Ali Kiba: Diamond Platnumz unikome, Nikuweke uchi watu wajue unayonifanyia?

[emoji23][emoji23][emoji23] Team domo naona wameumia sana na haya maneno ya Kiba, kwani Wasafi Festival ndio tamasha kubwa sana bongo? Asipopiga wasafi atapiga Fiesta keki ni kubwa mbona kila mtu atakula tu.
Kuna keki nyingine haziliki sawa dogo
 
Mkewe kafanyaje tena mkuu
 
Hivi diamond malaika?y msjiulize ata sku moja kuw jmaa nae vp??mavko katoka,harmonize katoka,alkiba leo kasema hv,nyie hamuoni jmaa atkua na mattzo yake pia?eeh??
Wametoka kisa maneno ya watu ,ko diamond hana tatizo na yeyote ko dogo tuliza ke...e
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…