Na kwanini afanye hivyo?Mwambie aache kumwaga chini amtie mimba basi tujue kwel ni demu wake" au kiki tu
Hahahahahaaa nilikuwa sijakuelewa bwana....daaaah!Acha kujibizana na mbwa wa king KIBA
Unapojaribu kutunga uongo lakini akili yako inakataa!!!!Jojo si mrembo kihivyo ila ana shepu nzuri shinda Zari na Wema lakini sura na ule mdomo bado sana. Ukitaka kujuwa mademu wazuri hapa Bongo jaribu kufananisha Jojo na Rose Ndauka, Batuli, Lulu...au uliza mwanaume yeyote anayejuwa wanawake wazuri atakuambia nani mzuri kati ya hao niliokutajia kulinganisha na Jojo. Jojo is ok kwa sura ila umbo namkubali tena sana tu ila nisingependa kuhamka naye asubuhi kutokana na ile sura, si unajuwa mtu anapohamka sura inavyokuwa?
Unapojaribu kutunga uongo lakini akili yako inakataa!!!!
akiwemo babu tale na fella ambao wasanii wao wengine kila siku video south lakini wapi, nadhani ben pol atakuwa kashaelewa somo kuwa alikuwa anacheza na mtu sio size yake pumbavKama ni soka tungesema king kiba anafanya mziki kifaza. ..kuna ngoma nyingi sana zimetoka za chege sijui mwanafa na fid q lakini mazungumzo ni lupela....naamini wanaompinga kiba si mashabiki wa diamond tu bali na washabiki wa musicians wengine. ..watu wamewekeza pesa na muda mwingi katika music lakini hauwalipi. ...kiba katika muda mchache kafaidika sana lazma utumie jicho la tatu kuona hilo
Achana na yule teja alikuwa anatafuta kick tu,na Kiba alivyo smart wala hakumjibu.akiwemo babu tale na fella ambao wasanii wao wengine kila siku video south lakini wapi, nadhani ben pol atakuwa kashaelewa somo kuwa alikuwa anacheza na mtu sio size yake pumbav
Bila kutengeneza ukaribu na wenye chuki na simba unadhani nani angemsikia¿???..Kama ni soka tungesema king kiba anafanya mziki kifaza. ..kuna ngoma nyingi sana zimetoka za chege sijui mwanafa na fid q lakini mazungumzo ni lupela....naamini wanaompinga kiba si mashabiki wa diamond tu bali na washabiki wa musicians wengine. ..watu wamewekeza pesa na muda mwingi katika music lakini hauwalipi. ...kiba katika muda mchache kafaidika sana lazma utumie jicho la tatu kuona hilo
Hahahahahaaa aisee nimecheka sana.hivi mashabiki wote wa ali kiba ndo mko hivi...
sasa huyu BODYGUARD sijui ana kosa gani..!!!
huyo homa ya dengue ni MSUMBUFU vibaya mno Nifah..!Hahahahahaaa aisee nimecheka sana.
Mbona hujaleta post watu wanazomponda KIBA akiwemo huyo manager wako salaam na dulla square au dulla square humuoni anavyomponda KIBA acha mambo za ajabu wewehuyo homa ya dengue ni MSUMBUFU vibaya mno Nifah..!
nisaidie bradha...Mbona hujaleta post watu wanazomponda KIBA akiwemo huyo manager wako salaam na dulla square au dulla square humuoni anavyomponda KIBA acha mambo za ajabu wewe