Qwy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 6,238
- 31,190
Yule dogo hana akili za kibiashara hata kidogo, ndiyo maana licha ya mbeleko zilizokuwa zikimbeba lakini leo hii anazidiwa hata Mmakonde ambaye hivi karibuni amefanya remix ya kwaya.Tatizo itaathiri biashara yake
Hawa vijana need to be taught issues za public speaking