Ali Kiba Fans' Special Thread...

Ali Kiba Fans' Special Thread...

Kuna maajabu sana hapa ulimwenguni. Fikiria, mtu anajilazimisha kuponda kitu kizuri sana, kilichofanyika kitaalam ili tu kuburudisha nafsi yake. Haya ni mambo ya kushangaza sana, na yamenifanya nijiulize ni watu wa namna gani ambao tunajadili nao kuhusu music.
Mnaijua show aliyochapa Alikiba kwenye Koroga Festival? Mnajua akina nani walialikwa kuhudhuria ile show? Mjue kabisa kama Alex Okosi alikuwepo na alikubali uwezo wa Alikiba, msidhani kama MTV Base walikurupuka tu kujipendekeza kwa Alikiba, walipata comments za Okosi.
Ni hivi tu Alikiba alivyo hapendi masifa yasiyo na maana, anatulia tu ili wakati ukifika watu waone wenyewe. Muziki mzuri unajisema wenyewe, hauna haja ya mbwembwe nyingi, kazi inaonekana.
Wajuzi wa muziki wote wamehamaki kwa Lupela hadi wanaachia nyimbo zao ovyo ovyo ili kujaribu kuipoteza lakini ngoma bado iko palepale imesimama. Wanahangaika kusaka visingizio vingi ili kuishusha hadhi lakini hawapati sababu ya maana ya kueleweka.
Na nakuambia huu mwaka tutaheshimiana tu, maana kuna video nyingine mbili zimepigwa Hollywood zimewekwa kabatini zikisubiri muda ufike ziachiwe.

Ova
MTV walimkubali mbona lupela haionyeshwi mtv base hadi sasa ivi wakati kanyimbo km kamata chini inapigwa daily
 
Kwa mara ya kwanza na post katika jukwaa hili kwa kukoshwa na msanii Ali Kiba, nyimbo za ali Kiba kwa kweli zina sound ukizisikiliza bila hata promo. Alafu huwa zinaingia katika hisia taratibu taratibu sana ndo maana hata kupotea kwake huwa c rahisi.

Hizi nyimbo mbili za mwisho Nagharamia na Lupela dogo kacheza sana. Zinatia raha kuzisikiliza.
 
Hiki chupa kipya cha kiba na sauti sol kimefanya watu wakimbie mji kwa muda!!!!!
 
msiseme kichupa cha kiba,kiba hana creativity kama ile na hajawi kuwa nayo labda aanze kujifunza kuanzia hapo...........ile ni creativity ya saut soul ambayo obvious dunia nzma inajua ubora wao katika kutoa vitu vilivyo bora,hawakuitwa na obama marekani kwa bahati mbaya
 
Kusema ali kiba alifanya lupela kuimbia tembo ni kukosa akili. Ile nyimbo ipo kwa ajili ya kutumika kwenye kampeni za kupinga ujangili dhidi ya tembo. A simple example ni kama "hips do lie" ya shakira ft wyclef jean ilivyotumika kwenye kampeni za kombe la dunia za 2006.
And as usual kiba did what he does best.
 
#AJE inatoka lini aiseh?
Next week video directed by mejialabi
0420347bb1ab1732610d2a768e60f402.jpg
 
Back
Top Bottom