kilimbamula
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 1,792
- 853
Kwa upande wa video Kiba ana safari ndefu. Mungu amtazame kwa jinsi alivyomkadiria.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo mtupu. Lupela ni wimbo wa mapenzi ya binadamu. Alishindwa kufikiri kutokana na kupitwa na umri akaamua kupiga shortcut kwa kuweka background ya ndovu akihisi watu watavutika.Lengo au maana ya video iko wazi kwamba hatuna haja ya kuwabagua Ndovu (Tembo), kwani tunaweza kucheza nao kwa furaha kama rafiki zetu, nao pia wakafurahia kutuona tukicheza mbele yao. Kwa maana ya kuifanya jamii kujenga urafiki na Ndovu na kuondoa uadui nao kwa kuwaua.
Kwa maana ya story line ya ile video, yote ni kitu kilichokuwa kikiwazwa na Alikiba na baada ya kuanza kuusikiliza wimbo wa Lupela kupitia spika za kwenye lift, aliwaza kudance na mpenzi wake kwenye hifadhi ya wanyamapori akawaza kila kitu na mwisho akaungana na Ndovu kwa kufuata barabara inakoelekea.
Lakini zaidi, tumeona muziki ulivyotumika kuwaunganisha watu. Yule jamaa wa Kizungu alikuwa anakereka kuwa kwenye lift na Alikiba na mpenzi wake kutokana na mambo yao ya ujana, na hata iliposiamishwa lift na wale wadada akakasirika zaidi, lakini muziki ulipounganishwa kwa spika za lift akaanza kubadilika na mwishowe hadi akawa akidance.
Ova
kwa hiyo make me sing ndo inamaanisha kwenda kuiba benkiUongo mtupu. Lupela ni wimbo wa mapenzi ya binadamu. Alishindwa kufikiri kutokana na kupitwa na umri akaamua kupiga shortcut kwa kuweka background ya ndovu akihisi watu watavutika.
Ujumbe na picha ni Bukoba na Songea kwa umbali. Lugha nyepesi, hamna kitu.
Ujue kiba kenya anafanyaga show za bure anaitwa kwny maiventi na kwny hiyo unayoisema alizomewa vbaya mno.......plus show tatu za kiba Kenya ni sawa na show moja ya domo kubali kataa ndo uhalisia uwo ndo maana unaona kila siku ypo kenya coz show zake za kawaida sana kiingilio 500kshmkuu Mdakuzi bila kusahau show aliyofanya valentine ya safaricom, kwakweli nina kila sababu ya kumpenda [HASHTAG]#kingkiba[/HASHTAG]
Lupela ishabuma lakini make me sing ndo habari ya mjinikwa hiyo make me sing ndo inamaanisha kwenda kuiba benki
poaLupela ishabuma lakini make me sing ndo habari ya mjini
Lol!kwa hiyo make me sing ndo inamaanisha kwenda kuiba benki
hawa ndugu sijui wana matatizo gani kwakweli me siwaelewagi, mwingine huyo hapo juu nimeona nimkaushie maana hawawezi kuongea kwa fact!Lol!
Huyo popoma harudi tena hapa.
Nyie no wazee wa majungu but action zeroMimi nimebaki namshangaa huyo kilimbamula anayejibu hoja nzito za Mdakuzi kwa pumba.
Hawa watu ni wa kuwaacha tu maana hakuna namna.
Uongo mtupu. Lupela ni wimbo wa mapenzi ya binadamu. Alishindwa kufikiri kutokana na kupitwa na umri akaamua kupiga shortcut kwa kuweka background ya ndovu akihisi watu watavutika.
Ujumbe na picha ni Bukoba na Songea kwa umbali. Lugha nyepesi, hamna kitu.
Ujue
Ujue kiba kenya anafanyaga show za bure anaitwa kwny maiventi na kwny hiyo unayoisema alizomewa vbaya mno.......plus show tatu za kiba Kenya ni sawa na show moja ya domo kubali kataa ndo uhalisia uwo ndo maana unaona kila siku ypo kenya coz show zake za kawaida sana kiingilio 500ksh
Lupela ishabuma lakini make me sing ndo habari ya mjini
Huna kitu unatumia nguvu tu. Hakuna kitu pale.Mkuu mimi nazungumzia Video wewe unazungumzia audio. Vipi una tatizo la uelewa? Una ufahamu wowote kuhusu music video mkuu, nisije nikapoteza muda wangu kuzungumza na mtu asiyeelewa hata maana picha ya kwenye music video.
Ila ninachokiona kwako, ile video imekuzidi ukubwa mkuu. Pengine upeo wako wa kuelewa music video hautoshi kwenye video ya Lupela.
Ova
Kwa wale wanaojua quality ya video ni pamoja na graphics na mchanganyiko wa picha , ukiitazama vizuri video ya lupela na ukatazama zile background zilizotumika utagundua Kuwa kuna kipindi haziendani na wale Ma dancer , camera Kama inacheza cheza hivi (shaking ) , Ile background inatakiwa iwe still ili Ma dancer waonekane walikuwa eneo lile lakini cha ajabu kuna wakati background ina cheza cheza ( camera hazikukaa vizuri) ! Editor wa video hiyo sijui Kwa nn hakuona hilo, ni tatizo kubwa ukipeleka video Kama hiyo kwenye international media hawatakubali Kwa sababu background Ina move move bila mpangilio na hii inaweza kum boa mtazamaji hasa ukiangalia mara nyingi ...
Unahitaji kuingalia upya, background Ina cheza cheza sana . Kaichek upya mkuu.... Mfano angalia hapo kwenye dk 1:39 , na dk 2:22 ...seek mpaka hapo utaelewa maana ndo shaking zinakuwa kubwa then angalia video nzimaHa ha ha haaaa! Hivi ndio vile visababu vya kulazimisha mkuu. Sijui kama kuna uunganishaji bora wa picha kama uliofanyika kwenye Lupela. Japo picha zote mbili zilikuwa zikitembea lakini ziliungwa vizuri sana.
Editing yake imesimama sana mkuu, matukio hayakimbizwi ovyo ovyo yanatembea vizuri na kukupa utulivu wakati wa kutazama video. Huwezi kuzungumzia Lupela ukaanza kutoa sifa kwa dancers wa ile video.
Kimsingi karibu kila kitu kiko mia katika Lupela.
Ova