playboy babu
JF-Expert Member
- Nov 12, 2015
- 2,648
- 1,566
MWANAUME ANAONGEA MARA MOJA TU (YA KIBABE SANA KING)Diamond achunguzwe ameleta madhara makubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MWANAUME ANAONGEA MARA MOJA TU (YA KIBABE SANA KING)Diamond achunguzwe ameleta madhara makubwa
Kuna keki nyingine haziliki sawa dogo[emoji23][emoji23][emoji23] Team domo naona wameumia sana na haya maneno ya Kiba, kwani Wasafi Festival ndio tamasha kubwa sana bongo? Asipopiga wasafi atapiga Fiesta keki ni kubwa mbona kila mtu atakula tu.
Mbona 10m kubwa,kala 1k.Nahis kuna ukweli jamaa atakuwa kalamba 10m
Lazima achunguzwe ili asaidiwe dogo come onMtoto wa kiume unamchunguza mwanaume mwenzio aiseeh
Wanaume huwa hatusemiMWANAUME ANAONGEA MARA MOJA TU (YA KIBABE SANA KING)
Acha ujinga wewe Oprah mmarekani mweusi usiejitambua kibaraka cha wazungu utukome WCB4LIFE.Kiba is the King hahitaji kiki, kijana wa Tandale anajipendekeza.
Mkewe kafanyaje tena mkuuAli hapa kateleza wallah!!lakini washabiki wake tumsamehe bure itakuwa stress za Mke..Hata muonekano wake kwasasa unaonyesha hayupo sawa huyu jamaa.
Mimi naamini hata 7 Mosha ambaye ni Manager wake amekwisha mchoka.Na kama Kiba hatoamka ktk usingizi tutampoteza soon kwa stress ukiacha za mkewe lakini za maisha.Mana anakwenda kuyumba mazima na upande wa maisha.
Kama kweli vileKiki. Nimejiuliza hapa Kwa kina. Kiba hawezi kumtag Diamond.. Never..
Huu mchezo umepangwa.
Toa nuksi zako za kiprostitute hapa hadi unaboaga eboooooohNa tamasha litadoda
Wametoka kisa maneno ya watu ,ko diamond hana tatizo na yeyote ko dogo tuliza ke...eHivi diamond malaika?y msjiulize ata sku moja kuw jmaa nae vp??mavko katoka,harmonize katoka,alkiba leo kasema hv,nyie hamuoni jmaa atkua na mattzo yake pia?eeh??
Achana na kijana wa Kariakoo weweAcha ujinga wewe Oprah mmarekani mweusi usiejitambua kibaraka cha wazungu utukome WCB4LIFE.
Ahaaaaaaaaaaah kajipa ,sasa diamond ni king the one and onlyMashabiki wake
Toa umalaya tangu lini ukajiita majina ya kihuni kweli mjini shuleKiba hatak kujibuzana na wavaa VIKUKU (MASHOGA)
Moja ya kishoga daaaaaaaaah,litakufa kwa stress afu lizee kwanza daaaaaaah li kiba100MWANAUME ANAONGEA MARA MOJA TU (YA KIBABE SANA KING)
Anaumwa ugonjwa wa ngozi ona suraView attachment 1249094
Kiba is the King hahitaji kiki, kijana wa Tandale anajipendekeza.
Usicheze na moto wa tandale wewe,ule ni moto wa kifuuu sawa mummy wangu mzuriAchana na kijana wa Kariakoo wewe