Ali Kiba atimuliwa kwenye nyumba aliyokuwa kapewa aishi

Cc: Mtimti na jina la shemejio uliuliza, anaitwa Mariana
 
Last edited by a moderator:
Ata wewe andika vitu vyenye uhakika Frank Gonga ni marioo hana ubavu wa kujenga ndio maana alifukuzwa na demu wake.

Nyinyi ndio wanaume mnaoolewa mjini hapo kwa kujifanya mnajua sana watu. .....unakataa hiyo nyumba sio ya frank? Sasa ya nani? Babaako?...demu gani mwenye ujanja wa kumfukuza frank? ...kama hujui mambo tulia uambiwe na sio kuwa mzushi
 

Mkuu unapoteza muda kujaribu kupotosha ukweli...mwenye nyumba ni mwanamke na amesha mfukuza Alikiba
 
Kwenye ule uzi kuhusu mchumba wa Alikiba nilisema Jokate atamponza sasa yameanza kutimia! Na hiyo haitoshi yule dada lazima aje kuanzisha mtiti hapa nchini na Jokate atafute pa kukimbilia!

Mjini hakuna baba mwenye tuzo kuna faza house 2......huyo dogo hela y tuzo c amalizie hekalu lake
 
Nyinyi ndio wanaume mnaoolewa mjini hapo kwa kujifanya mnajua sana watu. .....unakataa hiyo nyumba sio ya frank? Sasa ya nani? Babaako?...demu gani mwenye ujanja wa kumfukuza frank? ...kama hujui mambo tulia uambiwe na sio kuwa mzushi

Hahaha sasa unabisha frank ni msingi penenge.. Kaachika + kafeli, life ya kuuza sura si mchezo bado kidogo angeolewa.
 
Mi hoja yangu ni kuwa nyumba ni ya Frank. ....frank namjua kitambo na tupo wote UK. ...toka anajenga hiyo nyumba mpk next month anakuja bongo kuikarabati

Tunashukuru kwa taarifa kua uko UK lol....

Sasa ni kama ni ya Frank ni kweli kamtimua au napo tunadanganywa Mtimti
 
Last edited by a moderator:
Tunashukuru kwa taarifa kua uko UK lol....

Sasa ni kama ni ya Frank ni kweli kamtimua au napo tunadanganywa Mtimti

Aah kwani UK panatisha mama? Ni uamuzi tu ufanye maisha yako wapi. .......Frank hajamtimua kiba. ....ningeandika mengi lkn sitaki kuwa msemaji wao
 
Last edited by a moderator:
Apange tu nguo aweke kwenye zubeda ahamie kwa kidoti make hakuna namna,kumbe kale kabidada ndo kanampa jeuri ya kukoroma usiku.....dah kweli behind successful man there is women sio woman tu!!!
nyuma ya kiba kuna kundi la wanawake ha ha ha

Hahaaaa najitolea kirikuu y kumuhamisha mana najua anabegi tu la nguo n tuzo 6...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…