Ali Kiba Fans' Special Thread...


Kumbe kelele zote zile mpaka jasho la mkndu linakutoka ulikuwa unafukuzia dili ya Tshet za Ali Kiba?

Tukiwaambia hamna kazi ya kufanya mnatoa matusi, hivi mtu aliye bize na mambo yake atapata wapi muda wa kutembeza matishet ya Ali Kiba mitaani?

Njaa mbaya sana kumbe ule wivu kwa Naseeb ni kwa kuwa hajakukaribisha kwenye ufalme wake wa Wasafi.
 
Hahahahaha masaa 24 huyu jamaa yuko online jf lazima analipwa huyu siyo bure mkuu njaa mbaya
 
Hahahaaa aisee leo sipo kwenye mood ya kubishana kabisa yani
Natabasamu tu

Na bora kuwaacha povu liwatoke wewe anatukana una mu ignore wengine wanakuja kupunguzia stress na kutafta amani tu
 
Na bora kuwaacha povu liwatoke wewe anatukana una mu ignore wengine wanakuja kupunguzia stress na kutafta amani tu

Ali kiba sio mwanamziki ni msindikizaji ameFanya mziki miaka kumi hana hata bajaji ya kichina........anatembea kwa miguu kutoka mbezi mpaka posta.
 
Na bora kuwaacha povu liwatoke wewe anatukana una mu ignore wengine wanakuja kupunguzia stress na kutafta amani tu

Yaani mimi kumpenda Ali Kiba imekua kosa watu wanaungua roho zaidi ya kiungulia...nawaona tu wanavyonitafuta mimi sina time tena ya kujibizana na watu....
Itakapobidi nitafanya hivyo....
 
Ali kiba sio mwanamziki ni msindikizaji ameFanya mziki miaka kumi hana hata bajaji ya kichina........anatembea kwa miguu kutoka mbezi mpaka posta.

Hata nyerere alikua anatembea kutoka butiama hadi mwisenge musoma,ally k posta mbona karibu tu.........haina logic hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…