Muda mwingine ‘Exposure’ na kukubali kujifunza kunaleta maana sana.Kweli shule ni nzuri sana
Kwa mtazamo wako unahisi Ali K amedanganya?!Akiongea na waandishi wa habari muda mfupi uliopita Ali Kiba amesema kuwa Diamond ni msanii mzuri, ana mafanikio makubwa na anaiwakilisha vyema nchi yetu kimataifa. Ni kweli au King Kiba anazingua?
Labda mfalme wa familia yako.mpk ss nchi imezizimia inamsubiri mfalme wa bongofleva tanzania nzima anashusha nondo gani!
Mh king kariakoo kayasema hayo?Akiongea na waandishi wa habari muda mfupi uliopita Ali Kiba amesema kuwa Diamond ni msanii mzuri, ana mafanikio makubwa na anaiwakilisha vyema nchi yetu kimataifa. Ni kweli au King Kiba anazingua?
Kama yeye anayeshindana nae kimuziki kasema wewe ambae hujui hata kupiga tarumbeta unabisha nini?Akiongea na waandishi wa habari muda mfupi uliopita Ali Kiba amesema kuwa Diamond ni msanii mzuri, ana mafanikio makubwa na anaiwakilisha vyema nchi yetu kimataifa. Ni kweli au King Kiba anazingua?
Nisumaraizie point muhimu alizoongea mkuu..Huyo msanii akili Hana hata hao east Africa wanaonekana nao ni wapuuzi kumbe Kiki yote alafu unaongea upuuzi
Kaongea nn huyo mtambino [emoji3]Aseeee sikilizeni PUMBA aliyoijibu Alikiba
ataemtetea walahi leo na ku ignore,maishaaaa
Mkuu..yaani otimbi otimbilio kwa kweli haeleweki..Kaongea nn huyo mtambino [emoji3]
Kiba bhana... [emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu..yaani otimbi otimbilio kwa kweli haeleweki..