I am Groot
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,929
- 10,747
Yale majina yaliyosomwa na Makonda yaliishia wapi ?
Halafu mnaniambia eti kuna tume ya kupambana na dawa za kulevya nchini.
😁😁😁kwa jins unavyo piga kelele sikuamini kama ni wew.Haya lete mrejesho wa huyo kiba wako naona unaona aibu.
Kila Uzi unaoleta ufanikiwi sijui tatizo ni Nini?mzee baba ujipange sio unaleta Uzi bila kufikiri😁😁😁kwa jins unavyo piga kelele sikuamini kama ni wew.
Yale majina yaliyosomwa na Makonda yaliishia wapi ?
Nchi ya matukio. |
😁😁kwan bro wew umefanikiwa nin toka uanze kuleta Uzi humu? humu tunakuja Ku refresh mind tu mafanikio tunayo kitaa,acha ungese😁Kila Uzi unaoleta ufanikiwi sijui tatizo ni Nini?mzee baba ujipange sio unaleta Uzi bila kufikiri
hebu tu jamani nisaidie kuona huu upumbavu aliojibu Kwanini hawezi tumbuiza Tamasha la WasafiSwahili times View attachment 1258037
ataemfananisha kiba na harmonize hana akili kwanzaHARMONIZE ni msanii mzuri mara 100 ya kiba