ibrahimu ..alikuja kwa meli au nn....