Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 34,020
- 79,098
Na kwanini afanye hivyo?Mwambie aache kumwaga chini amtie mimba basi tujue kwel ni demu wake" au kiki tu
Umesikia Kiba ana walakini kwenye urijali wake kama mwafulani ambaye bado hadi sasa kuna walakini?
Usichokijua kuhusu Kiba ni very smart guy,huwa hafanyi jambo kufurahisha watu wala maneno ya watu hayampi pressure.
Kwahiyo hizi mboyoyo zenu ni kazi bure.