Ali Kiba Fans' Special Thread...


Tupishe apa, ndomo my foot, kiba ndo habar ya mujini, na bado juzi tumemzoea kesho tunamwagia tindikali, mbona ataipenda
 
Nawapenda hawa negro wawili. Hahaha me naona iandaliwe mechi Kati ya kiba na diamond ili mshindi atambulike hahaha... Meneja wa kiba na dai Tengenezeni hela kwa kuandaa shindano mjifanye mnatafuta nani zaidi muwajaze mashabiki mle mshiko wa nguvu. Kila mahali sasa hivi Tz ni team. Msipoangalia hata home kutakuwa name team baba na team mama hahaha
warumi tumia fursa hiyo kabla bikra wa kisukuma hajakuzidi

Out of topic: nasikia eti bikra wa kisukuma ameshauzimikia mhogo wa dai na muwasho ushaanza ndo maana kutwa kumtaja dai (samahani kwa kuharibu mtiririko ila kazi name Dawa)
 
Last edited by a moderator:
Kibaya kinajitembeza........hata mtengeneze toilet paper za ally kiba ...

Atabaki kuwa msanii wa kawaida sana
 
Kuzomea tu safari hii.....au akipanda jukwaani namrushia ndizi.Teh teh

Jamani special thread ya mfalme hii hata kutupiemo tupicha mmegoma?

Kwakuwa na wale washabiki wa domo tunao humu wanatupetipeti basi na wao sintowasahau.
 

Attachments

  • 1413984154251.jpg
    6.6 KB · Views: 154
  • 1413984175316.jpg
    7.1 KB · Views: 155
  • 1413984198644.jpg
    7.1 KB · Views: 151
  • 1413984215656.jpg
    6 KB · Views: 152
  • 1413984232884.jpg
    7.5 KB · Views: 150
Tupishe apa, ndomo my foot, kiba ndo habar ya mujini, na bado juzi tumemzoea kesho tunamwagia tindikali, mbona ataipenda

He si kicheko ni mshangao... warumi ulivyokuwa unamshabikia domo ushahama na team?? Hahaha kweli mashabiki was tanzania hawaeleweki Kama Kei ukiinama nyuma wapo ukisimama mbele wapo
 
Last edited by a moderator:

Mmhhhh,project gani tena hiyo binam??natamanije kujua sasa....uwiiii umbea utaniua
 
Last edited by a moderator:

Wewe nawe ndio umeandika nini sasa???hebu tulia uje na kitu cha maana acha kutetemeka....
 
Kuzomea tu safari hii.....au akipanda jukwaani namrushia ndizi.Teh teh

Tindikal binamu, tena usoni akitoka apa atakuwa na adabu kama kipindi kile alivyokuwa tandale anauza miguu ya kuku na utumbo tandale
 
It sound superb .... Team zinapaswa kuwa name mawazo haya ya kuwainua wasanii na kiwapa mbinu zaidi...
BTW mwambie kiba nampenda alivyo anaonekana kijentromeno yanii mhhh
 
Tindikal binamu, tena usoni akitoka apa atakuwa na adabu kama kipindi kile alivyokuwa tandale anauza miguu ya kuku na utumbo tandale


Ndo hapo.....ila bina chief k alikuwa anampumulia au??
 
Mmhhhh,project gani tena hiyo binam??natamanije kujua sasa....uwiiii umbea utaniua

Kimya kingi kina mshindo, halafu Mrembo by Nature jioni unahitajika jukwaan, unajua nimemis umbea? Halafu nina maubuyu had naumwa, siku izi akina Dinazarde siwaoni au ndo mmeshaacha umbea nitafute wakala wengine? Maana siku izi naona mnajifanya hampendi umbea kabisa ooh
 
Last edited by a moderator:
Tindikal binamu, tena usoni akitoka apa atakuwa na adabu kama kipindi kile alivyokuwa tandale anauza miguu ya kuku na utumbo tandale

Chezea tshirt wewe........yaani ni sheedah

Mambo kwa upande wetu yanazidi kunoga tu na hakuna kulala.

Binamu warumi nakukabidhi jukumu la kunitafutia namba ya Ally Kiba ndani ya masaa 24 kuanzia sasa
 

Attachments

  • 1413984811266.jpg
    50 KB · Views: 125
Last edited by a moderator:

EEeh huo umbea wa bikra wa kisukuma nausikiaga tu juu kwa juu, iv na yeye ndo wale wale? Nasomaga articles zake insta yuko vzur, ila na sura yake nzito kama tope la uyole atampata nani?
 
Last edited by a moderator:
Kuna mtu nataka kumu Arrest hapa......amempa demu halafu mwanafunzi flagly atolee mimba.Huyo mtoto ameshakunywa vidonge 4,me npo ndani hapa nawasikia wakiongea.
 
It sound superb .... Team zinapaswa kuwa name mawazo haya ya kuwainua wasanii na kiwapa mbinu zaidi...
BTW mwambie kiba nampenda alivyo anaonekana kijentromeno yanii mhhh

Nitahakikisha Kiba anasoma mwenyewe kwa macho yake kuanzia page ya kwanza mpaka ya mwisho ya special thread hii, kapicha unaweza kunirushia pm au wasapu sisi ndio watoto wa jiji tukidhamilia kitu lazima kiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…